fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
- Thread starter
- #41
nmejaribu kuwadadisi wanasema ni mradi wa baba mjengo ni anawafuga ipa hawana shida sasa dah sjui kwann hawakuniambia kabla sijahama na nimelipa kodi ya miez 8 ndo kwanza naenda kutmiza week ya 2š©ongea vizri na hao jirani zako wanaokwambia "wazoee tu hawana shida"