Wamekuja kukujuza jambo ,wapokee vizuri walishe vizuri watasepa zao.wakuu kwema ..? jana nmerudi zangu magetoni usiku mwingi nikakuta hawa wajusi wajomba wako 2 sijui wametoka wapi msaada sijalal magetoni leo nmerudi nmewakuta chini wanacheza hawana hata habari halafu hawaogopi mtu nmeita majirani wanasema hawa n wajusj wajomba hawana shida inabdi niwazoee hapa geto jipya ndo nimehamia mm n mgeni dah View attachment 3188492
kihindiHivi wajusi ni kiswahili kweli?
n waoubwa sana hapafu ukiwasogepea na wao wanakusogelea yaan n kama alwanataka tupigane hvi wapo kisharishariacha uzembe uwa mijusi katupe
angalia vzdMbona wadogo hao
mkuu sina mafuta ya mwamposya😂😂
Mwagia mafuta ya Mwamposa
ila mbna wamekaa kisharisharii tuWamekuja kukujuza jambo ,wapokee vizuri walishe vizuri watasepa zao.
kwetu huku tarime mtoto anapigana na mamba mtoni narudia tena achani uzembe aseen waoubwa sana hapafu ukiwasogepea na wao wanakusogelea yaan n kama alwanataka tupigane hvi wapo kisharishari
Hapana, sio kiswahili, ni kiebraniaHivi wajusi ni kiswahili kweli?
hata mm mbona npo tarime mkuukwetu huku tarime mtoto anapigana na mamba mtoni narudia tena achani uzembe asee
Mwamba geuWamwagie maji ya upako
tarime ipi unogopa mijusihata mm mbona npo tarime mkuu
Piga picha upya hiyo picha na tv weka channel ya ITV au TBC 🤣wakuu kwema ..? jana nmerudi zangu magetoni usiku mwingi nikakuta hawa wajusi wajomba wako 2 sijui wametoka wapi msaada sijalal magetoni leo nmerudi nmewakuta chini wanacheza hawana hata habari halafu hawaogopi mtu nmeita majirani wanasema hawa n wajusj wajomba hawana shida inabdi niwazoee hapa geto jipya ndo nimehamia mm n mgeni dah View attachment 3188492
Chukua ya kwakomkuu sina mafuta ya mwamposya
mbona hamnijali ndg Angu wa jf😩😩Hao Mamba au Mjusi?Mjusi wa ukubwa huo hana uwezo kukaa ukutani hivyo tafuta uongo mwingine.
ila we jamaa cimedy sanaa hahahahambona hamnijali ndg Angu wa jf😩😩