Msaada wakuu nachanganyikiwa, nimekuta Mijusi wakubwa geto

ongea vizri na hao jirani zako wanaokwambia "wazoee tu hawana shida"
nmejaribu kuwadadisi wanasema ni mradi wa baba mjengo ni anawafuga ipa hawana shida sasa dah sjui kwann hawakuniambia kabla sijahama na nimelipa kodi ya miez 8 ndo kwanza naenda kutmiza week ya 2😩
 
Kwa chumba hicho hawa wadudu ndio mahali pao salama kabisa kuishi,chumba kama holi la mifugo.
 
Aisee Hawa wajusi ni hatari mbona wanatisha sana.!!! Wakubwa hata kushinda Kenge!!!!
 
nmejaribu kuwadadisi wanasema ni mradi wa baba mjengo ni anawafuga ipa hawana shida sasa dah sjui kwann hawakuniambia kabla sijahama na nimelipa kodi ya miez 8 ndo kwanza naenda kutmiza week ya 2😩
aise nimecheka sana, miez 8 😂
pole aise kama hawana shda we ishi nao tu
 
Weka mti wa muhogo...au maganda ya mayai kwenye moja ya Kona wanakoshukia..
 
Hiyo picha mbona kama editing...sema hayo madude kama ni chipsi mayai unaweza usilale mwaka mzima.
 
aise,

hao mbona ni kenge gentleman?

wana ndimi ndefu sana,
wakikukuta usingizini wanaingiza ulimi puani wanafyonza ubongo, ni hatari zaidi kwa watoto wadogo 🐒
 
huo mkoa gani bado kuna tv za chogo huko? we ni mwanaume wa daresalamu? unaogopa kenge?
 
Hao ni Kenge bado wadogo wanakuwa zaidi ya hapo wanamadhara wanaweza kuua pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…