fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
- Thread starter
-
- #41
nmejaribu kuwadadisi wanasema ni mradi wa baba mjengo ni anawafuga ipa hawana shida sasa dah sjui kwann hawakuniambia kabla sijahama na nimelipa kodi ya miez 8 ndo kwanza naenda kutmiza week ya 2😩ongea vizri na hao jirani zako wanaokwambia "wazoee tu hawana shida"
mkuu ni serious sio utaniila we jamaa cimedy sanaa hahahaha
Kwa chumba hicho hawa wadudu ndio mahali pao salama kabisa kuishi,chumba kama holi la mifugo.wakuu kwema ..? jana nmerudi zangu magetoni usiku mwingi nikakuta hawa wajusi wajomba wako 2 sijui wametoka wapi msaada sijalal magetoni leo nmerudi nmewakuta chini wanacheza hawana hata habari halafu hawaogopi mtu nmeita majirani wanasema hawa n wajusj wajomba hawana shida inabdi niwazoee hapa geto jipya ndo nimehamia mm n mgeni dah View attachment 3188492
🤣🤣🤣🤣 We acha uongo mkuundo wanaitwa hivo au anko mamajusi😩
Aisee Hawa wajusi ni hatari mbona wanatisha sana.!!! Wakubwa hata kushinda Kenge!!!!wakuu kwema ..? jana nmerudi zangu magetoni usiku mwingi nikakuta hawa wajusi wajomba wako 2 sijui wametoka wapi msaada sijalal magetoni leo nmerudi nmewakuta chini wanacheza hawana hata habari halafu hawaogopi mtu nmeita majirani wanasema hawa n wajusj wajomba hawana shida inabdi niwazoee hapa geto jipya ndo nimehamia mm n mgeni dah View attachment 3188492
aise nimecheka sana, miez 8 😂nmejaribu kuwadadisi wanasema ni mradi wa baba mjengo ni anawafuga ipa hawana shida sasa dah sjui kwann hawakuniambia kabla sijahama na nimelipa kodi ya miez 8 ndo kwanza naenda kutmiza week ya 2😩
Jana nilinunua kitimoto kilo 2 na mbuzi kilo 3, Ngombe kilo 5. Kwa ajili ya mwaka mpya.njoo uwachukue mkuu nkupe loc
nawewe umeanza sikuhizi kuvuta ile kali..?Mama jusi + wachungaji=Wajusi
aise,wakuu kwema ..? jana nmerudi zangu magetoni usiku mwingi nikakuta hawa wajusi wajomba wako 2 sijui wametoka wapi msaada sijalal magetoni leo nmerudi nmewakuta chini wanacheza hawana hata habari halafu hawaogopi mtu nmeita majirani wanasema hawa n wajusj wajomba hawana shida inabdi niwazoee hapa geto jipya ndo nimehamia mm n mgeni dah View attachment 3188492
huo mkoa gani bado kuna tv za chogo huko? we ni mwanaume wa daresalamu? unaogopa kenge?wakuu kwema ..? jana nmerudi zangu magetoni usiku mwingi nikakuta hawa wajusi wajomba wako 2 sijui wametoka wapi msaada sijalal magetoni leo nmerudi nmewakuta chini wanacheza hawana hata habari halafu hawaogopi mtu nmeita majirani wanasema hawa n wajusj wajomba hawana shida inabdi niwazoee hapa geto jipya ndo nimehamia mm n mgeni dah View attachment 3188492
🤣🤣 Hapana bhananawewe umeanza sikuhizi kuvuta ile kali..?