Mkushi Mbishi
JF-Expert Member
- Sep 30, 2018
- 332
- 549
Hii email ni muhimu maana ndio naendesha blog,website na mambo mengine mengi ya kibiashara.
Niliweka 2 step verification,Sasa inadai inatuma notification nibonyeze yes lakini haiji notification yoyote na mbaya zaidi hizo njia zingine kama passkey Sina access nayo ,na hata namba ya simu niliyojiunga nayo haitumiki ni miaka mingi Sasa je Kuna msaada katika hili.
Niliweka 2 step verification,Sasa inadai inatuma notification nibonyeze yes lakini haiji notification yoyote na mbaya zaidi hizo njia zingine kama passkey Sina access nayo ,na hata namba ya simu niliyojiunga nayo haitumiki ni miaka mingi Sasa je Kuna msaada katika hili.