Amiri jeshi mkuu wa majesh ya Tanzania... hivyo JKT wanaitoa? wewe ndiyo kichwa maji...... Polisi ni jeshi unajua..makambi ya jeshi la polisi , mkambi ya Jeshi ka kujenga Taifa etc etcHuko ni kambi za JKT sio jeshini, msiwe vichwa maji
kama kambi ganiKufanya kazi siyo shida, shida ni ukatili wa wanajeshi. Kambi zingine CO huwa wengine wanakataa kabisa kuruta kuteswa out of mazoezi ya jeshi per se..
polisi ni idara kutoka na katiba ya JMT ya mwaka 1979Amiri jeshi mkuu wa majesh ya Tanzania... hivyo JKT wanaitoa? wewe ndiyo kichwa maji...... Polisi ni jeshi unajua..makambi ya jeshi la polisi , mkambi ya Jeshi ka kujenga Taifa etc etc
Kufungua moyo kwa ajili ya kozi sio ngono
hahahaaaaa,,,,mkesha wa kwanza sikujua kama kumekucha tayari nilikua na moraleJeshi tamu sana, nime miss mikesha, kupigwa nua, Ku roll, Ku crow, mabio, chenja, na mahovyo hovyo mengine..
Zamani ilikuwa mtu anayekacha JKT hapati ajira serikalini. Kufuzu JKT ilikuwa ni lazima kwenye kuomba kazi yoyote.Haijajulikana vizuri atafanywaje ila wengi wao hawafanywi kitu...Ila kumbuka ni kwa mujibu wa sheria...ila kama ni mtoto wa kiume nenda tu ukajifunze,Ukakamavu,Utii,Uzalendo,Matumizi ya silaha,UVUMILIVU(hiyo ndio physics ya jeshini).
Kweli kabisa namkumbuka OC wangu 821kj alikuwa hapendi kuruti tutesekeKufanya kazi siyo shida, shida ni ukatili wa wanajeshi. Kambi zingine CO huwa wengine wanakataa kabisa kuruta kuteswa out of mazoezi ya jeshi per se..
mnakaa miezi mingapi nowadaysKweli kabisa namkumbuka OC wangu 821kj alikuwa hapendi kuruti tuteseke
hatuna katiba ya 1979polisi ni idara kutoka na katiba ya JMT ya mwaka 1979
π π π mshaur dogo anajfnya anataka mtaa badala ya kwenda kula doso muda uendeNenda tu ukapoteze muda
Siku hizi ni hiari, sio lazima... labda kama mtu ana-plan kufukuzia ajira zinazoendana na hayo mambo ya majeshi.Zamani ilikuwa mtu anayekacha JKT hapati ajira serikalini. Kufuzu JKT ilikuwa ni lazima kwenye kuomba kazi yoyote.
Asante mkuuSiku hizi ni hiari, sio lazima... labda kama mtu ana-plan kufukuzia ajira zinazoendana na hayo mambo ya majeshi.
mwaka jana ilikuwa mwezi mmoja na nusu, ila mwaka huu ni miezi mitatu.mnakaa miezi mingapi nowadays