- Thread starter
- #41
Akiba ya ALu ni muhmu. asantePili Kuna malaria Sana kule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akiba ya ALu ni muhmu. asantePili Kuna malaria Sana kule
7Km.?Mkuu..,
Kambi ya Mgambo JKT ipo Waliya ya Handeni, Kijiji kinaitwa Kabuku, eneo ambalo ni njiani kabla ya kufika Segera.
Mandhari yake si mabaya sana kwakuwa inapakana na Vijiji vya Jirani, na ni wastani wa Km 7 kutoka njia kuu ya DSM-Segera na panafikika wakati wote!
not that simple as you put it!Kuna Jamaa namjua ni msoja kila siku anabadilisha mabinti wa JKT.
asante7Km.?
Hapana ni 16 Km.
Naniwilaya ya Korogwe sio Handeni
asante sana. atakwenda hapo maana I am in Tanga and therefore nearby Kambi.Mkuu..,
Kambi ya Mgambo JKT ipo Waliya ya Handeni, Kijiji kinaitwa Kabuku, eneo ambalo ni njiani kabla ya kufika Segera.
Mandhari yake si mabaya sana kwakuwa inapakana na Vijiji vya Jirani, na ni wastani wa Km 7 kutoka njia kuu ya DSM-Segera na panafikika wakati wote!
Ni wilaya ya handeni bosi, pia kutoka kabuku mpaka kambini haifiki 16 km ..labda kama nimesahau, ila hakuna umbali wa hivyo.7Km.?
Hapana ni 16 Km.
Naniwilaya ya Korogwe sio Handeni
Du. Nilikuwa sijui. Ni muda gani? Na mtu asipoenda kuna hatua gani atachukuliwa?King Kong acha hizo. Ukimripo fande wa hivyo atapata taabu san.
Form six ni lazima
Iko handeni mkuu7Km.?
Hapana ni 16 Km.
Naniwilaya ya Korogwe sio Handeni
naangali kwenye act kama kuna adhabuDu. Nilikuwa sijui. Ni muda gani? Na mtu asipoenda kuna hatua gani atachukuliwa?
Haijajulikana vizuri atafanywaje ila wengi wao hawafanywi kitu...Ila kumbuka ni kwa mujibu wa sheria...ila kama ni mtoto wa kiume nenda tu ukajifunze,Ukakamavu,Utii,Uzalendo,Matumizi ya silaha,UVUMILIVU(hiyo ndio physics ya jeshini).Du. Nilikuwa sijui. Ni muda gani? Na mtu asipoenda kuna hatua gani atachukuliwa?
Ukiwa na bahati mbaya unakuta CO mlezi ndo anastaafu kinaingia chuma cha pua.[emoji3]Kufanya kazi siyo shida, shida ni ukatili wa wanajeshi. Kambi zingine CO huwa wengine wanakataa kabisa kuruta kuteswa out of mazoezi ya jeshi per se..
Hawakulazimishi hata kidogo..usiwasingizie masoja..wanafuta protocol za utongozaji za kawaida kabisa,ukikubali sawa ukikataa sawaKuna Jamaa namjua ni msoja kila siku anabadilisha mabinti wa JKT.
Mkuu kama Jambo huna uhakika nalo usilitolee maelezo..,7Km.?
Hapana ni 16 Km.
Naniwilaya ya Korogwe sio Handeni
Aiseee afande akajimegeakwa mgambo sikuona ukatili wowote zaidi ya kazi na mazoezi ya kawaida tu(lakini mimi kwa upande wangu yalikua magumu)japo mwisho wa siku nilifungua moyo kishingo upande.
Hawakulazimishi hata kidogo..usiwasingizie masoja..wanafuta protocol za utongozaji za kawaida kabisa,ukikubali sawa ukikataa sawa
Dah.... kama hakuna aliyeenda JKT....sasa mnaishije hapo nyumbani? [emoji15]sikumbuki maana sifuatilii mambo hayo. Wanangu hakuna aliyekwenda jkt hivyo sifuatilii. Last one ndiyo amechaguliwa kwenda hapo.
kwa hiyo wanaotakiwa "kumtusi mama hafai" ni watu waliozaliwa kuanzia mwaka gani?.Basi nilivyokua naona Mtoa Mada anamtusi Mama Hafai nikajua ni jitu kuuuubwa kumbe kidude cha 2001
Sent using Jamii Forums mobile app
Mjiandae kuvuna mahindi huko mgambo, kuna mashamba yanaitwa mashamba dunia. Utavuna mpaka ukome, ndo kazi zilizopo huko.
Labda utakachoinjoi ni kula machungwa tu.
Ile ni kambi ya uzalishaji, hivyo utakua umeepuka mazoezi ya kijeshi kwa kiasi fulani. But pako vizuri japo nilitoka huko zamani sana.