Msaada: Wanaoijua Mgambo JKT Tanga ikoje mazingira yake?

Msaada: Wanaoijua Mgambo JKT Tanga ikoje mazingira yake?

Mkuu..,
Kambi ya Mgambo JKT ipo Waliya ya Handeni, Kijiji kinaitwa Kabuku, eneo ambalo ni njiani kabla ya kufika Segera.
Mandhari yake si mabaya sana kwakuwa inapakana na Vijiji vya Jirani, na ni wastani wa Km 7 kutoka njia kuu ya DSM-Segera na panafikika wakati wote!
7Km.?
Hapana ni 16 Km.
Naniwilaya ya Korogwe sio Handeni
 
Mkuu..,
Kambi ya Mgambo JKT ipo Waliya ya Handeni, Kijiji kinaitwa Kabuku, eneo ambalo ni njiani kabla ya kufika Segera.
Mandhari yake si mabaya sana kwakuwa inapakana na Vijiji vya Jirani, na ni wastani wa Km 7 kutoka njia kuu ya DSM-Segera na panafikika wakati wote!
asante sana. atakwenda hapo maana I am in Tanga and therefore nearby Kambi.
 
7Km.?
Hapana ni 16 Km.
Naniwilaya ya Korogwe sio Handeni
Ni wilaya ya handeni bosi, pia kutoka kabuku mpaka kambini haifiki 16 km ..labda kama nimesahau, ila hakuna umbali wa hivyo.
Screenshot_20210523-100202_Opera%20Mini.jpg
 
Du. Nilikuwa sijui. Ni muda gani? Na mtu asipoenda kuna hatua gani atachukuliwa?
Haijajulikana vizuri atafanywaje ila wengi wao hawafanywi kitu...Ila kumbuka ni kwa mujibu wa sheria...ila kama ni mtoto wa kiume nenda tu ukajifunze,Ukakamavu,Utii,Uzalendo,Matumizi ya silaha,UVUMILIVU(hiyo ndio physics ya jeshini).
 
Kufanya kazi siyo shida, shida ni ukatili wa wanajeshi. Kambi zingine CO huwa wengine wanakataa kabisa kuruta kuteswa out of mazoezi ya jeshi per se..
Ukiwa na bahati mbaya unakuta CO mlezi ndo anastaafu kinaingia chuma cha pua.[emoji3]
 
7Km.?
Hapana ni 16 Km.
Naniwilaya ya Korogwe sio Handeni
Mkuu kama Jambo huna uhakika nalo usilitolee maelezo..,
Kwanza tofautisha umbali kutoka Kabuku kwenda Mgambo Kijijini na Kambini.
Pili Mgambo ipo Wilaya ya Handeni, Jimbo la Handeni Vijini, Tarafa ya Mzundu, Kata ya Mgambo!
 
Huko ni kambi za JKT sio jeshini, msiwe vichwa maji
 
Daaah nakumbuka mbali sana, Komsanga kule porini kuna mashamba yana ekari 500, kitambo sana wapi afande hatari, afande chacha
Mjiandae kuvuna mahindi huko mgambo, kuna mashamba yanaitwa mashamba dunia. Utavuna mpaka ukome, ndo kazi zilizopo huko.
Labda utakachoinjoi ni kula machungwa tu.
Ile ni kambi ya uzalishaji, hivyo utakua umeepuka mazoezi ya kijeshi kwa kiasi fulani. But pako vizuri japo nilitoka huko zamani sana.
 
Back
Top Bottom