gidlameck
JF-Expert Member
- Jul 8, 2016
- 618
- 530
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh,kumbe kimila undugu unaweza kuuawa wakaendelea kama kawa,ila kidini hilo ni kosa sana,inahitajika watubu na kuacha huo mchezo mara moja...Du chances hapo wote wa nusu ya genes za mama zao, si sawa na baba mmoja mama mmoja. Anyway yameshatokese. Kimila mnatakiwa kuchinja mnyama kwenye kaburi la babu ili kuua undugu ili waweze kuoana.
Nje ya imani na miikio ya kimila na maadili, hakuna baya jingine, mtoto atazaliwa fresh tu hamna shida.
Haya mambo ni kawaida sana kwenye familia za kishua ndugu kugongana. Kuna familia moja nilienda eti dada yupo kitandani kwa kaka wanaangalia movie ilibid nifanye kilichonipeleka niondoke faster niwaachie uhuru
Kama kichwa cha habari kilivyojileleza,Ni watoto wa ndugu,baba zao wamezaliwa baba na mama mmoja,walikuwa wanafanya yao yakatokea hayo yaliyotokea,
Tunaambiwa ndugu wakioana kuna uwezekano mkubwa wakazaa mtoto ambaye ni taahira,ili kuepukana na hilo je Kuna dawa za kitaalam za kuweza kuzuia hilo lisitokee au wawe wanamuomba Mungu tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Really?!Du chances hapo wote wa nusu ya genes za mama zao, si sawa na baba mmoja mama mmoja. Anyway yameshatokese. Kimila mnatakiwa kuchinja mnyama kwenye kaburi la babu ili kuua undugu ili waweze kuoana.
Plus ni kosa kisheria, both kitaifa na kimataifa. Ni universal law......marriage within blood relations kuna uwezekano wa kupata genetics disorder, immune system inakuwa effected na mtoto atakayezaliwa anaweza kuwa weak
Hapo walidhamiria kupeana tu raha
Katiba ipi mkuu, hao ni kuwaozesha wakajuane mbele na maisha yao, maana hawakubakana walikubaliana, wakaanze maisha yakiwashinda bint atarudi nyumbaniReally?!
You are actually saying that a biological problem can be solved by spiritual cleansing?!
Like really, are you serious?!
By the way kikatiba hao wanatakiwa kushitakiwa maana wameshafanya kosa kisheria. Inatwa incest sijui nini nini huko mwishoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao sio ndugu. Ndugu ni wale waliozaliwa baba na mama mmoja. Hao ni cousins tena jamii za kiislam huwa wanaoana kabisa. Wa ba mdogo,wa shangazi wanaoana bila tatizo.
Lina umri gani?Maneno tu, mbona mie nimetia mimba mtoto wa mama mkubwa toka nitoke kazaa toto liko poa tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Cha kwetu Kenya hichomtoa mada yawezekana na wewe ni wale wale "kutiana mimba ndo kiswahili gani"?