Msaada wenu: Baba yangu mzazi anataka kunitimua kwenye nyumba ya babu yetu

Msaada wenu: Baba yangu mzazi anataka kunitimua kwenye nyumba ya babu yetu

Niko upande wa baba ako, hivi kweli hufikirii chanzo cha wewe kukosa ajira ni c.c.m? Watu wanapotea, wanakufa na wanatumbuliwa hovyo kila siku huoni? Ungekaa na baba ako vizuri akakueleza sababu kuliko kujimwambafai na degree yako
Nyumba ni ya babu yangu, ananitisha eti akinikuta ndani atanimwagia maji ya moto, anasema nikaishi ukouko kwa mjumbe wa ccm
 
Habarini ndugu zangu wana JamiiForums, matumaini yangu mu wazima wa afya tele.

Nisiwachoshe niende kwenye mada moja kwa moja

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28, nimemaliza chuo kikuu mwaka jana

Tangu nimemaliza chuo, nimeangaika sana kupata kazi bila mafanikio.

Mwaka huu mwezi uliopita nilibahatika kupata kazi ya kuandikisha wapiga kula kwenye uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa

Baba yangu alikataa kabisa nisijihusishe kwenye mambo yoyote yanayohusiana na siasa kwa hiyo hakupendezwa.

Baada ya hilo zoezi la uandikishaji kuisha, juzi Ijumaa kuna mjumbe wa chama cha mapinduzi (CCM) aliniambia kuwa nimtafutie wanachama 20 tu kwaajili ya maadalizi ya uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa, na kuahidi atanipa pesa ya maji

Pale home jumla tupo watu 7 pamoja na ndugu wengine, nilitaka kwanza kuanza na familia yangu, nilimfata baba yangu na kumueleza kuwa na yeye awe mmoja wapo katika watu 20 nilioombwa na mjumbe

Ndugu zangu baba alinitukana matusi mazito, siwezi kuyaandika hapa, mpaka kufikia kuniambia nitakuwa nimelaaniwa na dunia.

Kaenda mbali zaidi ananimbia kama ntashilikiana na watu wa CCM na kumhusisha yeye, ataniondoa kwenye nyumba tunayoishi, ukizingatia hiyo nyumba ni ya babu yangu ambaye yeye ni baba yake

Marehemu babu yangu kabla ya kufariki alisema kabisa na wazi kuwa nisinyanyasike kwenye ule mji

Wakuu mpaka ninapoandika hapa, baba atoa vitu vyangu nje, anasema nikahamie kwa huyo mjumbe

Naombeni ushauri wenu wakuu, nataka kuipigania haki yangu, maana babu alisema kile chumba nilichokuwa nakaa ni mali yangu halali

Nipo katika wakati mkuu, nisaidieni niende polisi au nifanye nini wakuu?

Asanteni.
Mzee yuko sahihi. Na akili zako zote hizo umesoma hakuna sera zozote za kueleweka zilizowekwa na serikali ya CCM kuhusu ajira. Huna kazi na unashabikia CCM.
 
Habarini ndugu zangu wana JamiiForums, matumaini yangu mu wazima wa afya tele.

Nisiwachoshe niende kwenye mada moja kwa moja

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28, nimemaliza chuo kikuu mwaka jana

Tangu nimemaliza chuo, nimeangaika sana kupata kazi bila mafanikio.

Mwaka huu mwezi uliopita nilibahatika kupata kazi ya kuandikisha wapiga kula kwenye uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa

Baba yangu alikataa kabisa nisijihusishe kwenye mambo yoyote yanayohusiana na siasa kwa hiyo hakupendezwa.

Baada ya hilo zoezi la uandikishaji kuisha, juzi Ijumaa kuna mjumbe wa chama cha mapinduzi (CCM) aliniambia kuwa nimtafutie wanachama 20 tu kwaajili ya maadalizi ya uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa, na kuahidi atanipa pesa ya maji

Pale home jumla tupo watu 7 pamoja na ndugu wengine, nilitaka kwanza kuanza na familia yangu, nilimfata baba yangu na kumueleza kuwa na yeye awe mmoja wapo katika watu 20 nilioombwa na mjumbe

Ndugu zangu baba alinitukana matusi mazito, siwezi kuyaandika hapa, mpaka kufikia kuniambia nitakuwa nimelaaniwa na dunia.

Kaenda mbali zaidi ananimbia kama ntashilikiana na watu wa CCM na kumhusisha yeye, ataniondoa kwenye nyumba tunayoishi, ukizingatia hiyo nyumba ni ya babu yangu ambaye yeye ni baba yake

Marehemu babu yangu kabla ya kufariki alisema kabisa na wazi kuwa nisinyanyasike kwenye ule mji

Wakuu mpaka ninapoandika hapa, baba atoa vitu vyangu nje, anasema nikahamie kwa huyo mjumbe

Naombeni ushauri wenu wakuu, nataka kuipigania haki yangu, maana babu alisema kile chumba nilichokuwa nakaa ni mali yangu halali

Nipo katika wakati mkuu, nisaidieni niende polisi au nifanye nini wakuu?

Asanteni.
Mkuu ukitaka kudumaa kimaisha baki hapo kwa babu yako pamoja na baba yako.

Baba yako ndo ka cease, hana maendeleo wala maarifa ya kujiendeleza kimaisha.

Usiingize siasa kwenye kipato chukua chochote kinachokuja.

Uje urudi hapo nyumbani baada ya hata miska 10 ya kuchakarika na nakuhakikishia, uliowaacha watakuwa wamebaki vile vile huku wewe umepiga mwendo.
 
Huko vyuoni mnaenda kusomea ujinga na ubwabwa?
Kuandika tu huwezi unajiita umemaliza chuo kikuu!
Hii itakuwa chai bila andazi wala chapati.
QUOTE="kikoozi, post: 33498351, member: 296926"]
Hapana mkuu hapo nyumbani kuna chumba ambacho mzee amekifunga na kufuli na kunitolea vitu nje, ananitukana eti bora apangishe hapate kodi kuliko mimi kukaa na kujaza choo
[/QUOTE]
 
Huyo baba ako mtu wa busara sana..

Kwanini Ung'ang'anie kwenye nyumba sio yako?!..

Hiyo nyumba ni ya baba ako ambae kaachiwa na baba ake,..

baba ako bila shaka alikuwa anamsikiliza sana baba ake mpaka akaamua amrisishe mwanawe nyumba.. ,

wewe humsikilizi baba ako, CHUO kimekutia ujinga umekuwa mpumbavu

Asiefunzwa na babae hufunzwa na ulimwengu, muombe mjumbe akupakie hifadhi ya kisiasa
 
Habarini ndugu zangu wana JamiiForums, matumaini yangu mu wazima wa afya tele.

Nisiwachoshe niende kwenye mada moja kwa moja

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28, nimemaliza chuo kikuu mwaka jana

Tangu nimemaliza chuo, nimeangaika sana kupata kazi bila mafanikio.

Mwaka huu mwezi uliopita nilibahatika kupata kazi ya kuandikisha wapiga kula kwenye uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa

Baba yangu alikataa kabisa nisijihusishe kwenye mambo yoyote yanayohusiana na siasa kwa hiyo hakupendezwa.

Baada ya hilo zoezi la uandikishaji kuisha, juzi Ijumaa kuna mjumbe wa chama cha mapinduzi (CCM) aliniambia kuwa nimtafutie wanachama 20 tu kwaajili ya maadalizi ya uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa, na kuahidi atanipa pesa ya maji

Pale home jumla tupo watu 7 pamoja na ndugu wengine, nilitaka kwanza kuanza na familia yangu, nilimfata baba yangu na kumueleza kuwa na yeye awe mmoja wapo katika watu 20 nilioombwa na mjumbe

Ndugu zangu baba alinitukana matusi mazito, siwezi kuyaandika hapa, mpaka kufikia kuniambia nitakuwa nimelaaniwa na dunia.

Kaenda mbali zaidi ananimbia kama ntashilikiana na watu wa CCM na kumhusisha yeye, ataniondoa kwenye nyumba tunayoishi, ukizingatia hiyo nyumba ni ya babu yangu ambaye yeye ni baba yake

Marehemu babu yangu kabla ya kufariki alisema kabisa na wazi kuwa nisinyanyasike kwenye ule mji

Wakuu mpaka ninapoandika hapa, baba atoa vitu vyangu nje, anasema nikahamie kwa huyo mjumbe

Naombeni ushauri wenu wakuu, nataka kuipigania haki yangu, maana babu alisema kile chumba nilichokuwa nakaa ni mali yangu halali

Nipo katika wakati mkuu, nisaidieni niende polisi au nifanye nini wakuu?

Asanteni.
Afadhali baba yako hiyo hela aliyokusomesa angenunua ng'ombe wengi afuge apate maziwa , kuliko kusomesha ling'ombe limoja ambalo halitoi hata maziwa
 
Ila babako, inaonekana anaichukia sana ccm, mwambie maisha ni kuchagua
 
Mtu anayegombana kisa vitu vya urithi huwa ana shida kwenye ubongo..tafuta vyako!
Kumbe mwenye tatizo ni baba yake, maana yeye amerithi nyumba, halafu anajimwambafai hataki mwanae akae hapo! Huoni mzee wake naye kipa katoka.
 
Habarini ndugu zangu wana JamiiForums, matumaini yangu mu wazima wa afya tele.

Nisiwachoshe niende kwenye mada moja kwa moja

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28, nimemaliza chuo kikuu mwaka jana

Tangu nimemaliza chuo, nimeangaika sana kupata kazi bila mafanikio.

Mwaka huu mwezi uliopita nilibahatika kupata kazi ya kuandikisha wapiga kula kwenye uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa

Baba yangu alikataa kabisa nisijihusishe kwenye mambo yoyote yanayohusiana na siasa kwa hiyo hakupendezwa.

Baada ya hilo zoezi la uandikishaji kuisha, juzi Ijumaa kuna mjumbe wa chama cha mapinduzi (CCM) aliniambia kuwa nimtafutie wanachama 20 tu kwaajili ya maadalizi ya uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa, na kuahidi atanipa pesa ya maji

Pale home jumla tupo watu 7 pamoja na ndugu wengine, nilitaka kwanza kuanza na familia yangu, nilimfata baba yangu na kumueleza kuwa na yeye awe mmoja wapo katika watu 20 nilioombwa na mjumbe

Ndugu zangu baba alinitukana matusi mazito, siwezi kuyaandika hapa, mpaka kufikia kuniambia nitakuwa nimelaaniwa na dunia.

Kaenda mbali zaidi ananimbia kama ntashilikiana na watu wa CCM na kumhusisha yeye, ataniondoa kwenye nyumba tunayoishi, ukizingatia hiyo nyumba ni ya babu yangu ambaye yeye ni baba yake

Marehemu babu yangu kabla ya kufariki alisema kabisa na wazi kuwa nisinyanyasike kwenye ule mji

Wakuu mpaka ninapoandika hapa, baba atoa vitu vyangu nje, anasema nikahamie kwa huyo mjumbe

Naombeni ushauri wenu wakuu, nataka kuipigania haki yangu, maana babu alisema kile chumba nilichokuwa nakaa ni mali yangu halali

Nipo katika wakati mkuu, nisaidieni niende polisi au nifanye nini wakuu?

Asanteni.

Kwa kweli kwa kijana mdogo kama wewe mwenye umri wa miaka 28 tu mi naona baba anakosea kukuambia uhame hapo nyumbani. Yeye anategemea kwa umri wako huo mdogo we utaenda wapi na ndio kwanza umemaliza chuo kikuu mwaka jana? Baba alitakiwa akuache kwenye kile chumba ambacho babu alikuachia na akasema usinyanyasike hapo nyumbani. Mimi nakushauri ukamripoti baba kwa mjumbe wa nyumba 10 ili uruhusiwe kuendelea kukaa hapo angalau kwa miaka 15 ijayo ili uwe umeshajipanga.
 
Hiyo ni nyumba ya baba yake anahaki ya kukutimua Ingekua anakutimua nyumba yake (ya baba yako ) hapo tungekusaidia. Toka mkuu
 
Back
Top Bottom