Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Chuo gan umesoma
miaka 28 mpaka leo uko kwa baba ako, baba ako nae sijui ana miaka mingapi ila na yeye anakaa kwa baba ake. ngoja waje.😂😂😂😂😂😂😂😂
Alisikia kada mmoja wa ccm kutoka jf aking'ang'ani chumba cha marehemu na baba yake......
Mtafute Kawe Alumni akusaidie makaziHabarini ndugu zangu wana JamiiForums, matumaini yangu mu wazima wa afya tele.
Nisiwachoshe niende kwenye mada moja kwa moja
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28, nimemaliza chuo kikuu mwaka jana
Tangu nimemaliza chuo, nimehangaika sana kupata kazi bila mafanikio.
Mwaka huu mwezi uliopita nilibahatika kupata kazi ya kuandikisha wapiga kura kwenye uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa.
Baba yangu alikataa kabisa nisijihusishe kwenye mambo yoyote yanayohusiana na siasa kwa hiyo hakupendezwa.
Baada ya hilo zoezi la uandikishaji kuisha, juzi Ijumaa kuna mjumbe wa chama cha mapinduzi (CCM) aliniambia kuwa nimtafutie wanachama 20 tu kwa ajili ya maandalizi ya uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa, na kuahidi atanipa pesa ya maji.
Pale home jumla tupo watu 7 pamoja na ndugu wengine, nilitaka kwanza kuanza na familia yangu, nilimfuata baba yangu na kumueleza kuwa na yeye awe mmoja wapo katika watu 20 nilioombwa na mjumbe
Ndugu zangu baba alinitukana matusi mazito, siwezi kuyaandika hapa, mpaka kufikia kuniambia nitakuwa nimelaaniwa na dunia.
Kaenda mbali zaidi ananimbia kama ntashilikiana na watu wa CCM na kumhusisha yeye, ataniondoa kwenye nyumba tunayoishi, ukizingatia hiyo nyumba ni ya babu yangu ambaye yeye ni baba yake.
Marehemu babu yangu kabla ya kufariki alisema kabisa na wazi kuwa nisinyanyasike kwenye ule mji.
Wakuu mpaka ninapoandika hapa, baba atoa vitu vyangu nje, anasema nikahamie kwa huyo mjumbe.
Naombeni ushauri wenu wakuu, nataka kuipigania haki yangu, maana babu alisema kile chumba nilichokuwa nakaa ni mali yangu halali.
Nipo katika wakati mkuu, nisaidieni niende polisi au nifanye nini wakuu?
Asanteni.
Kweli kabisa
Asante sana mkuuKwa kweli kwa kijana mdogo kama wewe mwenye umri wa miaka 28 tu mi naona baba anakosea kukuambia uhame hapo nyumbani. Yeye anategemea kwa umri wako huo mdogo we utaenda wapi na ndio kwanza umemaliza chuo kikuu mwaka jana? Baba alitakiwa akuache kwenye kile chumba ambacho babu alikuachia na akasema usinyanyasike hapo nyumbani. Mimi nakushauri ukamripoti baba kwa mjumbe wa nyumba 10 ili uruhusiwe kuendelea kukaa hapo angalau kwa miaka 15 ijayo ili uwe umeshajipanga.
NakaziaMimi naona ni vyema ukahamie kwa huyo mjumbe wako,maana ndio anayekupa jeuri mpaka unamzarau baba yako
Tatizo lake alikuwa anataka sympathy kwa wadau
Ukiangalia mwanzo amesema kuwa “Baba yake alikataa kabisa ajihusishe na mambo ya siasa”
Hayo ni maneno ya baba yake kuwa hapendi siasa na wapo wengi hawapendi siasa kwa ujumla
Ila yeye ameona amtafutie kesi baba yake na kupata sapoti
Hapo amepiga mahesabu kuwa baba atafungwa na yeye atarithi nyumba [emoji23][emoji23]
Kuna watu wanapenda mirathi mpaka wanaweza kuuwa
Alooo wewe hata kuandika vizuri kwako ni tatizo bora baba yako alivyokutimua, unamuongezea mzigoHapana mkuu hapo nyumbani kuna chumba ambacho mzee amekifunga na kufuli na kunitolea vitu nje, ananitukana eti bora apangishe hapate kodi kuliko mimi kukaa na kujaza choo
Kama unashabikia CCM ni bora ufukuzwe tu ukakae Lumumba.Habarini ndugu zangu wana JamiiForums, matumaini yangu mu wazima wa afya tele.
Nisiwachoshe niende kwenye mada moja kwa moja
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28, nimemaliza chuo kikuu mwaka jana
Tangu nimemaliza chuo, nimehangaika sana kupata kazi bila mafanikio.
Mwaka huu mwezi uliopita nilibahatika kupata kazi ya kuandikisha wapiga kura kwenye uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa.
Baba yangu alikataa kabisa nisijihusishe kwenye mambo yoyote yanayohusiana na siasa kwa hiyo hakupendezwa.
Baada ya hilo zoezi la uandikishaji kuisha, juzi Ijumaa kuna mjumbe wa chama cha mapinduzi (CCM) aliniambia kuwa nimtafutie wanachama 20 tu kwa ajili ya maandalizi ya uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa, na kuahidi atanipa pesa ya maji.
Pale home jumla tupo watu 7 pamoja na ndugu wengine, nilitaka kwanza kuanza na familia yangu, nilimfuata baba yangu na kumueleza kuwa na yeye awe mmoja wapo katika watu 20 nilioombwa na mjumbe
Ndugu zangu baba alinitukana matusi mazito, siwezi kuyaandika hapa, mpaka kufikia kuniambia nitakuwa nimelaaniwa na dunia.
Kaenda mbali zaidi ananimbia kama ntashilikiana na watu wa CCM na kumhusisha yeye, ataniondoa kwenye nyumba tunayoishi, ukizingatia hiyo nyumba ni ya babu yangu ambaye yeye ni baba yake.
Marehemu babu yangu kabla ya kufariki alisema kabisa na wazi kuwa nisinyanyasike kwenye ule mji.
Wakuu mpaka ninapoandika hapa, baba atoa vitu vyangu nje, anasema nikahamie kwa huyo mjumbe.
Naombeni ushauri wenu wakuu, nataka kuipigania haki yangu, maana babu alisema kile chumba nilichokuwa nakaa ni mali yangu halali.
Nipo katika wakati mkuu, nisaidieni niende polisi au nifanye nini wakuu?
Asanteni.
Asante sana kaka nimekuelewaSehemu yoyote ile yenye hela wala usiachie ipite. Humu kuna watu wamepata degree na kazi kwa kuvua chupi. Hapo tengeneza urafiki na hao wanaccm kwasababu utapata kazi halafu ukizingatia umesoma. Utapewa dili. Hao wanaokutukana humu hawana msaada wowote ule kwako. Kuhusu issue ya mzee wako jaribu kama unataka kula na kipofu. Afrika hakuna demokrasia wala haki, ukijidai unapigania haki Afrika utaishia kufa. Hapo cha msingi ndugu yangu angalia pesa tu.
Babaake nae sijui umri gani anakaa kwa babaake. 😆Baba yako ni mtu mwenye busara sana! Miaka 28 unakaa kwa baba yako!?? Halafu eti unauliza unataka upiganie haki yako!?? Una haki gani wewe kwenye hiyo nyumba!??
Yaani ningekuwa mimi,kwanza ningetafuta wahuni wakafunga miguu na mikono,wakakuvulisha nguo nakutandika viboko 21 matakoni huku umepakwa pilipili..!! Na baada ya hapo hutakanyaga tena kwangu..Yaani wewe hustahili kabisa hata kuwa Duniani,bora Mungu akuchukue tu ili ampunguzie Baba yako mzigo..Pumbavu kabisaaa....