Msaada wenu: Baba yangu mzazi anataka kunitimua kwenye nyumba ya babu yetu

Kila nikiandika nafuta.

..........Hivi chama chetu kinajua kinachukiwa hivi mtaani?
 
Nimewaona mkoa naoishi mkuu...wanarogana kisa nyumba ya urithi wavivu tu kutafta vyao!..wamejazana hapo anayejitahid sana bas ni bodaboda[emoji28]

Yapo mengi sana kwenye jamii ya umasikini yaani mtu anashindwa kutafuta chake, jicho kodoo kwenye jasho la wenzake
Tena wanarogana sana na mpaka kuuwa kabisa ila hawanaga maendeleo mwisho wao ni mbaya tu
 
mzee wako haitak ccm ww unashindwa jiongeza ulivyo mwakyembe eti ukataka umwandikishe na yeye kwenye chama chakavu hahahahah!
 
Hati ya hicho chumba chako babu alikupatia?
 

Ndio maana unashirikiana na ccm hii kumbe. Kwa ufupi ni kuwa baba yako ANAKUPENDA SANA ila amegundua kuwa akili huna. Ndio maana anajitahidi kukurudisha kwenye njia sahihi.
 
Write your reply...bado mzazi wako ni mvumilivu sana mwehu wewe
 
Ukiambiwa CCM ni mashetani uwe unaelewa
 
tafuta yako
 
Una miaka 28 uko kwa baba yako

Tafuta Uzi wa watu walioanza kuishi geto

Ondoka hapo bhana ushakuwa mtu mzima Sana

Wewe na baba yako wote akili zenu ziko sawa[emoji57]
 
Fuata ushaur wa baba yako,we c uliona mjumbe anafaa ila baba n kwa ajil ya kula na kumjazia choo?utavuna ulichopanda
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€mkuu ndo umemaliza kumshauri au umeupanga ushauri wako ki epsode?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…