Msaada wenu: Baba yangu mzazi anataka kunitimua kwenye nyumba ya babu yetu

😂😂😂umefikiria ka mm,alitazamia watu wamjaze upepo hapa akaweke ding ndan kisa cha nyumba ya babu yake
 
Kuna kale kaneno kanasema
"UKIMWONA MTOTO ANAJIBISHANA NA BABA YAKE UJUE HUYO NI MTOTO WA NJE YA NDOA"
a.k.a. Mwanaharamu[emoji2211]
 
Nyumba ni ya babu yangu, ananitisha eti akinikuta ndani atanimwagia maji ya moto, anasema nikaishi ukouko kwa mjumbe wa ccm
Kuna kitu hakipo sawa ndani yako (judging from maandishi yako).... wewe huna maelewano sio tu na baba yako bali na ukoo wenu wote kisa hiyo nyumba ya urithi.... nakushauri ukajishikize kwa mjumbe huku ukitafuta kazi na sehemu ya kuishi.
 
Akili za CCM utazitambua tu
 
Kwa ushirikiano na wezib basi anastahili uondoshwe katika hiyo nyumba. Ccm s2o ndio kila kitu, nyumba pia watakupatia.
Babu yako alikuchukulia aje bado aweke msisitizo kwako tu, kuwa usinyanyaswe katika huo mji?
 
Sikusemi vibaya, ila elimu yako haijakusaidia kuishi. Yaani baba ako karithi nyumba, akaamua kukurithisha elimu na bado unapigania chumba!?(umesema chumba hicho ni mali yako halali)

Itakuwa baba yako anaona unamchafulia sebule ama korido wakati ukielekea kwenye nyumba yako😀
 
Reactions: amu
Huna chako hapo. Omba huruma.
 
Anakupa angalizo la kuitumia hela ya maji kuanzisha maisha yako.
Kapange uanze kama alivyoanza babu yako.
Elimu ulionayo ni mtaji tosha wa kujitegemea.
 
Kwa kuwa hukufuata maelekezo ya mzazi
Alikwambia usijihusishe na siasa wewe ukajihusisha na mbaya zaidi ukapiga kampeni kwake amchague mjumbe
Ushauri omba radhi kwa baba au tafuta watu 20 uhamie kwa mjumbe
Angalizo
Uchaguzi ukisha tu mjumbe anakufukuza kwake ndipo utajua baba alikwambiaje
Tafakari chukua hatua
 
“Baba Ako” huenda aliuza ng’ombe wengi sana ili asomeshe ng’ombe mmoja, pongezi nyingi kwake.... swali langu ni kuhusu hao “watu 20” unawatafuta kwa kazi gani na uchaguzi ni bila kupingwa..?
 
Nyumba ni ya babu yangu, ananitisha eti akinikuta ndani atanimwagia maji ya moto, anasema nikaishi ukouko kwa mjumbe wa ccm
Nyumba ni ya babu yako mrithi ni baba yako ww katafute chako au mwambie baba yako akutafutie .
Hata kama babu kasema usinyanyaswe au umepewa chumba hiyo ni ihsani ama busara.
Sasakama umekuwa huna adabu kwa baba yako unategemea nini.
Kamuombe radhibaba yako achana siasa
 
Wewe hujasoma chuo bwana, tusidanyanyane ninyi madogo sio poa kabisa
 
Kesi ngumu hiyo,unakaa kwenye nyumba ya babu yako na baba naye anakaa kwenye nyumba ya baba yake...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…