Msaada wenu: Baba yangu mzazi anataka kunitimua kwenye nyumba ya babu yetu

Marehemu babu yangu kabla ya kufariki alisema kabisa na wazi kuwa nisinyanyasike kwenye ule mji.
Sasa si uende huko CCM wakupe nyumba, hiyo nyumba wewe haikuhusu. Nyumba ni yaya baba yako anayo haki ya kukutimua kwa huo umbavu wako.
 
Mhh aisee yaani unataka kujipendekeza CCM kwa kupitia nyumba ya Mzee ana haki kukutimua hakuna urithi kwa babu au bibi miaka 28 unafikiria Mambo ya nyumba ya baba aisee pambana ikiwezekana ondoka hapo utafunguliwa njia kuliko kukaa na kukariri ulithi wa babu utakufa masikini..nilipokua na umri wako nipo Lusaka napambana wala sifikirii viwanja wala nyumba za Wazee aisee...
 
Toka hiyo ndo tabia ya uchawi inavyoanza mtoto mdogo unawaza urithi na wanao waishi hapo hapo kachelewa isee
 
Kisheria nyumba ni ya baba ila kama kuna maandishi aliyoacha babu sawa. Tafuta tu chumba usibishane na baba.
 
Mzee wako ni mpinzani
Ila asikufanye ad ww ukose ad vocha kisa anaichukia CCM.
Vijana tunaangalia fursa siasa baadae
 
miaka 28 mpaka leo uko kwa baba ako, baba ako nae sijui ana miaka mingapi ila na yeye anakaa kwa baba ake. ngoja waje.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Duu yaani baba yako anaishi kwao na wewe unaishi kwa babu yako.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]umefikiria ka mm,alitazamia watu wamjaze upepo hapa akaweke ding ndan kisa cha nyumba ya babu yake

Tena ana bahati sisi bado tuna upendo
Mjadala huu ungekuwa kwenye social networks za nje angeuziwa na sumu au Pistol kabisa ammalize
Ashukuru sana kuna waungwana bado nyumbani [emoji56][emoji56]
 
Hapana mkuu hapo nyumbani kuna chumba ambacho mzee amekifunga na kufuli na kunitolea vitu nje, ananitukana eti bora apangishe hapate kodi kuliko mimi kukaa na kujaza choo
naona baba yako amepata mpangaji ambae hanyi hivyo choo hakita jaa
 
Duu yaani baba yako anaishi kwao na wewe unaishi kwa babu yako.
Babu amempa chumba na kumwambia asinyanyasike nae akapata kiburi,ni bora umwambie baba yako akupe nyumba yako ya urithi kisha wewe nawe umpangishe
 
Me naona mzee wako yuko sahihi kabisa,maana umemletea dharau sana..

Ningekuwa mimi aisee.
 
Kwa hiyo ulitaka mdingi akenue meno kwa kufanywa msukule wa CCM?halafu uliwahi ona wapi ccm ikamjali mtu waliemtumia?
 
Mkuu bora usepe
 
Kesi ya nyani umeileta kwa mkulima!

Acha nijiandae kusoma komenti watakutia hasira huku hadi ujikute unajuta kuandika uzi wako.
ungemwambia tu aende kwenye nyumba ya baba yake ili kuepusha shari
 
Tuanzie hapa: Anae acha urithi ni babu au baba..Babako kapewa urithi na baba ake, na wewe mwambie baba ako akupe urithi wako....na urithi si lazima kwaiyo akikunyima kuwa mpole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…