BIGstallion
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 6,324
- 7,913
Clotrimasole
Tineacide na cream nyingine ambazo hata majina siyakumbuki but sijaona kama vimenisaidia. Usafi sawa, najikausha na towel but still persisted..nawaza sijui ninunue dryer ndogo?
Inawezekan Una allergic reactions na maji ya a in a flan Kama ya chumvi,mabadiliko mengn yatatokea Kama utabalisha lifestyle akikisha unajikausha na taulo vizur ukauke wakati ukimalixa kuoga,na uondoe hali ya uchafu mwilin kwa mfano oga ata Mara mbili kwa siku,uo muasho unaletwa na uchafu hasa maji ya chumvi yanatabia ya kutengeneza layers kwenye mwil