Inawezekan Una allergic reactions na maji ya a in a flan Kama ya chumvi,mabadiliko mengn yatatokea Kama utabalisha lifestyle akikisha unajikausha na taulo vizur ukauke wakati ukimalixa kuoga,na uondoe hali ya uchafu mwilin kwa mfano oga ata Mara mbili kwa siku,uo muasho unaletwa na uchafu hasa maji ya chumvi yanatabia ya kutengeneza layers kwenye mwil