Msaada wenu Wakuu, baba yangu hataki kunilipa deni langu

Msaada wenu Wakuu, baba yangu hataki kunilipa deni langu

Habarini za uzima wakuu

Mimi ni kijana nina miaka 31, mwaka huu mwezi wa pili mungu akipenda natimiza 32 (kwa kweli litakuwa jambo la kumshukuru Mungu kwa uhai huo)

Niende kwenye maada moja kwa moja

Kipindi nipo chuo 2013 nilikuwa napata bumu langu vizuri tu, baba yangu aliniomba nimsaidie sh laki 5 kipindi nipo mwaka wa pili nikampa kwa miadi kuwa atanirejeshea pesa yangu.

Mwaka wa tatu semister ya pili mzee akaniomba laki 4 tena uku akiwa bado hajanilipa laki 5 yangu, sikuwa na iyana nikampa

Jumla nikawa namdai SH LAKI 9 (900,000)

Baada ya kumaliza chuo na kurudi home ni mwaka wa 7 sasa baba hataki kunilipa deni langu

Umri wa kuondoka nyumbani umeshakaribia, nimemuomba mzee anipatie iyo pesa yangu nikapange chumba nifungue na biashara ila kila siku anasema hayupo vizuri

Wakuu naombeni ushauri wenu nifanyeje nipate haki yangu

Maana nikimuambia mambo ya siasa anasema kama naipenda CCM niondoke nyumbani kwakwe, wakati huohuo hataki kunipa ela yangu

Kila siku is naumia moyoni

Naombeni msaada wenu

Sent using komputa mpakato
Du 32yrs, bado unaishi nyumbani, achana na hilo deni, jipange kwa mda kama miezi 3 hadi 6, upange ujitegemee. Utakua na nafasi ya kufanya maendeleo na kichwa kitachangamka kuliko kukaa home unaji limit uwezo wa kuendelea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jasho lako umelitoa wapi wewe ?, acha uzombie, hiyo hele ndogo sana Mheshimu Babayako, sio kumletea mada hapa JF, wenzako wote wana Baba zao na wamekaa kimya, wewe umesahau alivyokukosa na koleo ?
utakuta lenyewe ndio limemlostisha mshua alafu linaleta ngebe, pigwa bonge la radhi moja tu
 
Habarini za uzima wakuu

Mimi ni kijana nina miaka 31, mwaka huu mwezi wa pili mungu akipenda natimiza 32 (kwa kweli litakuwa jambo la kumshukuru Mungu kwa uhai huo)

Niende kwenye maada moja kwa moja

Kipindi nipo chuo 2013 nilikuwa napata bumu langu vizuri tu, baba yangu aliniomba nimsaidie sh laki 5 kipindi nipo mwaka wa pili nikampa kwa miadi kuwa atanirejeshea pesa yangu.

Mwaka wa tatu semister ya pili mzee akaniomba laki 4 tena uku akiwa bado hajanilipa laki 5 yangu, sikuwa na iyana nikampa

Jumla nikawa namdai SH LAKI 9 (900,000)

Baada ya kumaliza chuo na kurudi home ni mwaka wa 7 sasa baba hataki kunilipa deni langu

Umri wa kuondoka nyumbani umeshakaribia, nimemuomba mzee anipatie iyo pesa yangu nikapange chumba nifungue na biashara ila kila siku anasema hayupo vizuri

Wakuu naombeni ushauri wenu nifanyeje nipate haki yangu

Maana nikimuambia mambo ya siasa anasema kama naipenda CCM niondoke nyumbani kwakwe, wakati huohuo hataki kunipa ela yangu

Kila siku is naumia moyoni

Naombeni msaada wenu

Sent using komputa mpakato
Kama una miaka saba tangu uhitimu chuo na bado unategemea wazazi, nikwambie ukweli wewe ni janga. Iwapo hautaweka mipango ya maisha yako ya badaye rafiki yangu hata ukipewa milioni na baba yako, itaishia kwenye kodi ya chumba na vitu vya ndani. Tukianza kuorodhesha madeni tunayodai hilo lako chamtoto. Amka kijana nadhani sasahv una miaka zaidi ya 30 kubali kujitegemea sasa ili baadaye usiwe mzigo kwa familia. Halafu kumdai mzazi wako (unadai amesema hayuko vzr, na unaweza kuwa unajua kama ni kweli au lah!) Bado anakuhudumia, huoni kama ni kumuabisha hapa jukwaani? Sijui vijana tunakwama wapi.
 
Nins 23 ila naona ukakasi kukas home mwezi..nyie mnawezaje kufika hadi umri huo mpo kwenu?
Mdio maana hakukipi maana mngekya mbalimbali heshima ingekuwepo
 
Ungekuawa umepanga chumba kwa hiyo miaka saba ambayo uko kwa babako tokea umalize chuo ungekuwa umetumia shs ngapi we kijana wa CCM?

Then mpaka unafikia hatua ya kupokea boom kabla ya hapo nani alikuwa anakugharimia maswala yako ya Elimu, mavazi, afya, chakula na mengineo?

Kama ni kudaiana, wewe na babako nani anamdai mwenzake?
 
Habarini za uzima wakuu

Mimi ni kijana nina miaka 31, mwaka huu mwezi wa pili mungu akipenda natimiza 32 (kwa kweli litakuwa jambo la kumshukuru Mungu kwa uhai huo)

Niende kwenye maada moja kwa moja

Kipindi nipo chuo 2013 nilikuwa napata bumu langu vizuri tu, baba yangu aliniomba nimsaidie sh laki 5 kipindi nipo mwaka wa pili nikampa kwa miadi kuwa atanirejeshea pesa yangu.

Mwaka wa tatu semister ya pili mzee akaniomba laki 4 tena uku akiwa bado hajanilipa laki 5 yangu, sikuwa na iyana nikampa

Jumla nikawa namdai SH LAKI 9 (900,000)

Baada ya kumaliza chuo na kurudi home ni mwaka wa 7 sasa baba hataki kunilipa deni langu

Umri wa kuondoka nyumbani umeshakaribia, nimemuomba mzee anipatie iyo pesa yangu nikapange chumba nifungue na biashara ila kila siku anasema hayupo vizuri

Wakuu naombeni ushauri wenu nifanyeje nipate haki yangu

Maana nikimuambia mambo ya siasa anasema kama naipenda CCM niondoke nyumbani kwakwe, wakati huohuo hataki kunipa ela yangu

Kila siku is naumia moyoni

Naombeni msaada wenu

Sent using komputa mpakato

Watu mna baba zenu na mnawadai vitu vidogo mpaka mnawaanika Mitandaoni,
Mzee wangu alitoweka mwaka 2000,nimesoma na kukua bila uwepo wake, Laiti angekuwa hai Huu msimu wa sikukuu ningekaa nae tungekula wote bia na nyama,
Apumzike kwa Amani,
Mshukuru sana Mungu kwa kuwa mzazi wako yuko hai.
 
Mkuu bado unagombana na baba yako [emoji28][emoji28]hiyo nyumba ya urithi muachie babako ww ondoka na hela muachie tu
Lasivyo utapata mabalaa na udiwani ushindwe kuupata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baba ako angekuwa na uwezo wa kukurudisha kwenye pumbu basi angefanya hivo afu mbegu yako aipigie puchu udondoshwe bafun ukafnye utelezi

Mzaz adaiwi kamwe fnya tu kama umecheza tatu mzuka
 
Back
Top Bottom