Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
KikooziBabu huyo dogo ni Kikohozi au Kikoozi?
Mimi sio dada tafadhali mimi ni mwanaumeUpo serious kabisa? Daaah nakuonea huruma kwa akili uliyo nayo
Deni halina Cha baba Wala mtoto huyo baba alipe Hilo deni aache ubabaishaji
Kikoozi
Acha hizo Kama baba yake alitaka ampe hela angemuomba tu Sio kusingizia mkopo.Thaminisha hiyo fedha kwa miaka uloishi
900,000/32 = 28, 125 TZS kwa mwaka
28,125/12 = 2,344 TZS kwa mwezi
2,344/30 = 78 TZS kwa siku
___linganisha na matunzo yako alogharamikia
Chakula & Mavazi
Uliugua akakupeleka hospital
Ada ya shule alolipa
Ulinzi alokupa hadi sasa umekuwa
Ulivunja/ama kuharibu vitu vyake ama vya wengine/shuleni akalipa
"...Mwanangu waheshimu wazazi wako upate miaka mingi na heri duniani..."
Kabla sijafungua quote yako nilijua kabisa utakuwa umejibu hiviDeni halina Cha baba Wala mtoto huyo baba alipe Hilo deni aache ubabaishaji