Mr Suprize
JF-Expert Member
- Dec 18, 2014
- 869
- 961
Habari Jf doctors!
Ni wiki sasa jogoo (uume) wangu haujawahi kusimama , iwe asubuhi au usiku jamaa kalala ,, sijui sababu gani? najitahid kunywa Maji mengi na kufanya mazoez kila siku Ila jamaa yupo kimya tofauti na kipindi cha nyuma.
Nisaidieni wadau
Ni wiki sasa jogoo (uume) wangu haujawahi kusimama , iwe asubuhi au usiku jamaa kalala ,, sijui sababu gani? najitahid kunywa Maji mengi na kufanya mazoez kila siku Ila jamaa yupo kimya tofauti na kipindi cha nyuma.
Nisaidieni wadau