Pre GE2025 Msafara wa ACT, Lissu wazuiliwa airport nchini Angola, kurudishwa nchini, ACT watoa tamko

Pre GE2025 Msafara wa ACT, Lissu wazuiliwa airport nchini Angola, kurudishwa nchini, ACT watoa tamko

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Mambo yametokea huko, ngoja waseto waje watueleze kunani! Au CCM ndio imepiga pini 'No Reforms No Election' isipate nguvu wakaanza kushawishiwa kupokea mabadiliko?!

=====

1741879824873.png

Msafara wa viongozi wa Chama cha ACT Wazalendo ukiongozwa na Kiongozi wa chama hicho Dorothy Semu uliosafiri kuelekea nchini Angola kwa ajili ya kushiriki Mazungumzo ya Jukwaa la Demokrasia Afrika umezuiliwa katika uwanja wa ndege wa Luanda (Angola).

Jambo TV ikizungumza na Waziri Kivuli wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa ACT, Dkt. Nasra Nassor ameeleza kuwa viongozi hao akiwemo Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Othman Masoud Othman ambaye ni Mwenyekiti wa Chama hicho pamoja na Mwenyekiti wa CHADEMA Lissu wanarudishwa jijini Johannesburg nchini Afrika ya Kusini ili waweze kurudi nchini.

Nasra ameeleza kuwa msafara wa Makamu wa Rais utarejeshwa peke yake huku viongozi wengine wakirudishwa peke yao

Aidha Jambo TV imemuuliza kama walipewa sababu ya wao kuzuiliwa ameeleza kuwa mpaka sasa bado hawajaambiwa sababu ni nini ila wameambiwa watarudishwa Afrika ya Kusini.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Jambo TV imejaribu kumuuliza juu ya wao kufanya mawasiliano na ubalozi wa Tanzania nchini humo amesema kuwa wamewasiliana nao lakini ubalozi huo hauna nguvu juu ya maamuzi yaliyofanyika

Jambo TV inaendelea kufuatilia habari hii zaidi na tutaendelea kukujuza.

=========================

VIONGOZI ACT WAZALENDO WAZUIWA KUINGIA NCHINI ANGOLA

Msafara wa Viongozi wa ACT Wazalendo ukiongozwa na Kiongozi wa Chama Ndugu Dorothy Semu na Mwenyekiti wa Chama Ndugu Othman Masoud Othman ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar umezuiwa kuingia nchini Angola na mamlaka za Serikali ya Angola.

Viongozi hao wanashikiliwa katika Uwanja wa Ndege wa Luanda na hati zao za kusafiria zinashikiliwa. Serikali ya Angola, bila kueleza sababu yoyote imetoa amri ya viongozi hao kurejeshwa Tanzania.

Viongozi hao waliwasili Angola kushiriki mazungumzo ya Jukwaa la Demokrasia Afrika [The Platform for African Democrats (PAD)] yaliyoandaliwa na Taasisi ya The Brenthurst Foundation yaliyopangwa kufanyika kuanzia tarehe 13-16 Machi 2025.

Mbali na viongozi wa ACT Wazalendo, viongozi wengine zaidi ya 40 kutoka nchi mbalimbali Afrika ambao pia walikuwa wanahudhuria mkutano huo wamezuiliwa na Serikali ya Angola. Moja ya viongozi waandamizi waliotarajiwa kushiriki kwenye Mkutano huo ni pamoja na Marais Wastaafu Ian Khama (Botswana) na Andres Pastrana Arango (Columbia). Wengine ni Waziri wa Kilimo wa Afrika ya Kusini na Kiongozi wa Chama cha DA Ndugu John Steenhuisen na Kiongozi wa Chama cha PODEMOS cha nchini MsumbijiNdugu Venancio Mondlane.

WITO WETU
Wakati Kamati ya Uongozi Taifa ikikutana kwa dharura kutafakari juu ya mkasa huu na hatua muafaka za kuchukua, Chama kinatoa wito ufuatao katika hatua za awali;-

ACT Wazalendo inalaani kwa nguvu kitendo cha udhalilishaji kilichofanyika dhidi ya viongozi wetu na viongozi wengine kwa kuzuiliwa na kushikiliwa katika Uwanja wa Ndege wa Luanda.

Tunamtaka Balozi wa Angola nchini Tanzania kutoa maelezo ni kwa sababu gani viongozi wetu akiwemo Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar wamezuiliwa na kunyang'anywa hati zao za kusafiriria.

Tunaitaka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imuite na kumhoji Balozi wa Angola nchini juu ya kadhia hii.

Tunatoa wito kwa Serikali ya Angola kuziachia mara moja hati za kusafiria za viongozi wetu walizozishikilia na kuwaruhusu kuendelea na ratiba yao nchini Angola.
STATEMENT - Viongozi ACT Kuzuiwa Airport Angola_page-0001.jpg

STATEMENT - Viongozi ACT Kuzuiwa Airport Angola_page-0002.jpg


Alichoandika Tundu Lissu
Angolan immigration authorities are holding up and denying entry into Angola for me and a delegation of more than twenty senior leaders and representatives of political parties from across southern Africa who arrived in Luanda earlier today for a planned two day meeting.

The group includes a sitting First Vice President from Tanzania; a former President of Botswana; a former Prime Minister of Lesotho and a host of senior political leaders and delegates from Kenya, Sudan, Tanzania, South Africa, Namibia, Eswatini, Lesotho, Germany, USA, Uganda, DRC and Mozambique.

Angolans and Tanzanians are a brotherly people. Tanzania hosted Dr. Antonio Agostinho Neto and his MPLA fighters in the early years of their independence struggle. We supported Angola through thick and thin during the apartheid South African regime's occupation of Southern Angola in the '70s and '80s.

Like Angola, Tanzania is a SADC member state and, as such, we Tanzanians don't need visa to enter Angola.

This shabby treatment of the nationals of brotherly African nations by the Angolan immigration authorities is totally unacceptable and should be condemned in the strongest possible terms.
 
Angolan immigration authorities are holding up and denying entry into Angola for me and a delegation of more than twenty senior leaders and representatives of political parties from across southern Africa who arrived in Luanda earlier today for a planned two day meeting.

The group includes a sitting First Vice President from Tanzania; a former President of Botswana; a former Prime Minister of Lesotho and a host of senior political leaders and delegates from Kenya, Sudan, Tanzania, South Africa, Namibia, Eswatini, Lesotho, Germany, USA, Uganda, DRC and Mozambique

. Angolans and Tanzanians are a brotherly people. Tanzania hosted Dr. Antonio Agostinho Neto and his MPLA fighters in the early years of their independence struggle. We supported Angola through thick and thin during the apartheid South African regime's occupation of Southern Angola in the '70s and '80s.

Like Angola, Tanzania is a SADC member state and, as such, we Tanzanians don't need visa to enter Angola.

This shabby treatment of the nationals of brotherly African nations by the Angolan immigration authorities is totally unacceptable and should be condemned in the strongest possible terms.

Chanzo; Akaunti ya lissu ya mtanda wa X
 
Serikali ya Chama dola kongwe tawala cha MPLA vya ukombozi kwa kushirikiana na serikali za vyama kongwe dola wameamua kuwadhibiti wapinzani hata nje ya mipaka ya nchi zao.

Baada ya Colonel Dr. Besigye, Maria Sarungi sasa hadi makamu wa rais wa Zanzibar na wengine wakumbwa rungu la dola nje ya mipaka ya nchi zao..

Zanzibar's VP Othman Sharif, Sifuna, Bobi Wine and Tundu Lissu among leaders denied entry into Angola​

By Charles Adinda | March 13, 2025
Zanzibar's VP Othman Sharif, Sifuna, Bobi Wine and Tundu Lissu among leaders denied entry into Angola

From left: Nairobi Senator Edwin Sifuna, Ugandan politician Bobi Wine and Tanzanian opposition figure Tundu Lissu

Zanzibar's first VP Othman Masoud Sharif, Nairobi Senator Edwin Sifuna and opposition politicians Bobi Wine Tundu Lissu are among leaders denied entry into Angola.


The leaders are part of a delegation of more than 40 senior leaders and representatives of political parties from across Africa who had travelled to Luanda earlier today for a planned two-day meeting at the invitation from the Office of the President of the National Union for the Total Independence of Angola (UNITA).


According to sources who spoke to The Eastleigh Voice, the leaders are currently being held at Luanda Airport, and their passports have been confiscated. The Angolan government, without providing any explanation, has issued an order for them to be returned to Tanzania, Kenya via Ethiopia and Johannesburg according to their Connection Flight.

Among the senior leaders expected to participate in the forum were former Presidents Ian Khama (Botswana) and Andrés Pastrana Arango (Colombia). Others included South Africa’s Minister of Agriculture and Democratic Alliance (DA) leader, Comrade John Steenhuisen, and the leader of Mozambique’s PODEMOS party, Comrade Venancio Mondlane.

In a statement on Thursday through his X account, Sifuna revealed that despite receiving an official invitation from the Office of the President of the National Union for the Total Independence of Angola (UNITA), they were barred from entering by Angolan authorities.

"UNITA President Adalberto Costa invited us to Angola, but the government has denied us entry!" read the statement from Sifuna.

The Orange Democratic Movement (ODM) Secretary General then went on to share an official communication from UNITA's President addressed to the Director of Migration and Foreigner Services.

"We hereby request your good offices to obtain a Border Visa for the following gentlemen who will enter the country, tomorrow, March 13, 2025, at the February 4 International Airport," read part of the letter.

Adalberto Costa then listed the individuals he was requesting entry for who included a Kenyan duo of Edwin Sifuna and Cirino Hiteng Ofuho as well as Uganda's Bobi Wine and Sharif Ssenyonjo. Oleksandr Omelchuk, Andriy Marasin from Ukraine and Merera Gudina from Ethiopia were also listed.

"The Office of the President of UNITA assumes full responsibility for their stay in Angola. In anticipation of the best possible reception, we reaffirm to the Immigration and Foreigners Services our highest esteem and consideration." the letter stated.

Condemnation

Tundu Lissu also condemned the action by the Angolan immigration authorities.

"The group includes a sitting First Vice President from Tanzania; a former President of Botswana; a former Prime Minister of Lesotho and a host of senior political leaders and delegates from Kenya, Sudan, Tanzania, South Africa, Namibia, Eswatini, Lesotho, Germany, USA, Uganda, DRC and Mozambique," Lissu said on X.

"Angolans and Tanzanians are a brotherly people. Tanzania hosted Dr. Antonio Agostinho Neto and his MPLA fighters in the early years of their independence struggle. We supported Angola through thick and thin during the apartheid South African regime's occupation of Southern Angola in the '70s and '80s. Like Angola, Tanzania is a SADC member state and, as such, we Tanzanians don't need visas to enter Angola. This shabby treatment of the nationals of brotherly African nations by the Angolan immigration authorities is totally unacceptable and should be condemned in the strongest possible terms."

The ACT-Wazalendo party, whose members include the chairman and Zanzibar’s first vice president, Othman, who were among those in Angola, has strongly condemned what they term as degrading treatment against Tanzanian leaders and other participants detained at Luanda Airport in Angola. The party is demanding immediate clarification from the Angolan authorities regarding the reasons behind the detainment and confiscation of the passports belonging to the leaders.

“We condemn this incident in the strongest terms. The treatment of our leaders is not only degrading but also a violation of diplomatic protocols,” said Mwanaisha Mndeme, Secretary of Foreign Affairs and East African Cooperations for ACT-Wazalendo. The party has called on the Angolan ambassador to Tanzania to provide a detailed explanation for the actions of the Angolan authorities.



ACT-Wazalendo has also urged Tanzania’s Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation to take swift action by summoning the Angolan Ambassador for an explanation. The party emphasised the importance of holding Angola accountable for treating Tanzanian citizens and leaders abroad.



Furthermore, ACT-Wazalendo is calling on the Angolan government to return the confiscated passports immediately and allow the Tanzanian delegation to proceed with their planned schedule in Angola without further hindrance.
 
Wakuu,

Mambo yametokea huko, ngoja waseto waje watueleze kunani! Au CCM ndio imepiga pini 'No Reforms No Election' isipate nguvu wakaanza kushawishiwa kupokea mabadiliko?!

=====


Msafara wa viongozi wa Chama cha ACT Wazalendo ukiongozwa na Kiongozi wa chama hicho Dorothy Semu uliosafiri kuelekea nchini Angola kwa ajili ya kushiriki Mazungumzo ya Jukwaa la Demokrasia Afrika umezuiliwa katika uwanja wa ndege wa Luanda (Angola).

Jambo TV ikizungumza na Waziri Kivuli wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa ACT, Dkt. Nasra Nassor ameeleza kuwa viongozi hao akiwemo Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Othman Masoud Othman ambaye ni Mwenyekiti wa Chama hicho pamoja na Mwenyekiti wa CHADEMA Lissu wanarudishwa jijini Johannesburg nchini Afrika ya Kusini ili waweze kurudi nchini.

Nasra ameeleza kuwa msafara wa Makamu wa Rais utarejeshwa peke yake huku viongozi wengine wakirudishwa peke yao

Aidha Jambo TV imemuuliza kama walipewa sababu ya wao kuzuiliwa ameeleza kuwa mpaka sasa bado hawajaambiwa sababu ni nini ila wameambiwa watarudishwa Afrika ya Kusini.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Jambo TV imejaribu kumuuliza juu ya wao kufanya mawasiliano na ubalozi wa Tanzania nchini humo amesema kuwa wamewasiliana nao lakini ubalozi huo hauna nguvu juu ya maamuzi yaliyofanyika

Jambo TV inaendelea kufuatilia habari hii zaidi na tutaendelea kukujuza.

=========================

VIONGOZI ACT WAZALENDO WAZUIWA KUINGIA NCHINI ANGOLA

Msafara wa Viongozi wa ACT Wazalendo ukiongozwa na Kiongozi wa Chama Ndugu Dorothy Semu na Mwenyekiti wa Chama Ndugu Othman Masoud Othman ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar umezuiwa kuingia nchini Angola na mamlaka za Serikali ya Angola.

Viongozi hao wanashikiliwa katika Uwanja wa Ndege wa Luanda na hati zao za kusafiria zinashikiliwa. Serikali ya Angola, bila kueleza sababu yoyote imetoa amri ya viongozi hao kurejeshwa Tanzania.

Viongozi hao waliwasili Angola kushiriki mazungumzo ya Jukwaa la Demokrasia Afrika [The Platform for African Democrats (PAD)] yaliyoandaliwa na Taasisi ya The Brenthurst Foundation yaliyopangwa kufanyika kuanzia tarehe 13-16 Machi 2025.

Mbali na viongozi wa ACT Wazalendo, viongozi wengine zaidi ya 40 kutoka nchi mbalimbali Afrika ambao pia walikuwa wanahudhuria mkutano huo wamezuiliwa na Serikali ya Angola. Moja ya viongozi waandamizi waliotarajiwa kushiriki kwenye Mkutano huo ni pamoja na Marais Wastaafu Ian Khama (Botswana) na Andres Pastrana Arango (Columbia). Wengine ni Waziri wa Kilimo wa Afrika ya Kusini na Kiongozi wa Chama cha DA Ndugu John Steenhuisen na Kiongozi wa Chama cha PODEMOS cha nchini MsumbijiNdugu Venancio Mondlane.

WITO WETU
Wakati Kamati ya Uongozi Taifa ikikutana kwa dharura kutafakari juu ya mkasa huu na hatua muafaka za kuchukua, Chama kinatoa wito ufuatao katika hatua za awali;-

ACT Wazalendo inalaani kwa nguvu kitendo cha udhalilishaji kilichofanyika dhidi ya viongozi wetu na viongozi wengine kwa kuzuiliwa na kushikiliwa katika Uwanja wa Ndege wa Luanda.

Tunamtaka Balozi wa Angola nchini Tanzania kutoa maelezo ni kwa sababu gani viongozi wetu akiwemo Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar wamezuiliwa na kunyang'anywa hati zao za kusafiriria.

Tunaitaka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imuite na kumhoji Balozi wa Angola nchini juu ya kadhia hii.

Tunatoa wito kwa Serikali ya Angola kuziachia mara moja hati za kusafiria za viongozi wetu walizozishikilia na kuwaruhusu kuendelea na ratiba yao nchini Angola.


Alichoandika Tundu Lissu
Angolan immigration authorities are holding up and denying entry into Angola for me and a delegation of more than twenty senior leaders and representatives of political parties from across southern Africa who arrived in Luanda earlier today for a planned two day meeting.

The group includes a sitting First Vice President from Tanzania; a former President of Botswana; a former Prime Minister of Lesotho and a host of senior political leaders and delegates from Kenya, Sudan, Tanzania, South Africa, Namibia, Eswatini, Lesotho, Germany, USA, Uganda, DRC and Mozambique.

Angolans and Tanzanians are a brotherly people. Tanzania hosted Dr. Antonio Agostinho Neto and his MPLA fighters in the early years of their independence struggle. We supported Angola through thick and thin during the apartheid South African regime's occupation of Southern Angola in the '70s and '80s.

Like Angola, Tanzania is a SADC member state and, as such, we Tanzanians don't need visa to enter Angola.

This shabby treatment of the nationals of brotherly African nations by the Angolan immigration authorities is totally unacceptable and should be condemned in the strongest possible terms.
Nguvu ya umma itashinda.
 
Back
Top Bottom