Pre GE2025 Msafara wa ACT, Lissu wazuiliwa airport nchini Angola, kurudishwa nchini, ACT watoa tamko

Pre GE2025 Msafara wa ACT, Lissu wazuiliwa airport nchini Angola, kurudishwa nchini, ACT watoa tamko

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Angola mbona inajishushia hadhi, ina maana haijui kuwa hao wapinzani ndio hao hao wanaweza kuwa viongozi wa mataifa yao? Hiyo ni hofu tu ya chama tawala cha MPLA kwamba wapinzani wake watapata moto. MPLA ni rafiki wa CCM na ina mentality ya Ki ccm. Angola ilitaka vyama tawala tu ndio waingie kwenye huo mkutano?
 
.

Ex-Presidente do Botswana, Venâncio Mondlane e outros políticos africanos foram impedidos de entrar em Angola

Ian Khama, ex-Presidente do Botswana, bem como Venâncio Mondlane, opositor político em Moçambique, impedidos de entrar em Angola. Vice-presidente da Tanzânia deportado para a Etiópia.
GettyImages-2180226917

Photo: Ian Khama, antigo Presidente do Botswana é um dos políticos retidos no aeroporto de Luanda


Vários políticos africanos ficaram esta quinta-feira retidos no aeroporto de Luanda, impedidos de entrar em Angola e um grupo de dez, incluindo o vice-presidente da Tanzânia, deputados do Quénia como o vice-presidente do Parlamento do país, e sudaneses foram deportados na companhia aérea etíope para Adis Abeba. O opositor moçambicano Venâncio Mondlane, bem como os seus dois assessores, Dinis Tivane e Luis Mariquelle foram separados dos restantes políticos, “não se sabendo onde estão” confirmou ao Observador a investigadora portuguesa Paula Cristina Roque, que está no local. “Pensa-se que estarão a ser deportados para Joanesburgo”, acrescentou.

Um outro grupo de 26 políticos, como Ian Khama, o reputado antigo Presidente do Botswana, filho do primeiro líder do país, e o ex-primeiro-ministro do Lesotho, por exemplo, estão neste momento numa parte isolada do aeroporto.


Por volta das 18h00 em Luanda alguns dos políticos que era suposto entrarem num avião para se digiri
Tanto os políticos que foram deportados quanto os que ainda estão no aeroporto ficaram sem os passaportes diplomáticos, continua a investigadora. De qualquer forma, como membros que são da Comunidade de Desenvolvimento da África Austral (SADC, na sigla em inglês), não necessitam de visto para entrar em Angola, que por sinal, assume este ano a presidência da União Africana.


VENÂNCIO MONDLANE É DETIDO EM ANGOLA
1 – Venâncio Mondlane, Lutero Simango, presidente do MDM, o ex-presidente do #Botswana Ian Khama e o vice-presidente da #Tanzânia chegaram há poucas horas a Luanda e, infelizmente, estão DETIDOS no Aeroporto 4 de Fevereiro.
2 – Venâncio… pic.twitter.com/kgsxex2XWq
— César Chiyaya (@cesarchiyaya) March 13, 2025

Estas figuras políticas aterraram em Luanda num avião da Ethiopian Airlines, a convite de três organizações internacionais — Benthurst Fondation, Konrad Adenuer e World Liberty Congress —, para participar numa grande conferência sobre democracia e governação que se realiza na sexta-feira em Benguela e tem como anfitrião local o principal partido da oposição angolana, a UNITA. Alguns dos participantes fazem parte da Internacional Democrata Centrista.

Por volta das 18h00 em Angola, alguns políticos que se dirigiam para um avião que os levaria para a Catumbela (ao lado de Benguela) foram impedidos de o fazer como Leopoldo López, opositor de Nicolas Maduro na Venezuela e um ex-ministro dos Negócios Estrangeiros do Sudão, por exemplo.

1741888788245.jpeg

Photo : Tundu Lissu líder do partido Chadema

O ex-candidato presidencial da Tanzânia, líder do partido Chadema, criticou no X o incidente diplomático: “Este tratamento indigno dos cidadãos de nações africanas irmãs por parte das autoridades angolanas da imigração é totalmente inaceitável e deve ser condenado com a maior veemência possível”, escreveu Tundu Lissu.
Lembrando os laços que ligam a Tanzânia a Angola, o também deputado frisou que a delegação vinda de Zanzibar não precisa de visto:
“A Tanzânia acolheu o Dr. António Agostinho Neto e os seus combatentes do MPLA nos primeiros anos da sua luta pela independência. Apoiámos Angola em todos os momentos durante a ocupação do sul de Angola pelo regime do apartheid sul-africano nos anos 70 e 80. Tal como Angola, a Tanzânia é um Estado membro da SADC e, como tal, nós, tanzanianos, não precisamos de visto para entrar em Angola”.

Angolan immigration authorities are holding up and denying entry into Angola for me and a delegation of more than twenty senior leaders and representatives of political parties from across southern Africa who arrived in Luanda earlier today for a planned two day meeting.
The…
— Tundu Antiphas Lissu (@TunduALissu) March 13, 2025

Os políticos viram os seus passaportes serem apreendidos sem que lhes tivessem sido dadas explicações, confirma ao Observador fonte ligada a um dos elementos da comitiva
 
Hii si
Wakuu,

Mambo yametokea huko, ngoja waseto waje watueleze kunani! Au CCM ndio imepiga pini 'No Reforms No Election' isipate nguvu wakaanza kushawishiwa kupokea mabadiliko?!

=====


Msafara wa viongozi wa Chama cha ACT Wazalendo ukiongozwa na Kiongozi wa chama hicho Dorothy Semu uliosafiri kuelekea nchini Angola kwa ajili ya kushiriki Mazungumzo ya Jukwaa la Demokrasia Afrika umezuiliwa katika uwanja wa ndege wa Luanda (Angola).

Jambo TV ikizungumza na Waziri Kivuli wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa ACT, Dkt. Nasra Nassor ameeleza kuwa viongozi hao akiwemo Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Othman Masoud Othman ambaye ni Mwenyekiti wa Chama hicho pamoja na Mwenyekiti wa CHADEMA Lissu wanarudishwa jijini Johannesburg nchini Afrika ya Kusini ili waweze kurudi nchini.

Nasra ameeleza kuwa msafara wa Makamu wa Rais utarejeshwa peke yake huku viongozi wengine wakirudishwa peke yao

Aidha Jambo TV imemuuliza kama walipewa sababu ya wao kuzuiliwa ameeleza kuwa mpaka sasa bado hawajaambiwa sababu ni nini ila wameambiwa watarudishwa Afrika ya Kusini.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Jambo TV imejaribu kumuuliza juu ya wao kufanya mawasiliano na ubalozi wa Tanzania nchini humo amesema kuwa wamewasiliana nao lakini ubalozi huo hauna nguvu juu ya maamuzi yaliyofanyika

Jambo TV inaendelea kufuatilia habari hii zaidi na tutaendelea kukujuza.

=========================

VIONGOZI ACT WAZALENDO WAZUIWA KUINGIA NCHINI ANGOLA

Msafara wa Viongozi wa ACT Wazalendo ukiongozwa na Kiongozi wa Chama Ndugu Dorothy Semu na Mwenyekiti wa Chama Ndugu Othman Masoud Othman ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar umezuiwa kuingia nchini Angola na mamlaka za Serikali ya Angola.

Viongozi hao wanashikiliwa katika Uwanja wa Ndege wa Luanda na hati zao za kusafiria zinashikiliwa. Serikali ya Angola, bila kueleza sababu yoyote imetoa amri ya viongozi hao kurejeshwa Tanzania.

Viongozi hao waliwasili Angola kushiriki mazungumzo ya Jukwaa la Demokrasia Afrika [The Platform for African Democrats (PAD)] yaliyoandaliwa na Taasisi ya The Brenthurst Foundation yaliyopangwa kufanyika kuanzia tarehe 13-16 Machi 2025.

Mbali na viongozi wa ACT Wazalendo, viongozi wengine zaidi ya 40 kutoka nchi mbalimbali Afrika ambao pia walikuwa wanahudhuria mkutano huo wamezuiliwa na Serikali ya Angola. Moja ya viongozi waandamizi waliotarajiwa kushiriki kwenye Mkutano huo ni pamoja na Marais Wastaafu Ian Khama (Botswana) na Andres Pastrana Arango (Columbia). Wengine ni Waziri wa Kilimo wa Afrika ya Kusini na Kiongozi wa Chama cha DA Ndugu John Steenhuisen na Kiongozi wa Chama cha PODEMOS cha nchini MsumbijiNdugu Venancio Mondlane.

WITO WETU
Wakati Kamati ya Uongozi Taifa ikikutana kwa dharura kutafakari juu ya mkasa huu na hatua muafaka za kuchukua, Chama kinatoa wito ufuatao katika hatua za awali;-

ACT Wazalendo inalaani kwa nguvu kitendo cha udhalilishaji kilichofanyika dhidi ya viongozi wetu na viongozi wengine kwa kuzuiliwa na kushikiliwa katika Uwanja wa Ndege wa Luanda.

Tunamtaka Balozi wa Angola nchini Tanzania kutoa maelezo ni kwa sababu gani viongozi wetu akiwemo Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar wamezuiliwa na kunyang'anywa hati zao za kusafiriria.

Tunaitaka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imuite na kumhoji Balozi wa Angola nchini juu ya kadhia hii.

Tunatoa wito kwa Serikali ya Angola kuziachia mara moja hati za kusafiria za viongozi wetu walizozishikilia na kuwaruhusu kuendelea na ratiba yao nchini Angola.


Alichoandika Tundu Lissu
Angolan immigration authorities are holding up and denying entry into Angola for me and a delegation of more than twenty senior leaders and representatives of political parties from across southern Africa who arrived in Luanda earlier today for a planned two day meeting.

The group includes a sitting First Vice President from Tanzania; a former President of Botswana; a former Prime Minister of Lesotho and a host of senior political leaders and delegates from Kenya, Sudan, Tanzania, South Africa, Namibia, Eswatini, Lesotho, Germany, USA, Uganda, DRC and Mozambique.

Angolans and Tanzanians are a brotherly people. Tanzania hosted Dr. Antonio Agostinho Neto and his MPLA fighters in the early years of their independence struggle. We supported Angola through thick and thin during the apartheid South African regime's occupation of Southern Angola in the '70s and '80s.

Like Angola, Tanzania is a SADC member state and, as such, we Tanzanians don't need visa to enter Angola.

This shabby treatment of the nationals of brotherly African nations by the Angolan immigration authorities is totallunacceptable and should be condemned in the strongest possible terms.
Sijaelewa vizuri , kwani shida ni nini ?
 
Habari kwa kina la sakata zima lilivyoripotiwa

Rais wa zamani wa Botswana Ian Khama, Venâncio Mondlane, Tundu Lissu, OMO na wanasiasa wengine wa Afrika pia Latino Amerika wamezuiwa kuingia Angola​

Ian Khama, Rais wa zamani wa Botswana, pamoja na Venâncio Mondlane, mpinzani wa kisiasa nchini Msumbiji, walizuia kuingia Angola.

Pia Makamu wa Kwanza wa Rais Othman Zanzibar mheshimiwa Masoud Othman, Tundu Lissu, Dorothy Semu, balozi HE Lieutenant General Matthew Edward Mkingule, Zitto Kabwe ... kutoka Tanzania wafukuzwa na kupandishwa ndege kurudi nchini Ethiopia.
GettyImages-2180226917

Picha : Ian Khama, Rais wa zamani wa Botswana, ni mmoja wa wanasiasa waliokumbana na kadhia hiyo katika uwanja wa ndege wa Luanda Angola

Wanasiasa kadhaa wa Kiafrika walizuiliwa katika uwanja wa ndege wa Luanda siku ya Alhamisi, wakizuiwa kuingia Angola, na akiwemo makamu wa rais wa Tanzania OMO , wabunge wa Kenya kama vile naibu Spika wa Bunge la nchi hiyo, na Wasudan walifukuzwa kisha kupandishwa katika usafiri wa shirika la ndege la Ethiopia hadi Addis Ababa.

Mwanasiasa wa upinzani wa Msumbiji Venâncio Mondlane, pamoja na washauri wake wawili, Dinis Tivane na Luis Mariquelle, walitenganishwa na wanasiasa wengine, "haijulikani walipo," mtafiti wa Ureno Paula Cristina Roque, ambaye yuko kwenye tovuti, aliithibitisha gazeti la Observador. "Inaaminika kwamba wanafukuzwa kurudishwa Johannesburg, Afrika ya Kusini" aliongeza.

Kundi jingine la wanasiasa 26, akiwemo Ian Khama, Rais mashuhuri wa zamani wa Botswana, mtoto wa kiongozi wa kwanza wa nchi hiyo, pia zuio hilo halikumuacha , Waziri Mkuu wa zamani wa Lesotho, kwa sasa wako katika sehemu maalum iliyotenganishwa ya uwanja wa ndege.

Karibu saa 12:00 jioni huko Luanda baadhi ya wanasiasa ambao walipaswa kupanda ndege kuondoka baada ya kutimuliwa.

Wanasiasa wote waliofukuzwa na wale ambao bado walikuwa kwenye uwanja wa ndege waliachwa bila hati za kusafiria za kidiplomasia, huku upelelezi ukiendelea. Vyovyote iwavyo, wakiwa wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), hawahitaji visa kuingia Angola, ambayo kwa njia fulani, imetwaa urais wa Umoja wa Afrika mwaka huu.


Wanasiasa hawa walitua Luanda kwa ndege ya Shirika la Ndege la Ethiopia, kwa mwaliko wa mashirika matatu ya kimataifa - Benthurst Foundation, Konrad Adenuer na World Liberty Congress - kushiriki katika mkutano mkuu wa demokrasia na utawala utakaofanyika Ijumaa huko Benguela na utaandaliwa mashinani na chama kikuu cha upinzani cha Angola, UNITA. Baadhi ya washiriki ni sehemu ya Centrist Democratic International.
 
Rais wa zamani wa Colômbia mheshimiwa Andrés Pastrana naye alikuwemo katika kundi la wanasiasa wageni waliozuiliwa kuingia Angola kisha kutimuliwa warudi walipotoka... mjadala mzito waibuka nchini Colombia kuhusu rais wao wa zamani kuzuiliwa ..


ex-Presidente da Colômbia Andrés Pastrana


View: https://m.youtube.com/watch?v=lWWTwOlu930

Si bien no se ha conocido la razón detrás de la detención, el expresidente Pastrana viajaba a ese país del continente africano para un foro.


View: https://m.youtube.com/watch?v=3_2SHGxALxE
 
Tundu Lissu, CHADEMA kama Chama kikuu cha upinzani lazima kifanye kazi kitaasisi.
ACT Wazalendo wamefanya kama Taasisi
1. Kutoa Taarifa rasmi kwa Umma. CHADEMA mnapaswa kufanya hivyo
2. Kuandika barua Ubalozi mkitaka maelezo. CHADEMA andikeni kwa nafasi yenu

Kuandika katika Mtandao wa X ni vema lakini hakuakisi ukubwa wa Chama ! Wake up!

JokaKuu Pascal Mayalla
 
Wakuu,

Mambo yametokea huko, ngoja waseto waje watueleze kunani! Au CCM ndio imepiga pini 'No Reforms No Election' isipate nguvu wakaanza kushawishiwa kupokea mabadiliko?!

=====


Msafara wa viongozi wa Chama cha ACT Wazalendo ukiongozwa na Kiongozi wa chama hicho Dorothy Semu uliosafiri kuelekea nchini Angola kwa ajili ya kushiriki Mazungumzo ya Jukwaa la Demokrasia Afrika umezuiliwa katika uwanja wa ndege wa Luanda (Angola).

Jambo TV ikizungumza na Waziri Kivuli wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa ACT, Dkt. Nasra Nassor ameeleza kuwa viongozi hao akiwemo Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Othman Masoud Othman ambaye ni Mwenyekiti wa Chama hicho pamoja na Mwenyekiti wa CHADEMA Lissu wanarudishwa jijini Johannesburg nchini Afrika ya Kusini ili waweze kurudi nchini.

Nasra ameeleza kuwa msafara wa Makamu wa Rais utarejeshwa peke yake huku viongozi wengine wakirudishwa peke yao

Aidha Jambo TV imemuuliza kama walipewa sababu ya wao kuzuiliwa ameeleza kuwa mpaka sasa bado hawajaambiwa sababu ni nini ila wameambiwa watarudishwa Afrika ya Kusini.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Jambo TV imejaribu kumuuliza juu ya wao kufanya mawasiliano na ubalozi wa Tanzania nchini humo amesema kuwa wamewasiliana nao lakini ubalozi huo hauna nguvu juu ya maamuzi yaliyofanyika

Jambo TV inaendelea kufuatilia habari hii zaidi na tutaendelea kukujuza.

=========================

VIONGOZI ACT WAZALENDO WAZUIWA KUINGIA NCHINI ANGOLA

Msafara wa Viongozi wa ACT Wazalendo ukiongozwa na Kiongozi wa Chama Ndugu Dorothy Semu na Mwenyekiti wa Chama Ndugu Othman Masoud Othman ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar umezuiwa kuingia nchini Angola na mamlaka za Serikali ya Angola.

Viongozi hao wanashikiliwa katika Uwanja wa Ndege wa Luanda na hati zao za kusafiria zinashikiliwa. Serikali ya Angola, bila kueleza sababu yoyote imetoa amri ya viongozi hao kurejeshwa Tanzania.

Viongozi hao waliwasili Angola kushiriki mazungumzo ya Jukwaa la Demokrasia Afrika [The Platform for African Democrats (PAD)] yaliyoandaliwa na Taasisi ya The Brenthurst Foundation yaliyopangwa kufanyika kuanzia tarehe 13-16 Machi 2025.

Mbali na viongozi wa ACT Wazalendo, viongozi wengine zaidi ya 40 kutoka nchi mbalimbali Afrika ambao pia walikuwa wanahudhuria mkutano huo wamezuiliwa na Serikali ya Angola. Moja ya viongozi waandamizi waliotarajiwa kushiriki kwenye Mkutano huo ni pamoja na Marais Wastaafu Ian Khama (Botswana) na Andres Pastrana Arango (Columbia). Wengine ni Waziri wa Kilimo wa Afrika ya Kusini na Kiongozi wa Chama cha DA Ndugu John Steenhuisen na Kiongozi wa Chama cha PODEMOS cha nchini MsumbijiNdugu Venancio Mondlane.

WITO WETU
Wakati Kamati ya Uongozi Taifa ikikutana kwa dharura kutafakari juu ya mkasa huu na hatua muafaka za kuchukua, Chama kinatoa wito ufuatao katika hatua za awali;-

ACT Wazalendo inalaani kwa nguvu kitendo cha udhalilishaji kilichofanyika dhidi ya viongozi wetu na viongozi wengine kwa kuzuiliwa na kushikiliwa katika Uwanja wa Ndege wa Luanda.

Tunamtaka Balozi wa Angola nchini Tanzania kutoa maelezo ni kwa sababu gani viongozi wetu akiwemo Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar wamezuiliwa na kunyang'anywa hati zao za kusafiriria.

Tunaitaka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imuite na kumhoji Balozi wa Angola nchini juu ya kadhia hii.

Tunatoa wito kwa Serikali ya Angola kuziachia mara moja hati za kusafiria za viongozi wetu walizozishikilia na kuwaruhusu kuendelea na ratiba yao nchini Angola.


Alichoandika Tundu Lissu
Angolan immigration authorities are holding up and denying entry into Angola for me and a delegation of more than twenty senior leaders and representatives of political parties from across southern Africa who arrived in Luanda earlier today for a planned two day meeting.

The group includes a sitting First Vice President from Tanzania; a former President of Botswana; a former Prime Minister of Lesotho and a host of senior political leaders and delegates from Kenya, Sudan, Tanzania, South Africa, Namibia, Eswatini, Lesotho, Germany, USA, Uganda, DRC and Mozambique.

Angolans and Tanzanians are a brotherly people. Tanzania hosted Dr. Antonio Agostinho Neto and his MPLA fighters in the early years of their independence struggle. We supported Angola through thick and thin during the apartheid South African regime's occupation of Southern Angola in the '70s and '80s.

Like Angola, Tanzania is a SADC member state and, as such, we Tanzanians don't need visa to enter Angola.

This shabby treatment of the nationals of brotherly African nations by the Angolan immigration authorities is totally unacceptable and should be condemned in the strongest possible terms.
Kina Lisu watasingizia CCM 😆😆
 
Taratiiiibu no reform no election inaanza kupata attention kimataifa Yani hili likauli mbiu ni la moto ukichimama nchale ukikaa nchale.
Punguzeni utoto jamani Yaani Marekani, Kenya, SA, na Nchi nyingine nyingi ambazo delegates wake wamezuiliwa wana No reform No Election??
 
Back
Top Bottom