Pre GE2025 Msafara wa ACT, Lissu wazuiliwa airport nchini Angola, kurudishwa nchini, ACT watoa tamko

Pre GE2025 Msafara wa ACT, Lissu wazuiliwa airport nchini Angola, kurudishwa nchini, ACT watoa tamko

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakuu,

Mambo yametokea huko, ngoja waseto waje watueleze kunani! Au CCM ndio imepiga pini 'No Reforms No Election' isipate nguvu wakaanza kushawishiwa kupokea mabadiliko?!

=====


Msafara wa viongozi wa Chama cha ACT Wazalendo ukiongozwa na Kiongozi wa chama hicho Dorothy Semu uliosafiri kuelekea nchini Angola kwa ajili ya kushiriki Mazungumzo ya Jukwaa la Demokrasia Afrika umezuiliwa katika uwanja wa ndege wa Luanda (Angola).

Jambo TV ikizungumza na Waziri Kivuli wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa ACT, Dkt. Nasra Nassor ameeleza kuwa viongozi hao akiwemo Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Othman Masoud Othman ambaye ni Mwenyekiti wa Chama hicho pamoja na Mwenyekiti wa CHADEMA Lissu wanarudishwa jijini Johannesburg nchini Afrika ya Kusini ili waweze kurudi nchini.

Nasra ameeleza kuwa msafara wa Makamu wa Rais utarejeshwa peke yake huku viongozi wengine wakirudishwa peke yao

Aidha Jambo TV imemuuliza kama walipewa sababu ya wao kuzuiliwa ameeleza kuwa mpaka sasa bado hawajaambiwa sababu ni nini ila wameambiwa watarudishwa Afrika ya Kusini.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Jambo TV imejaribu kumuuliza juu ya wao kufanya mawasiliano na ubalozi wa Tanzania nchini humo amesema kuwa wamewasiliana nao lakini ubalozi huo hauna nguvu juu ya maamuzi yaliyofanyika

Jambo TV inaendelea kufuatilia habari hii zaidi na tutaendelea kukujuza.

=========================

VIONGOZI ACT WAZALENDO WAZUIWA KUINGIA NCHINI ANGOLA

Msafara wa Viongozi wa ACT Wazalendo ukiongozwa na Kiongozi wa Chama Ndugu Dorothy Semu na Mwenyekiti wa Chama Ndugu Othman Masoud Othman ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar umezuiwa kuingia nchini Angola na mamlaka za Serikali ya Angola.

Viongozi hao wanashikiliwa katika Uwanja wa Ndege wa Luanda na hati zao za kusafiria zinashikiliwa. Serikali ya Angola, bila kueleza sababu yoyote imetoa amri ya viongozi hao kurejeshwa Tanzania.

Viongozi hao waliwasili Angola kushiriki mazungumzo ya Jukwaa la Demokrasia Afrika [The Platform for African Democrats (PAD)] yaliyoandaliwa na Taasisi ya The Brenthurst Foundation yaliyopangwa kufanyika kuanzia tarehe 13-16 Machi 2025.

Mbali na viongozi wa ACT Wazalendo, viongozi wengine zaidi ya 40 kutoka nchi mbalimbali Afrika ambao pia walikuwa wanahudhuria mkutano huo wamezuiliwa na Serikali ya Angola. Moja ya viongozi waandamizi waliotarajiwa kushiriki kwenye Mkutano huo ni pamoja na Marais Wastaafu Ian Khama (Botswana) na Andres Pastrana Arango (Columbia). Wengine ni Waziri wa Kilimo wa Afrika ya Kusini na Kiongozi wa Chama cha DA Ndugu John Steenhuisen na Kiongozi wa Chama cha PODEMOS cha nchini MsumbijiNdugu Venancio Mondlane.

WITO WETU
Wakati Kamati ya Uongozi Taifa ikikutana kwa dharura kutafakari juu ya mkasa huu na hatua muafaka za kuchukua, Chama kinatoa wito ufuatao katika hatua za awali;-

ACT Wazalendo inalaani kwa nguvu kitendo cha udhalilishaji kilichofanyika dhidi ya viongozi wetu na viongozi wengine kwa kuzuiliwa na kushikiliwa katika Uwanja wa Ndege wa Luanda.

Tunamtaka Balozi wa Angola nchini Tanzania kutoa maelezo ni kwa sababu gani viongozi wetu akiwemo Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar wamezuiliwa na kunyang'anywa hati zao za kusafiriria.

Tunaitaka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imuite na kumhoji Balozi wa Angola nchini juu ya kadhia hii.

Tunatoa wito kwa Serikali ya Angola kuziachia mara moja hati za kusafiria za viongozi wetu walizozishikilia na kuwaruhusu kuendelea na ratiba yao nchini Angola.


Alichoandika Tundu Lissu
Angolan immigration authorities are holding up and denying entry into Angola for me and a delegation of more than twenty senior leaders and representatives of political parties from across southern Africa who arrived in Luanda earlier today for a planned two day meeting.

The group includes a sitting First Vice President from Tanzania; a former President of Botswana; a former Prime Minister of Lesotho and a host of senior political leaders and delegates from Kenya, Sudan, Tanzania, South Africa, Namibia, Eswatini, Lesotho, Germany, USA, Uganda, DRC and Mozambique.

Angolans and Tanzanians are a brotherly people. Tanzania hosted Dr. Antonio Agostinho Neto and his MPLA fighters in the early years of their independence struggle. We supported Angola through thick and thin during the apartheid South African regime's occupation of Southern Angola in the '70s and '80s.

Like Angola, Tanzania is a SADC member state and, as such, we Tanzanians don't need visa to enter Angola.

This shabby treatment of the nationals of brotherly African nations by the Angolan immigration authorities is totally unacceptable and should be condemned in the strongest possible terms.
Angola inawatisha sana ccm.

Tulikuwa hatujui sasa tumejua

Kwa Angola inakabiriwa na matatizo mengi hasa kipindi hiki ambacho jirani yake DRC hayuko sawa.

Mi maamini ni mambo ya Kidiplomasia tu. Angola akishathbitisha bila shaka atawaruhusu.

Remeber Gen James Kabarebe and his Retreat Game of War
 
Wakuu,

Mambo yametokea huko, ngoja waseto waje watueleze kunani! Au CCM ndio imepiga pini 'No Reforms No Election' isipate nguvu wakaanza kushawishiwa kupokea mabadiliko?!

=====


Msafara wa viongozi wa Chama cha ACT Wazalendo ukiongozwa na Kiongozi wa chama hicho Dorothy Semu uliosafiri kuelekea nchini Angola kwa ajili ya kushiriki Mazungumzo ya Jukwaa la Demokrasia Afrika umezuiliwa katika uwanja wa ndege wa Luanda (Angola).

Jambo TV ikizungumza na Waziri Kivuli wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa ACT, Dkt. Nasra Nassor ameeleza kuwa viongozi hao akiwemo Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Othman Masoud Othman ambaye ni Mwenyekiti wa Chama hicho pamoja na Mwenyekiti wa CHADEMA Lissu wanarudishwa jijini Johannesburg nchini Afrika ya Kusini ili waweze kurudi nchini.

Nasra ameeleza kuwa msafara wa Makamu wa Rais utarejeshwa peke yake huku viongozi wengine wakirudishwa peke yao

Aidha Jambo TV imemuuliza kama walipewa sababu ya wao kuzuiliwa ameeleza kuwa mpaka sasa bado hawajaambiwa sababu ni nini ila wameambiwa watarudishwa Afrika ya Kusini.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Jambo TV imejaribu kumuuliza juu ya wao kufanya mawasiliano na ubalozi wa Tanzania nchini humo amesema kuwa wamewasiliana nao lakini ubalozi huo hauna nguvu juu ya maamuzi yaliyofanyika

Jambo TV inaendelea kufuatilia habari hii zaidi na tutaendelea kukujuza.

=========================

VIONGOZI ACT WAZALENDO WAZUIWA KUINGIA NCHINI ANGOLA

Msafara wa Viongozi wa ACT Wazalendo ukiongozwa na Kiongozi wa Chama Ndugu Dorothy Semu na Mwenyekiti wa Chama Ndugu Othman Masoud Othman ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar umezuiwa kuingia nchini Angola na mamlaka za Serikali ya Angola.

Viongozi hao wanashikiliwa katika Uwanja wa Ndege wa Luanda na hati zao za kusafiria zinashikiliwa. Serikali ya Angola, bila kueleza sababu yoyote imetoa amri ya viongozi hao kurejeshwa Tanzania.

Viongozi hao waliwasili Angola kushiriki mazungumzo ya Jukwaa la Demokrasia Afrika [The Platform for African Democrats (PAD)] yaliyoandaliwa na Taasisi ya The Brenthurst Foundation yaliyopangwa kufanyika kuanzia tarehe 13-16 Machi 2025.

Mbali na viongozi wa ACT Wazalendo, viongozi wengine zaidi ya 40 kutoka nchi mbalimbali Afrika ambao pia walikuwa wanahudhuria mkutano huo wamezuiliwa na Serikali ya Angola. Moja ya viongozi waandamizi waliotarajiwa kushiriki kwenye Mkutano huo ni pamoja na Marais Wastaafu Ian Khama (Botswana) na Andres Pastrana Arango (Columbia). Wengine ni Waziri wa Kilimo wa Afrika ya Kusini na Kiongozi wa Chama cha DA Ndugu John Steenhuisen na Kiongozi wa Chama cha PODEMOS cha nchini MsumbijiNdugu Venancio Mondlane.

WITO WETU
Wakati Kamati ya Uongozi Taifa ikikutana kwa dharura kutafakari juu ya mkasa huu na hatua muafaka za kuchukua, Chama kinatoa wito ufuatao katika hatua za awali;-

ACT Wazalendo inalaani kwa nguvu kitendo cha udhalilishaji kilichofanyika dhidi ya viongozi wetu na viongozi wengine kwa kuzuiliwa na kushikiliwa katika Uwanja wa Ndege wa Luanda.

Tunamtaka Balozi wa Angola nchini Tanzania kutoa maelezo ni kwa sababu gani viongozi wetu akiwemo Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar wamezuiliwa na kunyang'anywa hati zao za kusafiriria.

Tunaitaka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imuite na kumhoji Balozi wa Angola nchini juu ya kadhia hii.

Tunatoa wito kwa Serikali ya Angola kuziachia mara moja hati za kusafiria za viongozi wetu walizozishikilia na kuwaruhusu kuendelea na ratiba yao nchini Angola.


Alichoandika Tundu Lissu
Angolan immigration authorities are holding up and denying entry into Angola for me and a delegation of more than twenty senior leaders and representatives of political parties from across southern Africa who arrived in Luanda earlier today for a planned two day meeting.

The group includes a sitting First Vice President from Tanzania; a former President of Botswana; a former Prime Minister of Lesotho and a host of senior political leaders and delegates from Kenya, Sudan, Tanzania, South Africa, Namibia, Eswatini, Lesotho, Germany, USA, Uganda, DRC and Mozambique.

Angolans and Tanzanians are a brotherly people. Tanzania hosted Dr. Antonio Agostinho Neto and his MPLA fighters in the early years of their independence struggle. We supported Angola through thick and thin during the apartheid South African regime's occupation of Southern Angola in the '70s and '80s.

Like Angola, Tanzania is a SADC member state and, as such, we Tanzanians don't need visa to enter Angola.

This shabby treatment of the nationals of brotherly African nations by the Angolan immigration authorities is totally unacceptable and should be condemned in the strongest possible terms.
Angola wamefanya vizuri kuzuia kukutana wapinga maendeleo wa kiliberali. Ukivielewa vyama husika wapo makaburu wale wa afrika kusini hadi vyama vya mlengo mkali wa kulia vya colombia. Ni njama za wapinga itikadi ya kimapinduzi.
 
Hao walikuwa hawana passport? - wazamiaji?

Nchi zilizosaidiwa na Nyerere kupata uhuru zinachukizwa sana anapotukanwa na vitoto alivyovilea, akavilipia chanjo, na akavipa elimu bure.. Hao nao walikuwa kikosi cha matusi

Lissu akikanyaga tena Uganda naknya barabara yote kuanzia gongo la mboto mpaka posta
 
Angola na Mozambique wanatabia hizo sana, kuwazuia watu mipakani, airport or immigration centres, sijui wanajionaje?? Wakati mwingine hata kama una passport pamoja na documents zote halali za kusafiria na kuingia nchini mwao!!

Siku moja tuliwahi kuchaniwa doc's zetu za kusafiria mozambique baada ya immigration police wao kutuomba rushwa kwa nguvu tukakataa kutoa, kwasababu tulikuwa na hati zote halali za kusafiria, tulipotoa na kuwaonesha, walizichukua na kuzichana mbele ya macho yetu!

Hizi nchi mbili zilizotawaliwa na portugues zina shida sana! Wanajikuta nani sijui???

Mnaosema Tanzania kuna rushwa, naona bado hamjasafiri nje ya nchi. Nendeni Mozambique na Angola muone rushwa inavyotolewa kwa lazima! Sio ombi ni amri...!

Adios Amigo!
 
Siku moja tuliwahi kuchaniwa doc's zetu za kusafiria mozambique baada ya immigration police wao kutuomba rushwa kwa nguvu tukakataa kutoa, kwasababu tulikuwa na hati zote halali za kusafiria, tulipotoa na kuwaonesha, walizichukua na kuzichana mbele ya macho yetu!
Typical ccm style😅😅😅
 
Luanda, Angola

O Primeiro Vice-Presidente de Zanzibar, Othman, Lissu, foi impedido de entrar em Angola. Um impasse diplomático se desenrolou no Aeroporto de Luanda..

Este artigo argumenta que a política externa da Tanzania conheceu metamorfoses ao longo do tempo. Contudo, em todas as fases dessas metamorfoses a Tanzania viveu o dilema de liderar a África Oriental ou estabelecer parcerias de segurança com a África Austral. Este dilema condiciona ainda hoje as opções de política externa da Tanzania. Como resultado do dilema a Tanzania tem optado pela dupla filiação nas organizações de integração regional nomeadamente: East African Community e da Southern African Development Community.
 
Back
Top Bottom