Uchaguzi 2020 Msafara wa kampeni za mgombea Urais wa CCM unagharamiwa na Chama au na Serikali?

Uchaguzi 2020 Msafara wa kampeni za mgombea Urais wa CCM unagharamiwa na Chama au na Serikali?

Brightg

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2013
Posts
372
Reaction score
662
Msafara wake ni mkubwa na ulinzi aliojiwekea ni wenye gharama kubwa sana, matumizi kwenye kampeni na ulinzi ni pesa nyingi ambazo zinaweza kutatua kero katika Wilaya zote kila mwezi.

Je, haya matumizi yanalipwa na chama chake au Serikali ndio inalipia kampeni yake? Kumbuka safari ya kampeni sio ya kiserikali.

Pesa za Serikali ni pesa kwa ajili ya matumizi ya umma, kubadilisha magari ni geresha ila mafuta, msafara, walinzi ni wale wale maana walinzi wanabadili nguo ili waonekane ni wa CCM.

Lazima ifikie hatua vitabu vya CCM vya mapato na matumizi vitahitajika vikaguliwe ili kupata ukweli wa matumizi ya fedha za serikali kwenye chama.

MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
CCM wanachezea kodi zetu, Hawana pesa za kujigharamikia kampeni zao hata robo tu...

Kwa hiyo hakuna pesa za chama wala za babu yake ccm wakati wamevuna kutoka kwenye kodi za wananchi miaka 59 yote! Uchafu wote wanaofanya ni kwa nguvu ya kodi za Mtanzania mlipa kodi...

Wana Laana hawa mboga mboga, Sio muda mrefu itawatafuna..
 
Ulinzi wa president pombe ni wa kisheria ila inabidi ufuate taratibu zake,president pombe kwa sababu anaendesha nchi kivitisho inawafanya tushindwe kuuliza hizi gharama,PPU members hawaruhusiwi kuvaa nguo za kichama ila angalia picha za sasa za kampeni yake wote wamevaa regalia ya CCM haya ni makosa maana pale wapo neutral na wanalipwa na kodi zetu sio ccm,uchaguzi kama wa US au SA wagombea wanajitafutia fedha za kuendesha kampeni zao kwa kuchangiwa na vyanzo vya mapato ya vyama inajulikana,kwetu hapa mwisho wake ni uchaguzi huu.
 
Pombe hatoki madarakani hatafia kwenye kiti cha ikulu dalili zote zinaonekana hakuna tofauti ya north korea na tanzania chama ndio serikali na serikali ndio chama,nina uhakika somo la urasiasa alipata 0
 
Msafara wake ni mkubwa na ulinzi aliojiwekea ni wenye gharama kubwa sana, matumizi kwenye kampeni na ulinzi ni pesa nyingi ambazo zinaweza kutatua kero katika Wilaya zote kila mwezi.

Je, haya matumizi yanalipwa na chama chake au Serikali ndio inalipia kampeni yake? Kumbuka safari ya kampeni sio ya kiserikali.

Pesa za Serikali ni pesa kwa ajili ya matumizi ya umma, kubadilisha magari ni geresha ila mafuta, msafara, walinzi ni wale wale maana walinzi wanabadili nguo ili waonekane ni wa CCM.

Lazima ifikie hatua vitabu vya CCM vya mapato na matumizi vitahitajika vikaguliwe ili kupata ukweli wa matumizi ya fedha za serikali kwenye chama.

MUNGU IBARIKI TANZANIA
Itakuwa kodi za wanachi tu hizi.
 
Kwa wanaoijua CCM watakubali kwamba pesa na gharama za uchaguzi ni sehemu ndogo sana ya wanachomiliki. CCM ni taasisi imara iliyojiwekeza kila mahali, Inamudu gharama zote bila msaada wowote. Swali hili ukiliuliza kwa baadhi ya vyama Nina uhakika utalia hata kama unayajua
 
Kwa wanaoijua CCM watakubali kwamba pesa na gharama za uchaguzi ni sehemu ndogo sana ya wanachomiliki. CCM ni taasisi imara iliyojiwekeza kila mahali, Inamudu gharama zote bila msaada wowote. Swali hili ukiliuliza kwa baadhi ya vyama Nina uhakika utalia hata kama unayajua
Ccm mmelewa madaraka ndiyo maana mnajikuta mnapata upinzani mkali. Na hamuwezi kubadirika kwasababu mmelewa.
Badirika yenu siku mjikute nje ya game.
 
Msafara wake ni mkubwa na ulinzi aliojiwekea ni wenye gharama kubwa sana, matumizi kwenye kampeni na ulinzi ni pesa nyingi ambazo zinaweza kutatua kero katika Wilaya zote kila mwezi.

Je, haya matumizi yanalipwa na chama chake au Serikali ndio inalipia kampeni yake? Kumbuka safari ya kampeni sio ya kiserikali.

Pesa za Serikali ni pesa kwa ajili ya matumizi ya umma, kubadilisha magari ni geresha ila mafuta, msafara, walinzi ni wale wale maana walinzi wanabadili nguo ili waonekane ni wa CCM.

Lazima ifikie hatua vitabu vya CCM vya mapato na matumizi vitahitajika vikaguliwe ili kupata ukweli wa matumizi ya fedha za serikali kwenye chama.

MUNGU IBARIKI TANZANIA
CCM inajiweza, ndio Chama pekee kilicholeta ukombozi wa Tanzania. Sio hivyo vikundi vya VICOBA vinaibuka kipindi cha uchaguzi tu na sera zao za upotoshaji
 
CCM wanachezea kodi zetu, Hawana pesa za kujigharamikia kampeni zao hata robo tu...
....Kwahiyo hakuna pesa za chama wala za babu yake ccm wakati wamevuna kutoka kwenye kodi za wananchi miaka 59 yote! Uchafu wote wanaofanya ni kwa nguvu ya kodi za Mtanzania mlipa kodi...

....Wana Laana hawa mboga mboga, Sio muda mrefu itawatafuna..
Yani wewe hujielewi kabisa unapoteza bando at unaandika ujinga ujinga tu kumtetea huyo Chiba wenu
 
Pombe hatoki madarakani hatafia kwenye kiti cha ikulu dalili zote zinaonekana hakuna tofauti ya north korea na tanzania chama ndio serikali na serikali ndio chama,nina uhakika somo la urasiasa alipata 0
"Tulitamani kuwa na Kiongozi kama Dr.Magufuli,Tumempata, tunaendelea nae.
KURA YANGU KWA MAGUFULI "

#MagufuliNiMafanikio
#Magufuli5Tena
#ChaguaMagufuli #ChaguaMagufuli #ChaguaMagufuli
 
"Tulitamani kuwa na Kiongozi kama Dr.Magufuli,Tumempata, tunaendelea nae.
KURA YANGU KWA MAGUFULI "

#MagufuliNiMafanikio
#Magufuli5Tena
#ChaguaMagufuli #ChaguaMagufuli #ChaguaMagufuli
Labda wewe kula kulala ndio ulitamani hivyo ngoja ukikua utajua
 
Back
Top Bottom