Emeronce Gerald
Member
- Sep 20, 2020
- 48
- 40
Tatizo lenu la kukaza akili na kushindwa kukubali ukweli linawafanya muwe na mpayuko wa mawazo na kushindwa kujenga hojaCcm mmelewa madaraka ndiyo maana mnajikuta mnapata upinzani mkali. Na hamuwezi kubadirika kwasababu mmelewa.
Badirika yenu siku mjikute nje ya game.
Kama kukua Mimi ni mtu mzima na natambua ninayofanya.Labda wewe kula kulala ndio ulitamani hivyo ngoja ukikua utajua
Toka lini ukasikia CAG kaweka wazi ripoti ya fedha za ccm siku wataondoka ndio utajuzwa madudu mengiNasubiri ripoti ya CAG
1. Chadema bado sana kifikia hadhi ya kuwa mpinzani wa ccmCcm mmelewa madaraka ndiyo maana mnajikuta mnapata upinzani mkali. Na hamuwezi kubadirika kwasababu mmelewa.
Badirika yenu siku mjikute nje ya game.
Bora Ccm inawaletea watanzania amani na maendeleo. Chadema mmekula hadi michango yangu.Pombe hatoki madarakani hatafia kwenye kiti cha ikulu dalili zote zinaonekana hakuna tofauti ya north korea na tanzania chama ndio serikali na serikali ndio chama,nina uhakika somo la urasiasa alipata 0
Mtaji wa ccm ni poor and ignorant peopleKama kukua Mimi ni mtu mzima na natambua ninayofanya.
Magufuli anatosha kwa Tanzania
Acha njaa wewe una hela ya kuliwa weweBora Ccm inawaletea watanzania amani na maendeleo. Chadema mmekula hadi michango yangu.
[emoji23][emoji23][emoji23]hawa jamaa wamekuwa ni matapeli wa kisiasa.Bora Ccm inawaletea watanzania amani na maendeleo. Chadema mmekula hadi michango yangu.
Elimu gani unayo tafadhali!Kwa wanaoijua CCM watakubali kwamba pesa na gharama za uchaguzi ni sehemu ndogo sana ya wanachomiliki. CCM ni taasisi imara iliyojiwekeza kila mahali, Inamudu gharama zote bila msaada wowote. Swali hili ukiliuliza kwa baadhi ya vyama Nina uhakika utalia hata kama unayajua
Mtaji wa Chadema ni mashoga na wasagajiMtaji wa ccm ni poor and ignorant people
Pesa za vitambulisho vya wajasiriamaliMsafara wake ni mkubwa na ulinzi aliojiwekea ni wenye gharama kubwa sana, matumizi kwenye kampeni na ulinzi ni pesa nyingi ambazo zinaweza kutatua kero katika Wilaya zote kila mwezi.
Je, haya matumizi yanalipwa na chama chake au Serikali ndio inalipia kampeni yake? Kumbuka safari ya kampeni sio ya kiserikali.
Pesa za Serikali ni pesa kwa ajili ya matumizi ya umma, kubadilisha magari ni geresha ila mafuta, msafara, walinzi ni wale wale maana walinzi wanabadili nguo ili waonekane ni wa CCM.
Lazima ifikie hatua vitabu vya CCM vya mapato na matumizi vitahitajika vikaguliwe ili kupata ukweli wa matumizi ya fedha za serikali kwenye chama.
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Hata Kama unalipwa ongea nap wakuongezee maslahi kwa kazi yako kwao.Tunachojua mbelgiji anagharamiwa na robert
Ila Rais Magufuli anagharamiwa na Ccm
Itajukikana baada ya kutoka madarakaniMsafara wake ni mkubwa na ulinzi aliojiwekea ni wenye gharama kubwa sana, matumizi kwenye kampeni na ulinzi ni pesa nyingi ambazo zinaweza kutatua kero katika Wilaya zote kila mwezi.
Je, haya matumizi yanalipwa na chama chake au Serikali ndio inalipia kampeni yake? Kumbuka safari ya kampeni sio ya kiserikali.
Pesa za Serikali ni pesa kwa ajili ya matumizi ya umma, kubadilisha magari ni geresha ila mafuta, msafara, walinzi ni wale wale maana walinzi wanabadili nguo ili waonekane ni wa CCM.
Lazima ifikie hatua vitabu vya CCM vya mapato na matumizi vitahitajika vikaguliwe ili kupata ukweli wa matumizi ya fedha za serikali kwenye chama.
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Mkuu itakuwa haufuatilii mqmbo ya kisiasa. Tazama mwenyewe hapa:
Juu ya utajiri wa rasilimali ulizonazo CCM , hahiitaji kusoma popote ni macho yanatosha kushuhudia hata kipofu anaona ninachosema. Gharama za uchaguzi tuwaulize vyama vingine ambavyo vina ruzuku tuElimu gani unayo tafadhali!
Tafuta kitabu cha Mkapa B.W. ukisome uone alivyokiri kuwa CCM wanapiga dili kwa ajili ya kupata hela ya kampeni.
Angalizo: Toleo la kiswahili bado,hivyo tafadhali sana jitahidi hata upate mtafsiri.
Sent using Jamii Forums mobile app