Uchaguzi 2020 Msafara wa kampeni za mgombea Urais wa CCM unagharamiwa na Chama au na Serikali?

Bado ni Rais, analindwa kama rais hata akiwa kwenye mambo yake binafsi kama harusi, msiba au kampeni
 
Labda nikuulize kwani Rais kwa sasa ni nani? Ukiweza jibu hapo utajua kuwa ulinzi uliopo kwa Rais lazima ulipiwe na Serikali ila makada wanaofuatana nao wanalipiwa na CCM
 
CCM inajiweza, ndio Chama pekee kilicholeta ukombozi wa Tanzania. Sio hivyo vikundi vya VICOBA vinaibuka kipindi cha uchaguzi tu na sera zao za upotoshaji
Ukombozi kutoka kwa nani? Tatizo kubwa ninyi vijana wa Lumumba ni kwamba mnakurupuka tu kama anavyokurupuka mgombea wenu wa CCM. Hebu msikilize hapa...
Your browser is not able to display this video.

Hajui yuko jimbo gani, hajui mbunge wa hilo jimbo ni nani, hajui ni wa chama gani...yaani shida tupu. Halafu badala ya kuwataka wananchi radhi, anawakoromea. Hapana, huyu kama alivyowahi kusema Baba wa Taifa, hafai na hatufai. Tarehe 28/10/2020 ni kumrudisha kwao tu!
 
Mlimdanganya uchwara wenu kuwa chadema ingekufa by 2020 lakin majuzi mzee uchwara kapiga magoti kuomba achaguliwe baada ya kuona Mh. LISSU Frm mnayoiita saccos akizidi kukubalika kwa wapiga kura.
Owk time will tell, Ni yeye2020
CCM inajiweza, ndio Chama pekee kilicholeta ukombozi wa Tanzania. Sio hivyo vikundi vya VICOBA vinaibuka kipindi cha uchaguzi tu na sera zao za upotoshaji
 

Hayo ndio majungu yenyewe. Unabwabwaja tu.
 
Aaaa
 
Twambie kwanza msafara wa Tundu Lisu unaghalimiwa na nani?
Pia wakili wake mzungu nani anamlipia maana tunajua hakuwa na mshahara na chama hakijampa pesa?
Toa majibu hayo kisha upewe ya Magufuli.
 
Usiwe na akili za kuvukia barabara peke yake, rais unataka awe na ulinzi kama wa diwani wa kwenye kata yako!! Lisu mwenyewe ni kibaraka lakini anaulinzi wa kutosha baada ya kumkuta yalio mkuta ndo ameona umuhimu wake ingiwa tu ni pesa hana lakini angekuwa na ulinzi kuliko ata alionao magu.

Kwa roho yake mbaya lissu na kujifanya ujuwaji wakumdharau kila mtu nakujiona kuwa yeye yupo juu ya sheria na nimsomi peke yake tanzania nzima.
 
Wanalijua hilo kuwa ccm ni taasisi na sio saccos ila tu wanajitoa ufahamu.
 
Ccm chama dume, vyama vingine vyote majike.
Mtaji wa Chadema ni mashoga na wasagaji
Ongezea na wadada wa viti maalum, mpaka mwenyekiti anavunja mguu, faru John kula ruzuku na michango ya wabunge mazezeta wa saccos.
 
Mnafikiria CCM ni mbumbu kama Chadema, ruzuku kila mwezi milioni 300 hata kibanda cha mkaa mnashindwa kujenga, ndiyo mnataka mkabidhiwe treasure ya nchi, aisee mkajipange sana
 
Twambie kwanza msafara wa Tundu Lisu unaghalimiwa na nani?
Pia wakili wake mzungu nani anamlipia maana tunajua hakuwa na mshahara na chama hakijampa pesa?
Toa majibu hayo kisha upewe ya Magufuli.
Hujaona michango inapita majukwaani kila apoenda tunamrushia hela za michango, kwani tundu lissu hakuwa na akiba, wewe kila unacho kipata unakula chote hubaki na akiba, tulimchangia, let ya magufuli sasa
 
Wanatumia pesa ya serikali,magari etc....yani ccm ni group la majambazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…