promethus
JF-Expert Member
- Feb 22, 2016
- 1,164
- 1,901
😀😀😀Magaidi yanabebe silaha kama mkaa bhana!!
KAZI ni kipimo cha UTU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀Magaidi yanabebe silaha kama mkaa bhana!!
KAZI ni kipimo cha UTU
Hizo ni maneno hata katika kanga yapo.Israel anapiga kote, West Bank, Lebanon, syrian, Yemen, Gaza bila kisahau juzi amemvua nguo kubwa la magaidi ayatollah.
😂😂😂😁😁😂😂Magaidi yanabebe silaha kama mkaa bhana!!
KAZI ni kipimo cha UTU
Kuna Clip moja niliona sehemu Kuna kijana mmoja around 23-25yrs alikuwa anazozana na mabinti kama wa4 hivi wa familia moja akiwemo mama Yao sasa ktk kusukumizana binti mmoja akaanguka chini inaonekana aliumia ikabidi ainuke kwenda kumuita baba yake kama miaka 45-48 humo, Ile Mzee anatoka nje kifua wazi badala ya kutumia busara akawa anataka kupigana ila yule kijana anamkwepa kwa kukimbia huku nyuma mke anamsihi yule Mzee amwache yule kijana.Israel anapiga kote, West Bank, Lebanon, syrian, Yemen, Gaza bila kisahau juzi amemvua nguo kubwa la magaidi ayatollah.
Haya sio mambo yangu lakini kwa mawazo ya kawaida lolote linaweza kua kwel hapo, kwenye ishu za kiintelejensia bila enough evidence lolote linawezekana especially kama adui ndo anakuaminisha kua umempiga.Aaaaaiiiseeee! Sihami famii forum
Iwapo dereva tu ndiye aliyejeruhiwa basi silaha zimefika salama Lebanon kama zilizotangulia hapo awaliinjuring one Syrian driver,” the source tells AFP.
Hata kama alizirai huyo mzee bado alifanya kitu cha kishujaa kumkabili huyo muhuni.Kuna Clip moja niliona sehemu Kuna kijana mmoja around 23-25yrs alikuwa anazozana na mabinti kama wa4 hivi wa familia moja akiwemo mama Yao sasa ktk kusukumizana binti mmoja akaanguka chini inaonekana aliumia ikabidi ainuke kwenda kumuita baba yake kama miaka 45-48 humo, Ile Mzee anatoka nje kifua wazi badala ya kutumia busara akawa anataka kupigana ila yule kijana anamkwepa kwa kukimbia huku nyuma mke anamsihi yule Mzee amwache yule kijana.
Bas ktk kukimbizana yule kijana akaona huu ni ujinga akageuka kum face yule Mzee akamtisha kama anapiga left punch Mzee akainama dogo akaibuka na bonge moja la right punch pale pale yule Mzee akaanguka chini na kuzirahi huku nyuma familia kilio kiufupi lilikuwa na tukio la aibu na fedhea kwa familia.
In short myahudi anatawala hapo Middle East. Anapiga popote anapoona kuna hatari dhidi yake.Hizo ni maneno hata katika kanga yapo.
Unajipa matumaini mwanangu 🤣Hebu waonee huruma wenzako maana wanashinda kwenye mahandaki kama panya.Israel itapigwa tu mtake msitake.
Hi habari Imekaa kikanisa kanisa vile upige a convoy of tanker trucks, afu afe driver mmoja tu 😄Wadau hamjamboni nyote?
Haiishi Hadi iishe mayahudi wamechefukwa na wameamua kufanya kweli
Muda mfupi uliopita wameshambulia na kuteketeza Msafara wa magari ya kijeshi uliobeba silaha kuelekea Lebanon
Mungu ibariki Israel
Hezbollah claims convoy of trucks struck by Israel on Syrian-Lebanon border
BEIRUT, Lebanon — A source close to the Hezbollah terror group says that Israel carried out strikes on a convoy of trucks entering Lebanon from Syria.
“Three Israeli strikes targeted a convoy of tanker trucks on the Syrian-Lebanese border in the Hawsh el-Sayyed Ali area, injuring one Syrian driver,” the source tells AFP.
It was the latest in a series of Israeli strikes in the border area, the source added
The Syrian Observatory for Human Rights war monitor also reports Israeli strikes inside Syria near the border with Lebanon, without mentioning any casualties.
The strikes targeted an area near a border crossing “used by Hezbollah to move trucks and group members” between Lebanon and Syria, the Britain-based Observatory says, which relies on a network of sources inside Syria.
“One of the strikes targeted a truck convoy,” while another targeted “a farm on the outskirts of Qusayr in Homs province,” the Observatory says.
Iran-backed Hezbollah has a strong presence on both sides of the eastern stretch of the Lebanese-Syria border, where it supports the regime of Syrian President Bashar al-Assad.
AtawamaMyahudi hamumwezi mtapigw
Atawamaliza. Huyo ndio Israel ambae alimpa Yudah na kumwahidi kuwa yeye ni simba ndugu zake watamtumikiaWadau hamjamboni nyote?
Haiishi Hadi iishe mayahudi wamechefukwa na wameamua kufanya kweli
Muda mfupi uliopita wameshambulia na kuteketeza Msafara wa magari ya kijeshi uliobeba silaha kuelekea Lebanon
Mungu ibariki Israel
Hezbollah claims convoy of trucks struck by Israel on Syrian-Lebanon border
BEIRUT, Lebanon — A source close to the Hezbollah terror group says that Israel carried out strikes on a convoy of trucks entering Lebanon from Syria.
“Three Israeli strikes targeted a convoy of tanker trucks on the Syrian-Lebanese border in the Hawsh el-Sayyed Ali area, injuring one Syrian driver,” the source tells AFP.
It was the latest in a series of Israeli strikes in the border area, the source added
The Syrian Observatory for Human Rights war monitor also reports Israeli strikes inside Syria near the border with Lebanon, without mentioning any casualties.
The strikes targeted an area near a border crossing “used by Hezbollah to move trucks and group members” between Lebanon and Syria, the Britain-based Observatory says, which relies on a network of sources inside Syria.
“One of the strikes targeted a truck convoy,” while another targeted “a farm on the outskirts of Qusayr in Homs province,” the Observatory says.
Iran-backed Hezbollah has a strong presence on both sides of the eastern stretch of the Lebanese-Syria border, where it supports the regime of Syrian President Bashar al-Assad.
But why USA anailinda Israel kwa jasho na damu namna hiyo? ...., sorry kumbe anafanya hivo hivo pia Saudia, Qatar, Egypt as well. But we'll, sababu ni nini hasa?Israel ni kama kipaka tu, hana anachoweza sasahivi anampa shida marekani na allies wake ya kumlinda yeye mweupe tu mdomo mwingi
NI malengo yao ya kiuchumi wameshajiwekea ili kuendelea kuipeleka dunia wanavyotaka , inawapa nguvu ya kuamua mambo mengi ya kidunia hasa ya kiuchumi, wakiamua wanaweka hadi watawala wanaowataka wao nchini kwako ili mradi iwe na maslahi kwao,But why USA anailinda Israel kwa jasho na damu namna hiyo? ...., sorry kumbe anafanya hivo hivo pia Saudia, Qatar, Egypt as well. But we'll, sababu ni nini hasa?