chief_
JF-Expert Member
- Dec 14, 2017
- 830
- 1,395
Sijui kwanini najisika amani sana [emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui kwanini najisika amani sana [emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Just imagine [emoji1787][emoji1787]Jamani mnanichekesha mie
Mie naelekea kupona kbsSijui kwanini najisika amani sana [emoji28][emoji28]
Unaumwa mamaa?Mie naelekea kupona kbs
Ulikohamia vipi mkuuhawa ndo wanataka kushika nchi, bora nilihamaga uko toka kipindi kile cha lowasaa, maaana hicho chama ni upupu tu
Ulikohamia vipi mkuu
Changamoto imeninyooshaUnaumwa mamaa?
Ugua pole asee.. ila sio huyo mwingineChangamoto imeninyoosha
Hahahaa shukranUgua pole asee.. ila sio huyo mwingine
Ila wanaoshabikia wenzao kupigwa riasasi vipi?huku watu wanaojitambua tu ndo wapo! huezi kuta mtu anashabikia nchi kupata tatizo uku
Hii ni kwa mujibu wa ITV .
Taarifa zaidi zitawajia ....
UPDATE
Mhudumu wa ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hamis Machenga amefariki dunia baada ya msafara wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar kupata ajali nje kidogo ya mji wa Zanzibar na watu kadhaa wamejeruhiwa.
Ila wanaoshabikia wenzao kupigwa riasasi vipi?
Wote sawa tu sio upande huu wala upande ulena vp wanaoshabikia corona ilihali hawataki kujiweka lockdown
Poleni sanaHii ni kwa mujibu wa ITV .
Taarifa zaidi zitawajia ....
UPDATE
Mhudumu wa ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hamis Machenga amefariki dunia baada ya msafara wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar kupata ajali nje kidogo ya mji wa Zanzibar na watu kadhaa wamejeruhiwa.
Mkuu Speed 200 unaijua unaisikia wanatembelea 140 kwa 120Kwanini wanakimbia sana hawa watu kwenye hii misafara? Speed 200
Mama ajali na haki vinaingia vipi?Haki huwa inachelewa lakini haipotei.
Sad news!!!!Hii ni kwa mujibu wa ITV .
Taarifa zaidi zitawajia ....
UPDATE
Mhudumu wa ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hamis Machenga amefariki dunia baada ya msafara wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar kupata ajali nje kidogo ya mji wa Zanzibar na watu kadhaa wamejeruhiwa.
Hivi huko visiwani kuambatisha picha kwenye habari ni dhambi!!Mhudumu wa ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hamis Machenga amefariki dunia baada ya msafara wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar kupata ajali nje kidogo ya mji wa Zanzibar na watu kadhaa wamejeruhiwa.