Msafara wa Viongozi CHADEMA wazuiliwa kuingia Uwanja wa Uhuru kumuaga Mzee Mkapa. Waitaka Serikali itoe maelezo...

Je, walienda kwa dhania ya Kumuaga Rais Mstaafu Hayati Mzee Mkapa au walienda ili Kujitangaza zaidi Kisiasa na Kumuonyesha Mgeni Mwenyeji?
Sikutarajia swali la kijuha na kipopoma toka kwako.Kujitangaza walisubiri mkapa afe yaani watu wanaelekea kwenye real event wew unadhani.Its too mystereous and naive
 
Mkapa angelikuwa bado yu hai ninge Unga mkono hoja yako Lakin ameshakata kamba utamshangaa mwenyekiti atakavyo wapenda na kutaka nao maridhiano. Mwenyekiti atotaka tena makundi mwenyekiti atakopi life style ya kikwete
 
Jana msemaji wa serikali alitoa utaratibu wa viongozi kwenda Uwanja wa Taifa, wote walitakiwa kuanzia Karimjee. Sasa sijui viongozi wa CHADEMA kama habari walipata au waliamua kupuuzia
 
musitafute huruma ya vyombo vya habari jana utaratibu uliotolewa ni kwamba viongozi wa chama na serikali watapanda magari maalumu,iweje nyie muje kwa usafiri wenu alafu mnakuja muda munaotaka.
 
Nilitazamia kama chama kikomavu cha upinzani nchi ningewaona wakijumuika na watanzania wengi leo pale uwanja wa uhuru kuuga mwili wa Raisi mstaafu lakini si kiongozi mkuu wa chama hicho wala wawakilishi ambao wameweza kujitokeza.

Jambo hili linaleta picha gani katika siasa za nchi yetu. ?

Pamoja na chama pia ambaye hajaonekana ni mwanansiasa mkongwe na mwana depomasia na mwananchama mpya wa ACT wazelendo ndugu Bernard Membe ,Mwingine ni Kiongozi wa chama cha ACT ndugu Zitto Zuberi Kabwe.
 
Yani wewe bado una chuki za dr mihogo? Wtf? Move on wacha gubu! We si “me”?
Kuwa kiongozi mkubwa ni pamoja na kuwa na nidhamu , kwa hili Chadema wamekosa nidhamu..Nia yao wakazue taharuki tu kwenye msiba mbele ya Rais na wageni wake.

Acheni kiki zenu za kitoto, pangeni mipango ya maana kuelekea Uchaguzi mkuu sio sifa za Kijinga.
 
Sikutarajia swali la kijuha na kipopoma toka kwako.Kujitangaza walisubiri mkapa afe yaani watu wanaelekea kwenye real event wew unadhani.Its too mystereous and naive
Wewe na hao viongozi wako ndio Humuwezi kwenda na wakati kabisa
 
naona wametangulia kwenda kuandaa nyumba ya milele
 
Wameshakamilisha sherehe za mapokezi yaLisu
 
Nawasubiri nao waje na upende wao kabla sijawahukumu. Kuna wakati kuna mengi yaliyo jificha? Kipi kimewasibu? Siamini kuwa hawajui protokali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…