HahahMbona mimi nilienda tu jana bila itifaki?
Hapa ndipo pana shida, huenda walikiuka itifaki pakawa hapana namna.Je walifuata mambo ya itifaki? Maana wasifanye kama msiba wa mtu wa kawaida.
[emoji706][emoji706]Chadema wajinga wajinga hao. Kwanini wazuiliwe bhana.[emoji28][emoji28]
CDM ni marehemu mtarajiwa
Jana polisi wameawachia mkajinafasi maksema mmeogopwa.Civilisation imewapitia mbali sana MATAGA!
Usishangae wakaambiwa wameandamana bila Kibali.
Ubaguzi huu sasa unahamia mpaka kwenye misiba na ipo siku utakwenda zaidi ya hapo.
Ya jana yamewaumiza, na hizi ndio hasira zao.
Hatari ya uamuzi huu ni msiba kuchukua sura ya kisiasa na matokeo yake watu wanaweza kususa kushiriki ikiwamo kuondoka msibani kwa waliokwisha kufika.
Ila kama kuna sababu ya msingi ya kuwazuia,tuambiwe.
Inaonekana wewe na mamako in masingle mothersChadema hawana shukurani hata wapewe nn, ni sawa na mchepuko single mother.
Unaakili sana mzee hao walikuwa na yao sasa imeshindikana kwaa wapuuzi wenzao wataona wameonewa hongera nafikiri kila mtu akiona hapa ataelewa.Je, walienda kwa dhania ya Kumuaga Rais Mstaafu Hayati Mzee Mkapa au walienda ili Kujitangaza zaidi Kisiasa na Kumuonyesha Mgeni Mwenyeji?
Huyo mwamba wako lazima ajue hii nchi inaendeshwa kwa sheria na taratibu, haiendeshwi kwa kanuni ya kuuangalia uso wa mwamba wako ukoje, hilo mlijue vizuri.Kuna Watu ninawashangaa mno Mkuu kwani wanamjua kabisa Mwamba alivyo na Kisununu na Kisasi na Wao wanaendelea Kumtibua tu kama hivi.
Waliingia baada ya Rais wao ni nani.Je walifuata mambo ya itifaki? Maana wasifanye kama msiba wa mtu wa kawaida.
Hapa ndipo pana shida, huenda walikiuka itifaki pakawa hapana namna
Jana polisi imecheza nao kwa akili sana!Hawa jamaa wanafanya mzaha na msiba wa taifa . Kiki ya jana imebuma wameona waende wakatafute kiki nyingine msibani. Aibu sana kwa CHADEMA.
Naona kiki ya Jana imewalevya Sasa wameshaota mapembe.Walikuwa wapi mpaka waingie wakati Rais ameshaingia ndani? Itifaki lazima izingatiwe.
Ndio maana mgeni mwenyeji alipania sana leo.Je, walienda kwa dhania ya Kumuaga Rais Mstaafu Hayati Mzee Mkapa au walienda ili Kujitangaza zaidi Kisiasa na Kumuonyesha Mgeni Mwenyeji?
Lissu ni mtu muhimu sn kuliko huyo rais wako.Walifika baada ya Mhe. Rais kufika au? kama walikuta Rais ameshafika basi ni halali wazuiwe.
Wameonyesha dharau kubwa Sana, na ni utomvu mkubwa wa nidhamu.Wamekwenda muda gani? Wamekwenda baada ya kuingia Rais au baada ya kuingia Rais?
Viongozi wote isipokuwa Rais kiutaratibu huingia kabla ya kiongozi mkuu wa nchi hajaingia!
Mtu wa mwisho anaye ingia kwenye tukio lolote la kitaifa huwa ni Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania!
Hebu Twambie wao wametaka kuingia muda gani? Wakati Rais kuingia au kabla?
Hivi kweli mko serious mnataka kwenda ikulu? Hamkujua ratiba?
Muhimu kwako wewe, sio kwa Watanzania. Lisu kwa sasa ni raia tu kamaa mimi na weweLissu ni mtu muhimu sn kuliko huyo rais wako
walienda kukuangalia weweJe, walienda kwa dhania ya Kumuaga Rais Mstaafu Hayati Mzee Mkapa au walienda ili Kujitangaza zaidi Kisiasa na Kumuonyesha Mgeni Mwenyeji?
Unataka sababu gani wakati ushawaita wabaguziCivilisation imewapitia mbali sana MATAGA!
Usishangae wakaambiwa wameandamana bila Kibali.
Ubaguzi huu sasa unahamia mpaka kwenye misiba na ipo siku utakwenda zaidi ya hapo.
Ya jana yamewaumiza, na hizi ndio hasira zao.
Hatari ya uamuzi huu ni msiba kuchukua sura ya kisiasa na matokeo yake watu wanaweza kususa kushiriki ikiwamo kuondoka msibani kwa waliokwisha kufika.
Ila kama kuna sababu ya msingi ya kuwazuia,tuambiwe.