[emoji16][emoji16][emoji16]yaani hapa ndio huwa siwaelewi watz wenzangu kuwatetea hawa jamaa.
Hawa ni wahuni tu kama manzese,tofauti yao wao ni maarufu na wanavaa suti safi.
Toka jana msemaji wa serikali ametangaza,kwa utaratibu wa viongozi wa uma,wanasiasa na wageni wa alikwa kwenda taifa kuaga mpendwa wetu,wataacha magari karimjee hall na kupanda gari maalum zilizoandaliwa kwenda huko.na muda ni kuanzia saa moja na nusu asubuhi.
Watu wanaingia uwanjani saa tatu na msafara wao binafsi,kama si kutafuta kick za kipuuzi ni nini??