Msafara wa Viongozi CHADEMA wazuiliwa kuingia Uwanja wa Uhuru kumuaga Mzee Mkapa. Waitaka Serikali itoe maelezo...

Msafara wa Viongozi CHADEMA wazuiliwa kuingia Uwanja wa Uhuru kumuaga Mzee Mkapa. Waitaka Serikali itoe maelezo...

Kwani mi niliwatishia kuwa Msipokee Muhuni mwenzenu? Nilichopinga ni Kumpokea na Kwenda taifa/msibani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] unajikuta wewe ndio jiwe kumbe ni ngumbaru mmoja mpiga deki Ofisi za Lumumba.
 
Hawa nao n wakupuuzwa tu wanajifanya hawajui taratibu Za itifak walitakiwa kuingia mapema kabla ya rais
 
Kwenye post zangu za jana nilishauri Lissu kutokwenda kwenye huo msiba, ninajua vyema mtazamo wa serekali hii chini ya Magufuli dhidi ya Lisu. Hapo tatizo la kuzuiliwa ni Lisu, na kwa vyovyote vile angeingia hapo uwanjani lazima angeshangiliwa vibaya sana, jambo ambalo lingezua fedheha na Karaha kubwa kwa serikali.

Ni nani asiyejua kuwa Lisu na Magufuli kuwa hawaivi chungu kimoja? Hivi hao viongozi wa Cdm walitarajia serikali na ccm, wangekubali cdm wachukue point za mezani mbele yao?
Acha propaganda bwana. Mtu wa mwisho kuingia ukumbini katika Shughuli za kiserikali ni the highest ranking officer/leader. Sasa huwezi ukafika umechelewa ukapita mbele ya waheshimiwa lukuki.

Pia shughuli hizi huratibiwa na watu. Zinakwenda kwa utaratibu. Siwezi kuacha maeneo wazi kisa nakungoja...usipokuja!? Nibakie na masiti empty mbele ya live television kusherekea maisha ya Rais Mstaafu!? Hata Mimi Kama Muandaaji na msimamizi siwezi kuruhusu.

Cha kustaajabisha Hawa watu (CHADEMA) wanajua Hili, aidha wamewahi kuwa viongozi au wanajua juu ya protokali hata ndani ya chama chao... Imekuwaje leo wakafanya such a low class mistake!? Ni makusudii!? Au bahati mbaya!?
 
familia ya Mkapa haijapenda hilo jambo,msiba ni wa Taifa
Huu Msiba sio wa familia ya Mkapa, huu Msiba ni wa Kitaifa ndio maana kila kitu kinagharamiwa na Kodi za Watanzania.
 
MaCCM mpaka msiba mmegeuza hafla ya Rais, kweli.?!
Toka lini kufika msibani unapangiwa muda. Mmechanganyikiwa na mapokezi ya Lissu. Mnaendeleza roho mbaya kama kawaida yenu na MATAGA mnapiga propaganda muonekano mpo sahii. Dah.
 
Japo kuna baadhi ya viongozi wengi ni walevi,lkn ulevi wa kiongozi huyu wa chadema humsahaulisha mambo mengi ikiwemo hili lililotokea Amesahau kuwa huu ni msiba wa Kitaifa na Protocal zote zinafuata.
Tumsamehe tu,mtu mzima kateleza.
 
CHADEMA wamechanganyikiwa. Kila kitu kwao wanageuza kuwa ni siasa
 
Tusiwe tunajadili kama vile wote sisi ni mazwazwa,tuwe tunauliza maswali ya msingi kisha ndio tuchangie.swali kwako mleta habari,wakati wanataka kuingia je jpm alikua kishaingia au bado? Kama bado wananchi wengine walikuwa wanaendelea kuingia au la?.mikutano yote ya ndani akishaingia rais hairuhusiwi kuingia mtu yeyote tena,pia wakati mwingine uwanja ukishajaa waharuhusu tena watu tofauti na wale waliopo ktk ratiba tu!
Good thinking 'hata mimi nadhani walichelewa'
 
ni heri 1/2 shari kuliko shari kamili, hata mm ningekua JIWE nisingeweza kuvumilia nipo msibani huku nasikia "tunaimaaaaani na lissu, hoya hoya hoya"
 
Duh! Na wewe ni kiongozi Aiseeeeeeeeee!!!!
Magufuli si anakubalika? Watanzania wasingekuwa na time na Lissu maana wana Magufuli wao hivyo wangetulia tuu viongozi wa Chadema wajipitie zao wakaketi majukwaani. HAHAHAHAHA jana mlikuwa nma test zali eti kama Chadema inakubalika mlipotoka kapa mmeanza tena uhuni.

Halafu uelewe kuwa Chadema hawakuwa na barua ya mualiko, pale ni msibani. Pia Chadema hawana king'ora hivyo wangejipitia tu barabarani wawahi. Pia elewa msafara ule ulikuwa ni wa viongozi watupu tena wasio na bendera za chama. Mbona maccm yamejazana majukwaani na mijezi yao?

Haya kila mtu afanye tukio lake. Kazikeni mtu wenu salama sisi tuendelee na yetu! Utadhani maiti zinaliwa kwamba Chadema wakiwepo nyama itapungua! Ushenzi kabisa.

Narudia tena "Msiba hauna mualiko wala kadi za michango"
 
Maalimu seifu hana madhara kwa ccm. Huwezi kujua, CHADEMA sio wajinga kivile. Huwenda walifanya mawasiliano lakini wakapuuzwa. You never know, ccm wana hila usijifanye huwajui.
Ukichukua Sefu na Chadema, Sefu anamadhara makubwa kwa CCM kuliko Chadema.

Ni kwenye ushindi wa Sefu mwaka 2000 zaidi ya Wazanzibar 40 walifariki na wengine mpaka leo wako ukimbizini.

Ni kwenye ushindi wa Sefu serikali ya CCM ilisalimu amri Hadi kuunda serikali ya Umoja wa Kitaifa.

Ni kwenye ushindi wa Sefu serikali ya CCM ilifuta matokeo ya Uchaguzi kupitia Mwenyekiti wa ZEC wakati huo Jecha....

Nyie Chadema mmewahi kufanya tukio gani la Kitaifa hadi serikali ya CCM ikasalimu amri.
 
Adjustments.jpg
 
Back
Top Bottom