samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,495
- 24,223
Hekima na busara muhimu sana, tuache kupenda kuminyana kwa kila jambo mengine hebu tuwe wastaarabu..
Jana kuna upande ulitumia hekima na busara mambo yakaisha salama, leo pia kuna mahala CDM mlipashwa kutumia hekima na busara na nyie kuliko kuminyana.
Kuna vitu vidogo sana vinafanya uonekana hauko smart na jamii ikakupuuza hata kwa yale ya maana, CDM jaribuni kuwa smart kidogo kuliko kutoa point za bure bure kwa adui yenu..
Jana kuna upande ulitumia hekima na busara mambo yakaisha salama, leo pia kuna mahala CDM mlipashwa kutumia hekima na busara na nyie kuliko kuminyana.
Kuna vitu vidogo sana vinafanya uonekana hauko smart na jamii ikakupuuza hata kwa yale ya maana, CDM jaribuni kuwa smart kidogo kuliko kutoa point za bure bure kwa adui yenu..