Ray waniache
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 737
- 507
Lete kwanza ipost hapa[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Mashine IPO,,,yaani ninayo mashine,,,Mimi mwanaume mashine,,,nitakupa mashine,,,
[emoji8]Duh!!!uandishi huu kwa mwanaume mbona Majanga.
-Ndumilakuwili-
Jichekee mkuu maisha yenyewe mafupi haya[emoji23] [emoji23] [emoji23] yaan nmejikuta nacheka tu na hasahasa hapo ulipomwambia jamaa pole.
[emoji4][emoji4][emoji4]Ohoooo!!!
-Ndumilakuwili-
Kwa jinsi mwanaume anavyojituma na kujitoa kufanya kazi ili aweze kumrahisishia maisha na kumridhisha mwanamke na watoto wake, anastahili kabisa kuitwa mashine. Na kwa kawaida huu msemo unapaswa usemwe na kinadada/wanawake. Ni aibu mwanaume kutamka statement hiyo mbele za watu.Mashine is any device which simplifying work, kwahyo kati yao ni nani anastaili kuitwa?
[emoji3][emoji3][emoji3]Toba.....[emoji87] [emoji87] [emoji87]
Comrade.......
Wakilazimisha mishuzi, ndowana jinyeaga hadharani....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Kwa jinsi mwanaume anavyojituma na kujitoa kufanya kazi ili aweze kumrahisishia maisha na kumridhisha mwanamke na watoto wake, anastahili kabisa kuitwa mashine. Na kwa kawaida huu msemo unapaswa usemwe na kinadada/wanawake. Ni aibu mwanaume kutamka statement hiyo mbele za watu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sababu kwao, sisi ni mashine tu.kwanini waseme wakina dada mkuu?
Kweli hii n karne ya digitalPambana na hali yako kama una kibamia pole
Asalaleeeeeee!!!Mwanaume mashine babu upo? km una kibamia chefuuuuu
Sent from my GT-S7301 using JamiiForums mobile app
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Duh!!!uandishi huu kwa mwanaume mbona Majanga.
-Ndumilakuwili-
tafuta maana ya mashine kwanza[/QUOTEk
SIMPLE AS FOLLOWS
Ushairi wa kuimbwa huwa una sehemu kuu mbili
1. CHORUS
2. VERSE
others 1, PRE-CHORUS and HOOKS
1. CHORUS
Sehemu hii hubeba jina la wimbo, utambulisho wa nyimbo kwa ujumla, na ni sehemu inayosikika zaidi kwa hadhira
Hapa tunaimba usiku na mchana
2. VERSE
Humu ndipo kuna maelezo ya maana ya kile kilichoimbwa kwenyee kiitikio yaani CHORUS
3. PRE-CHORUS
Huu ni ukaribisho wa CHORUS, hutukaribisha kuimba kiitikio, lakini pia hueleza maana ya KIITIKIO yani CHORUS
SASA TWENDE KWENYE NYIMBO YA MSAGA SUMU
Nadhani tusiandike nyimbo yote, twende kwenye PRE-CHORUS tuu,
''MWANAUME SIO SURA, MWANAUME SIO UMBO..........''
Mwandishi, au muimbaji wa hili shairi anatukaribisha kuimba mwili wa mwanaume, je si kweli?
sura na umbo kwa kumtaja mwana ume means anamkaribisha hata asiyejua kwamba yeye anamtaja mwanaume kimaumbile, na si vinginevyo.
Sasa anaposema MWANAUME MASHINE je unadhani hiyo mashine iko nje ya mwili wa mwanaume? na wakati ametukaribisha kwa kuanza kuimba SURA na MAUMBILE?
JE katika mwili huo wa mwanaume MASHINE ni sehemu gani?
Kuna njia tatu za ujuzi, au kujifunza na kujua kitu
1. KUJIFUNZA MWENYEWE- Self study
2. NJIA ELEKEZI- Instructions
3. MAZINGIRA/MAZOEA- Experience
SELF STUDY (nitatumia maoni yangu, au mm najua nini)
SIJAWAHI KUJIFUNZA KWAMBA KUNA MAHALA KWENYE MWILI WA MWANAUME INAITWA ''MASHINE''
INSTRUCTIONS
SIJAWAHI KUFUNDISHWA RASMI KUNA SEHEMU YA MWILI WA BINADAMU INAITWA ''MASHINE''
EXPERIENCE
NIMESHAWAHI KU EXPERIENCE SEHEMU YA MWANAUME (UUME) UKIITWA MASHINE
FASIHI NYINGINE HAZINA KABISA MAANA ILIYOJIFICHA KWA SABABU HATA WAANDISHI WENYEWE HAWANA UELEWA NA TAALUMA YA FASIHI
Bora kidogo hata wimbo wa GIGGY MONEY ''Nampa papa" ina fasihi yenye nguvu kidogoππππ
Hivi mkuu ni kweli umemwacha yule mwanaume wako au ilikuwa ni mkwara tu?[emoji30][emoji30][emoji30]Mwanaume mashine babu upo? km una kibamia chefuuuuu
Sent from my GT-S7301 using JamiiForums mobile app
Mmmmh so kila mwanamke apenda mandingoPambana na hali yako kama una kibamia pole
Atakuwa chakula huyoDuh!!!uandishi huu kwa mwanaume mbona Majanga.
-Ndumilakuwili-
Ndio hivyo mpambane na hali zenu mwenye kibamia sawa mwenye mandingo sawa
kwani huyo ni ME?Duh!!!uandishi huu kwa mwanaume mbona Majanga.
-Ndumilakuwili-