Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Mwanaume akitoa chozi anadhihakiwa na wanaume wenzake lakini mwanamke akikunja uso tu wanaume wanaume wale wale waliomdhiahki mwanaume mwenzao wanamkimbilia uyo mwanamke kuhakikisha anatabasamu
Mwanaume akiomba msaada kwa wanaume wenzake anadhalilishwa lakini mwanamke akipost picha tu mtandaoni mwanaume yule yule aliemtosa mwanaume mwenzake anazama inbox uko anaweza kufanya hata mhamala fasta tu.
It very sad, a man's suffering means nothing to his fellow man but that fellow man believe woman must not suffer. Men who are more generous to women and see no reason to be generous to men are miserable
Ukweli ni kwamba wewe mwanaume unaeona ni sawa kuwasaidia wanawake na kuwatosa wanaume wenzako siku utakapopata shida ni hao hao wanaume wenzako unaowafungia vioo ndio watakupiga tafu, all women you helped will disapper.
Kumsaidia mwanamke ni matumizi mabaya ya nguvu na rasilimali kwa sababu wanawake ni wabinafsi wanachokipata wanakilinda kiwanufaishe wao tu. Msaidie mwanaume mwenziko ambae akiwa na afya njema au akisimama kiuchumi jasho lake linanufaisha wengi.
Don't be simp.
Mwanaume akiomba msaada kwa wanaume wenzake anadhalilishwa lakini mwanamke akipost picha tu mtandaoni mwanaume yule yule aliemtosa mwanaume mwenzake anazama inbox uko anaweza kufanya hata mhamala fasta tu.
It very sad, a man's suffering means nothing to his fellow man but that fellow man believe woman must not suffer. Men who are more generous to women and see no reason to be generous to men are miserable
Ukweli ni kwamba wewe mwanaume unaeona ni sawa kuwasaidia wanawake na kuwatosa wanaume wenzako siku utakapopata shida ni hao hao wanaume wenzako unaowafungia vioo ndio watakupiga tafu, all women you helped will disapper.
Kumsaidia mwanamke ni matumizi mabaya ya nguvu na rasilimali kwa sababu wanawake ni wabinafsi wanachokipata wanakilinda kiwanufaishe wao tu. Msaidie mwanaume mwenziko ambae akiwa na afya njema au akisimama kiuchumi jasho lake linanufaisha wengi.
Don't be simp.