Msaidie mwanaume mwenzako

Msaidie mwanaume mwenzako

nikikuta kuna mwanaume na mwanamke wanauza bidhaa za aina moja, naendaga kununua kwa mwanaume mwenzangu.
Ubarikiwe sana ndugu.

Binafsi mimi hata vile vitoto vya mitaani ambavyo vinaranda randa stendi vikiomba omba hela kwa wapita njia mara nyingi kama nina coins huwa nazigawa kwa vitoto vya kiume na sio vya kike.... maana ninaamini kabisa wale wa kike muda wowote wanapata msaada na kuwaacha hawa wa kiume wakiendelea kuranda randa hapo stend... na of course ni ukweli uliowazi watoto wengi wa mitaani ni wa kiume.

Ukija kwenye biashara ndio usiseme sikumbuki ni lini mara ya mwisho nimenunua bidhaa kwenye duka ambalo najua fika linamilikiwa na mwanamke au muuzaji wake ni mwanamke.....!!

Mimi nikienda kununua bidhaa sehemu yoyote ile yenye wauzaji wengi wake kwa waume, siwezi nikaacha kununua kwa wanaume wenzangu eti nijipeleke kwa wanawake, maana naamini mwanaume mwenzangu asipouza kuna uwezekano mkubwa sana yeye na familia yake wakalala na njaa siku hiyo, tofauti kabisa na mwanamke ambaye unakuta mbali na hiyo biashara ana danga lake linalomuweka mjini au kama ni mke wa mtu basi ndani ya nyumba matumizi yote anayegharamika ni mume na hivyo basi hata asipouza siku hiyo hakuna kitakachomuharibikia.

Let's get back our lost brotherhood strongly.
 
Ila sio sana maana naona conservatives wameanza kuja taratibu kurudisha misingi fulani lakini pia wanaume tumeanza pia kuwa vocals.

Women empowerment haikuwa kitu kibaya ila hii hali ya kutafuta jambo jipya la kulipinga ili ionekane movement ipo relevant. Hapo ndo wanakosea
Yes Conservativism is the way to go, i personally regard myself as extremely Conservative guy and I have strong aversion to modernisation....!!

Duniani kote jamii ambazo bado ziko stable na hazijaparanganyika ni zile ambazo mpaka leo zina embrace their long standing traditional values, mfano jamii za Asia na afrika ya kaskazini.

Kinachonifurahishaga ni kwamba hawa Liberals na movements zao za kuibadilisha jamii, kuna muda huwa wanazitupilia mbali ideologies zao na kurudi kwenye mfumo wa kizamani(patriarchy) mfano mzuri ni kama Zelenzisky alivyoamuru wanawake wote wa Ukraine watafute pa kujificha kuokoa maisha yao halafu wanaume peke ndio waingie vitani.

Hii inatoa tafsiri gani? Kwamba endapo kama dunia ikipitia majaribu kama hilo la Russian invasion mara kadhaa, basi upo uwezekano mkubwa binadamu tukarudi kuishi kwenye mfumo wa kizamani mazima.... maana umeona ndio mfumo sahihi unaomlinda mwanamke kuliko hata huu wanaoupigania mafeminists.
 
Umeongea ukweli mkuu, women empowerment uenda haikua na ajenda mbaya nyuma ya pazia tatizo wanawake wengi waliitafsiri vibaya. Walifikiri ni movement ambayo imekuja kuwapa nafasi ya kulipiza kisasi ndio maana tumefika huku kwenye mahusiano ya kuviziana.



Women empowerment was once one of the greatest ideas in the history of humankind that was warmly welcomed by everyone until it got hijacked by third wave feminists whose sole purpose is to inflict suffering to male gender due to their deep-seated misandry.

Women empowerment and feminism in general was never bad agenda in anyway, because it was primarily about uplifting Women to have equal participation in social economic development and accessibility to all fundamental rights same as men.

Feminism ilienda vizuri sana mpaka kwenye miaka 1990s ambapo ndio mambo yalianza kwenda kinyume kabisa na lengo kusudiwa la hapo awali..... na ndio miaka hiyo hiyo yalianza kusainiwa maazimio ya ajabu ajabu ambayo yametuletea chaos kwenye jamii yetu leo hii.

Feminism iliyolenga usawa wa kweli(first wave feminism) iliishia miaka ya 90s huko, baada ya hapo kilichofuata ni extremism ambayo ndio hii inayotambulika kama third wave feminism na ipo kwa ajili ya kurevenge, na ndio maana hata wahusika wake wengi(modern feminists) ukiwachunguza wana chuki kali sana dhidi ya wanaume.
 
Maneno ya Spik
Umeongea ukweli mkuu, women empowerment uenda haikua na ajenda mbaya nyuma ya pazia tatizo wanawake wengi waliitafsiri vibaya. Walifikiri ni movement ambayo imekuja kuwapa nafasi ya kulipiza kisasi ndio maana tumefika huku kwenye mahusiano ya kuviziana.
Maneno ya Spika Ndugai unayakumbuka? Alisema wanawake wanajaliwa sana kuliko wanaume mpaka mtoto wa kiume kasahaulika,sasa mtoto wa kiume kuishia kuwa mvuta bangi, aatao hao hao wanawake waliokuwa impowered mwishowe mzani utageuka.
 
Back
Top Bottom