Msaidieni kaka yangu ndoa inavunjika, hawezi kwenda round zaidi ya moja

KWA WANAUME WANAOSUMBULIWA NA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME Fanya hivi:Chukua dawa inaitwa Mgosi agona,chukua dawa inaitwa mdinda,chukua dawa inaitwa,mkuyu,chukua dawa inaitwa mdaula kisha changanya dawa hizi halafu chemsha kwenye kikombe anza kunywa kutwa mara mbili Kwa siku 7 au 21 ila hakikisha una uhakika wa kuwa na mwenza, Dawa zote hizo utazipata pale kariakoo katika maduka ya dawa asili. tafadhali usiende kufanya biashara na dawa hii maana nimeitoa bure nawe utoe bure
 
mwambie kakako aanze kutumia pombe na sigara, vilevile apige punyeto inasaidia kufungua blood vessels
 
Vipi sasa kama hakujitunza?? Au aliwahi kuolewa hapo awali na hiyo ni ndoa yake ya pili
 
Kwahyo atapona kabisa
 
Msaada ni wewe shemaji yake kumla basi acha kuleta huku au weka namba ya simu hapa na useme shemeji yako anapatikana mkoa gani na kazi yupo wapi.. Yaani unaletewa hoja ya kusaidia unaleta humu....

Mkuu mimi lengo ni kumsaidia kaka yangu, kama unataka namba ya shemeji omba tu kistaarabu na uandike namba yako ya simu hapa ili niweze kukutumia yake
 
 
Nikupm ili iweje?

Ili nije kukukaza, si umesema ni mimi wala si kaka yangu. Mimi ni mwanaume nikiwa na shida siwezi kumsingizia mtu wakati hata hapa situmii jina langu halisi. Yaani hapa hakuna anayenijua halafu niogope kusema tatizo langu mwenyewe? ndiyo maana nimesema kama unadhani shida ni yakwangu njoo uone ninavyosimama kwenye papuchi lako.
 
Mkaze uyo wa pembeni yako
 
Daahhhhh samahan mkuuu kama umenitafasiri vibaya...ila sikua nalengo lakutukna au vpi ..

Iko kitu nikitu nilichokutana nacho PM.mtu anaomba umsaidie lkn mwisho nagundua ni gay ...kwakweli ilo nijambo ambalo hata Mimi kinaniudhi sana nahuwa nataman nikutane ..

Samahan man .
 
Nitumie no ya shemeji yako mkuu,, Kuna mambo yanapaswa kuongelewa baina ya DOCTOR NA PATIENT,,, yanapaswa kubaki siri yetu,,, pia KUPIGA ROUND ZAIDI YA MOJA,, haimaanishi ndy kumridhisha mwanamke,,, muhimu ni kufanya tendo kwa mda mrefu na ustadi mkubwa,, hata round Moja tu yatosha mwanamke kuomba MCHEZO UISHE.... lazima ujifunze kucheza na akili yake,, na lazima muwe mnawasiliana wakati wa tendo,, ili mfike pamoja safari yenu,, mara nyingi mwanaume anapaswa kuchelewa kufika,,, ni AIBU kubwa kwa DUME kutamba limekwenda round nyingi kwa muda mfupi..
 
Hapo ndipo unapokuja umuhimu wakuoana mkiwa bikra
 
na matangazo yote yaliyo jaa mitaani na mitandaoni bado unataka msaada du
 
Duuh ahsante mkuu....nimepata na solution ya tatizo langu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…