Msaidieni kaka yangu ndoa inavunjika, hawezi kwenda round zaidi ya moja

[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
kuvuta wala kupiga punyeto
hapa anayejua ukweli ni yeye tu. kama havuti sigala, wala hapigi punyeto, wala hanywi tatizo lake ni la kisaikolojia. Ajiamini, pia abadilishe utamaduni wa kula. Kama anakula sembe aache kabisa, ale donna ya kupikwa nyumbani. Pia ale mbegu za maboga, na achanganye asali na mdalasini ale. Ale na mtende (ile kitu kinacholiwaga sana kipindi cha mfungo). akizingatia hayo atakaa vizuri.
 
Patient ni bro wangu , sasa namba ya shemeji ya kazi gani?
Nani anayelalama hafikishwi kunako kilele cha maraha?Kama sio shemeji yako? mm naweza kujuwa shemeji apigwe na silaha zipi? Wewe toa NUMERALS zake,,, nitajuwa Ana nguvu kiasi gn,, nikishajuwa ndy namtakafuta na kaka yako,,, maana Kuna madada wengine bila style za KUSIMAIA BAISKEL,,, hajaridhika bado
 
Wewe unafaa sana kuwa mke wangu
 
Mi nilidhani ni mimi tu unayeniitaga pm kumbe ni tabia yako eeh! Kwani huko pm hutaandika?
 
Mi nilidhani ni mimi tu unayeniitaga pm kumbe ni tabia yako eeh! Kwani huko pm hutaandika?
Hahahahahaaaaa, umenifurahisha sana aisee. Ujue kule pm kuna mengi yana kupita kama vp nichek huko nikupe data.
 
Hahahahahaaaaa, umenifurahisha sana aisee. Ujue kule pm kuna mengi yana kupita kama vp nichek huko nikupe data.
Nahisi ulirogewa pm, na aliyekuroga keshapotea. No way, wacha tu nije nikapate hizo data
 
Yaani, daaaah!! Wafaa kuwa kungwi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…