Richard irakunda
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 3,660
- 4,384
Ameanza Kumchana Max na JF nzima kwamba wana_leak taarifa kwa TISS.
Kumbe nilikuwa sina uhakika
Sasa sisi ambao tumeshawai kutuma namba zetu huko PM tunafanyaje ?
Yaani nimecheka utadhani mazuri! Serikali ya lawiti!?Kwa hio hivi vikosi vimetumwa kuwalawiti wananchi sisi tuliambiwa kuwa hii ni serikali ya Viwanda sasa ghafla imebadilika kuwa serikali ya liwati.
Basi ni vizuri tukajengewa sanamu kubwa pale Dodoma likiwa limebong'oa
Ili liendane na kaulimbiu ya Serikali ya liwati
Na kibwagizo cha hapa kulawitiwa tu!
Ili tujue moja
Mbona America, Russia zinafanikiwa?
Ina maana ushauri wa Membe haukusikilizwa? Kutekana ni uzuzu!
Ila kigogo karuka na habari ya kutisha sana!No kigogo bado yuko active huko twiter
Kumbe nilikuwa sina uhakika
Sasa sisi ambao tumeshawai kutuma namba zetu huko PM tunafanyaje ?
[emoji16][emoji16]na siku ukija kujua huyo kwenye avatar yako ni mtumishi mtiifu,utajionea huruma sana.Inawezekana Mello akawa kapata kibarua huko Tiss [emoji41]
Asingepigwa risasi watiifu huwa wanapigwa kwa mishahara minono na marupurupu mazito[emoji16][emoji16]na siku ukija kujua huyo kwenye avatar yako ni mtumishi mtiifu,utajionea huruma sana.
yaani melo ahatarishe usalama wake kisa kuficha waropokaji,wasiojua hata nini cha kuongea.
hawezi kutekwa yule ni mtu wao humo kwenye taasisi aliyechoshwa na maovu[emoji16][emoji16][emoji16].Je kama ndio katekwa?
Ndoa ya Roma ilivunjika kwa lipi ?Jiulize ni kwanini siku Roma anahojiwa Waziri wa Habari na Michezo aliacha yote akawa mpambe wa Roma?
Kama kweli ana mapenzi na Roma mbona hasuluhishi ndoa yake iliyovunjika?
Is that Kigogo ?Wakuu,
Taarifa nilizozipata punde zinaonyesha ndugu Allan Kiluvya ametekwa jana usiku maeneo ya Mbezi.
Allan anadaiwa kuchukuliwa na watu takribani 7 waliokuwa na silaha.
Benard Membe ambaye alikuwa Mbunge wa Mtama, ni mwanasiasa aliyefikia viwango vya juu nchini Tanzania, alikuwa Waziri wa Mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa katika serikali ya awamu ya nne, iliyoongozwa na Jakaya Mrisho Kikwete.
Membe aligombea Urais kwa tiketi ya CCM 2015 na kuchujwa katika vikao vya ndani ambapo hatimaye Magufuli kupewa ridhaa. Toka wakati huo, amekuwa kimya na kutojishughulisha na masuala ya kisiasa.
More to follow
si alikengeuka!!!hawezi pigwa na kibunda tena.Asingepigwa risasi watiifu huwa wanapigwa kwa mishahara minono na marupurupu mazito
Acha hivyo, kuna wanaotumia ID za kike na kuwaingiza king wanaohusudu libeneke!Mkuu huko Pm watu huwa wanakuja kwa kujifanya wanashida wanataka misaada kuhusu masomo na mambo kadha ya kukutega. Usiwajibu chochote wala kuwapa ushirikiano wowote. Mtu anatumia fake ID anataka namba yako ya nini?