Msaidizi wa Benard Membe, Allan Kiluvya adaiwa kutekwa na watu ‘wasiojulikana’

Msaidizi wa Benard Membe, Allan Kiluvya adaiwa kutekwa na watu ‘wasiojulikana’

Kwa hio hivi vikosi vimetumwa kuwalawiti wananchi sisi tuliambiwa kuwa hii ni serikali ya Viwanda sasa ghafla imebadilika kuwa serikali ya liwati.

Basi ni vizuri tukajengewa sanamu kubwa pale Dodoma likiwa limebong'oa
Ili liendane na kaulimbiu ya Serikali ya liwati
Na kibwagizo cha hapa kulawitiwa tu!
Ili tujue moja
Yaani nimecheka utadhani mazuri! Serikali ya lawiti!?
 
Wameamua kumuonyesha Membe kwamba hakuna kitu anaweza kuwafanya,so wamemteka na mfanyakazi wake kumuonyeaha wanavyoweza kumfanya chochote Membe.
Ina maana ushauri wa Membe haukusikilizwa? Kutekana ni uzuzu!
 
No kigogo bado yuko active huko twiter
Ila kigogo karuka na habari ya kutisha sana!
Jee kuna ukweli au ??
@maxincemello
Screenshot_20190707-131203.jpeg
 
Kumbe nilikuwa sina uhakika

Sasa sisi ambao tumeshawai kutuma namba zetu huko PM tunafanyaje ?

Mkuu huko Pm watu huwa wanakuja kwa kujifanya wanashida wanataka misaada kuhusu masomo na mambo kadha ya kukutega. Usiwajibu chochote wala kuwapa ushirikiano wowote. Mtu anatumia fake ID anataka namba yako ya nini?
 
Inawezekana Mello akawa kapata kibarua huko Tiss [emoji41]
[emoji16][emoji16]na siku ukija kujua huyo kwenye avatar yako ni mtumishi mtiifu,utajionea huruma sana.

yaani melo ahatarishe usalama wake kisa kuficha waropokaji,wasiojua hata nini cha kuongea.
 
[emoji16][emoji16]na siku ukija kujua huyo kwenye avatar yako ni mtumishi mtiifu,utajionea huruma sana.

yaani melo ahatarishe usalama wake kisa kuficha waropokaji,wasiojua hata nini cha kuongea.
Asingepigwa risasi watiifu huwa wanapigwa kwa mishahara minono na marupurupu mazito
 
Jiulize ni kwanini siku Roma anahojiwa Waziri wa Habari na Michezo aliacha yote akawa mpambe wa Roma?
Kama kweli ana mapenzi na Roma mbona hasuluhishi ndoa yake iliyovunjika?
Ndoa ya Roma ilivunjika kwa lipi ?
 
Wakuu,

Taarifa nilizozipata punde zinaonyesha ndugu Allan Kiluvya ametekwa jana usiku maeneo ya Mbezi.

Allan anadaiwa kuchukuliwa na watu takribani 7 waliokuwa na silaha.

Benard Membe ambaye alikuwa Mbunge wa Mtama, ni mwanasiasa aliyefikia viwango vya juu nchini Tanzania, alikuwa Waziri wa Mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa katika serikali ya awamu ya nne, iliyoongozwa na Jakaya Mrisho Kikwete.

Membe aligombea Urais kwa tiketi ya CCM 2015 na kuchujwa katika vikao vya ndani ambapo hatimaye Magufuli kupewa ridhaa. Toka wakati huo, amekuwa kimya na kutojishughulisha na masuala ya kisiasa.

More to follow
Is that Kigogo ?
 
Mkuu huko Pm watu huwa wanakuja kwa kujifanya wanashida wanataka misaada kuhusu masomo na mambo kadha ya kukutega. Usiwajibu chochote wala kuwapa ushirikiano wowote. Mtu anatumia fake ID anataka namba yako ya nini?
Acha hivyo, kuna wanaotumia ID za kike na kuwaingiza king wanaohusudu libeneke!
 
Back
Top Bottom