Nilishawahi kusema haya mambo ya kutekana iko siku kuna uwezekano wa watu wakaitumia nao kwenye kufanya mambo yao..Ibilisi Ye Jamaa. Anamtumikia mungu na shetani.
Bila shaka nawe u mmoja wao.Allan ana akili Za Kitoto Sana, Allan Nimepishana Nae Hapa Segerea Na Kagari Kake Halafu Anasema Ametekwa?
ndio maana nasema wacha waisome namba, Ndugu yangu Mwskyembe kimyaa, na umaskini wake ule hawezi kemea akifukuzwa kazi atakuwa kichaaaMembe is just overrated. By the time when JK and his gang were misusing public offices , Membe was no where to be seen condemning any act.
Umewaza kama mimi.Siku atekwe ridh moko, tuone
Mbona kama lengo linataka kuhamishwa hapa kwahiyo Membe ndio kawatuma watekajiAllan Kamaka Kiluvia Alikuwaga Ni Msaidizi Wa Mzee BM Kwa Maana Ya Kutuma Hapa Na Pale, Juzi Mzee Alitaka Kulizwa Na Allan Baada ya Allan Kwenda Kwa Mhindi Mmoja Hapa Mjini Na Kumwambia Kwamba Mzee Anataka M.300 za Kufanyia Kampeni Na Kuweka Mambo Sawa Kwa ajili Ya 2020, Yule Mhindi Akashituka ikabidi ampigie Nape Kumuliza, nape akamwambia Mimi Sijui Kama Kweli Katumwa na Sio Rahisi BM awe na Shida ya hela Yote hyo amtume kijana wake, ikabdi Nape Amwambie Mzee Membe Mzee Akasema Mbona Sijamtuma Kwake na Wala Sina Mawasiliano Nae Kwa Sasa, Dogo akaitwa a Mzee Pale Masaki, Kuulizwa Hana Jibu, Inabidi Mzee amwambie Aache Tena Hyo Tabia na Asifike Tena Ofsini Kwake na Wala Nyumbani Kwake Pia Kuna Wakati Alishataka Kumpiga Hela Pia Aliekuwaga Mbunge Wa VM Kupitia Cdm, Philipa Ambae kwa Sasa anakaa Marekani ila Yule Mama Akawasiliana na Membe Ishu Ikabuma, Kwa Hyo Allan Ajatekwa ndio Tabia Yake Toka Zamani Hata Bm Akiwa Waziri Kuwaambia Watu Na Kuwatisha Kwamba yeye Ni Usalama Wa Taifa Ni Mtu Wa Majanga Sana, Kuna Wakati alishawahi Kufanya Kazi Tff Kama Mwanasheria Wao Ila Hakudumu Sana Pale.
Yes,overKwani msaidizi wa Membe na yeye ni mainz animal?
hivyo ni visingizio tu.Nilishawahi kusema haya mambo ya kutekana iko siku kuna uwezekano wa watu wakaitumia nao kwenye kufanya mambo yao..
Kumbuka kwenye msafara wa mamba kenge nao wapo!
"Eg-Yawezekana mimi na wewe tukazinguana mimi nkatumia hiyo style ya kukuteka wewe ukishatekwa watu watahisi ni umetekwa kutokana na sababu za kuto support upande ule kumbe lbda ni mambo binafsi"
Ova
nimechungulia mda huu twitter.Comment hii inafikirisha
Katembea na mke wa mtu.Kwani alietekwa ametenda kosa gani?
Nina hamu sana kama Membe angesoma kitabu kimoja cha James Petterson na hasa sehemu iliyosema ''You fight, you lose, you die....''Narudia tena, tatizo ni kuongea ukweli. Hakuna mwenye shida na anayeingia uongo wala kusifia. Huko pm tunayaons sisi tusiosifia serekali.
Yaani, majanga yote hayo bado alienselea kuwa msaidizi wa Mzee Membe???Allan Kamaka Kiluvia Alikuwaga Ni Msaidizi Wa Mzee BM Kwa Maana Ya Kutuma Hapa Na Pale, Juzi Mzee Alitaka Kulizwa Na Allan Baada ya Allan Kwenda Kwa Mhindi Mmoja Hapa Mjini Na Kumwambia Kwamba Mzee Anataka M.300 za Kufanyia Kampeni Na Kuweka Mambo Sawa Kwa ajili Ya 2020, Yule Mhindi Akashituka ikabidi ampigie Nape Kumuliza, nape akamwambia Mimi Sijui Kama Kweli Katumwa na Sio Rahisi BM awe na Shida ya hela Yote hyo amtume kijana wake, ikabdi Nape Amwambie Mzee Membe Mzee Akasema Mbona Sijamtuma Kwake na Wala Sina Mawasiliano Nae Kwa Sasa, Dogo akaitwa a Mzee Pale Masaki, Kuulizwa Hana Jibu, Inabidi Mzee amwambie Aache Tena Hyo Tabia na Asifike Tena Ofsini Kwake na Wala Nyumbani Kwake Pia Kuna Wakati Alishataka Kumpiga Hela Pia Aliekuwaga Mbunge Wa VM Kupitia Cdm, Philipa Ambae kwa Sasa anakaa Marekani ila Yule Mama Akawasiliana na Membe Ishu Ikabuma, Kwa Hyo Allan Ajatekwa ndio Tabia Yake Toka Zamani Hata Bm Akiwa Waziri Kuwaambia Watu Na Kuwatisha Kwamba yeye Ni Usalama Wa Taifa Ni Mtu Wa Majanga Sana, Kuna Wakati alishawahi Kufanya Kazi Tff Kama Mwanasheria Wao Ila Hakudumu Sana Pale.
Za chini ya kapeti mmoja alipitiliza hakurejea tena!Hivi walipona ?! I wish wangekufa
Ilibadili uelekeo na kuwa uhujumu uchumiDah noma kweli.
Kwa hyo huyo Zakaria kesi yake iliishaje?