Kwa sababu ni wa huko humo tusishangae ya Kabila Sr. kutokea, maana joka ukilifuga kulala nalo kitandani sio kwa vile linakupenda bali linajipima urefu kujua likikumeza utatosha au bado likue kue kwanza?"Wakitumaliza sisi watarudi kwenu" TUNDU LISSU
Mwisho mtasikia kapatikana kwa mama yake bumbuli anakula mhogo
Ha ha ha, kwa hiyo mkatoliki walikula kiboga??Wanapokuwa wametekwa mbali na mambo mengine wanalawitiwa huku wakirekodiwa. Sasa huwa wanatishiwa kabla ya kuachiwa kwamba wakiongea lolote kuhusu hilo kundi hiyo clips ya kulawitiwa inaachiwa mitandaoni. Si unajua jinsi ilivyo dhahama kulawitiwa bila ridhaa yako kisha hiyo picha kuwekwa hadharani?
Mkuu umeyajuaje haya? Yamekufika au ni story tu za kitaa?
MmmhKatweet dakika 20 zilizopita View attachment 1148624
Kwaiyo swahiba wangu Abdul Nondo hana marinda?[emoji44][emoji1381]
Kwa hio hivi vikosi vimetumwa kuwalawiti wananchi sisi tuliambiwa kuwa hii ni serikali ya Viwanda sasa ghafla imebadilika kuwa serikali ya liwati.Mkuu kwani kujua jambo lolote ni lazima liwe na ww limekukuta? Au unadhani hao wanaofanya hayo matendo wana siri sana?
Aisee leo jumapili mkuu hayo unayatoa wapi na kwa Nani acha uongo penda kuongea ukweli
kama kweli wanalawiti. basi tunalawitiwa kwa kodi zetu. wenda wanakula njama na mabeberu kulifanya taifa la mashoga huko baadaye.Kwa hio hivi vikosi vimetumwa kuwalawiti wananchi sisi tuliambiwa kuwa hii ni serikali ya Viwanda sasa ghafla imebadilika kuwa serikali ya liwati.
Kuna siku na hiyo comment yako itakusubject kutekwa, na hapo ndipo utamkumbuka TL kuwa 'wakitumaliza sisi watakuja kwenu'. Maana watakuuliza ni kwa nini unasema 'yetu macho' tu badala ya kusifia na kutukuza!Yetu macho.
nimeona jamaa wameweka picha na jina lake huko twitter.No kigogo bado yuko active huko twiter
Ni ngumu mkuu, hii katiba babu Nyerere aliiona.. kina Warioba walihisi haya CCM wakakaza shingo ..kubetua kigoda ni ngumu mkuu nakuahidi jamaa ana mamlaka makubwa kikatiba na ninanchokiona 2020 katika mchakato wa kura za maoni jamaa atafanya kitu kigumu sana.Huko anakotaka kwenda siko....jamaa atafeli hatari...
Na CCM ina uwezo wa kumfix tu kama itaona for the benefit of the nation...hata kama yeye mwenyewe kakalia kigoda watu wanakibetua vilevile.
Lini ccm imewahi kufikiria japo kidogo tu maslahi ya taifa. Wao wanafikiria maslahi ya matumbo yao tu.Huko anakotaka kwenda siko....jamaa atafeli hatari...
Na CCM ina uwezo wa kumfix tu kama itaona for the benefit of the nation...hata kama yeye mwenyewe kakalia kigoda watu wanakibetua vilevile.
Ameanza Kumchana Max na JF nzima kwamba wana_leak taarifa kwa TISS.
Iko Sikh nao watatekwa tu...mambo in kwa zamuBashite(makonda) na Msiba(Cyprian) washukiwa namba moja.