Msaidizi wa Lissu adaiwa kujeruhiwa na mapanga na watu wasiojulikana

Yote hayo ni kwa sababu ya chama chakavu cha ccm.
 
Upitie soma vizuri kaa umakini halafu uje unipe feedback mkuu una majibu yote ya maswali ulouluza

 
Hayo mapanga au fito? Kama amekosea wenye hasira kali wanamsulubu tu
 
Mapanga au viwembe?Hakuna jeraha la mapanga hapo kwenye hiyo picha.
Angalieni kwa makini wacheni kutengeneza sinema za kijinga.
 

Nawe tulia tuli hata bado hajakalia kitu chake vizuri haswa.. akiseti kikae mkao wa kazi iendelee.. na kuegemeza mgongo.. unahangaika kujaji.. 😅😅😅😅😅

Pokea 💉💉💉 zaidi
 

Nilimsoma nikamchekaaaa... Wote hao kweli hawana lolote.. maneno kuandika na midomo tu
 
Poyoyo mamako bwege wewe unajifanya kujua sana wakati wewe kiazi mbatata tu. Kila kitu nchi za wenzetu nchi za wenzetu kwani wewe ndiye mtanzania wa kwanza kuishi nchi za ' wenzako',unaandika kwa mapana utafikiri dunia yote hii unaijua.
 
Huyo msaidizi hana jina, na mahali aliposhambuliwa akiwa wapi na mazingira gani? Usikute ni mtu amkumbana panya road vibaka au kafumaniwa akiwa na mke wa mtu, basi tukio likahusishwa na uhasimu wa kisiasa. Hii taarifa ina mapungufu mengi sana.
Mtoa mada jaribu kufanya ufafanuzi.
 
Kwa hali ilivyo na tetesi zinazozagaa kwa kasi sana juu ya kutofautiana kwa Mbowe na Lissu ni wazi kuwa maneno ya kuwa Lissu anataka kuanzisha chama chake ni ya kweli na si ya kuyabeza hata kidogo.

Siku ya jana katika mkutano na Diaspora Lissu amesikika akilalamika kwenye kikao cha ndani na Wanaharakati wa Diaspora huko Marekani kuwa;

“Mwenyekiti (Mbowe) anatumia njia haramu za kubaki madarakani. Ili kuhakikisha Mbowe anabaki madarakani, ameanzisha vikundi haramu vidogo vidogo ndani ya chadema. Vikundi hivyo viko karibu na Mwenyekiti (Mbowe) wale walio wa Mwenyekiti kwa kuwa Mwenyekiti ndo anashikilia rasilimali za taasisi anatumia mfumo haramu kuwaneemesha watu wake kwa kutumia raslimali za taasisi na kuwakandamiza wote wanaoonekana wanapishana naye kimtazamo.”

Lissu amesema kuwa vikundi hivi vina wachumia tumbo, wanaopenda madaraka, na chawa wanaokwenda kujipendekeza kwa Mwenyekiti wa taasisi kwa malengo ya kujinufaisha binafsi na ndiyo watafuna ruzuku wakubwa.

Ameongeza kuwa vibaraka hao wamekuwa wakimuendea Mwenyekiti (Mbowe) na kumjaza maneno mabaya dhidi ya viongozi wenzao na kuzidi kuwafarakanisha viongozi wa chama hivyo kama ni chama ntawaachia na kujiunga nanyi.

Mgogorovkativya wawili hawa umekuwa mkubwa baada ya Kissu kumtuhumu Mbowe kupokea mabilioni ya pesa wakati wa maridhiano na kukiuka msimamo wa kikundi chao dhidi ya serikali ya CCM na zaidi ya yote kitendo cha Mbowe kung'ang'ania kuwa mgombea wa urais kupitia CHADEMA mwaka 2025 ndicho kinachochea vurugu kiasi kwamba Lissu amesusa na kuamua kwenda kupumzika huko aliko.

Kauli ya Lissu kuwa Mbowe anatumia njia haramu kubaki madarakabi ni kauli nzito sana ukichukulia chama hiki kinakwenda kuchagua viongozi mwakani na hivyo ni dalili ya wazi kuwa Mbowe anataka kugombea tena uenyekiti wa milele ndani ya kikundi hicho.

Tunajulishwa kuwa Tundu Lissu akishirikiana na wanaharakati akiwemo Maria Sarungi wanataka kuanzisha chama kipya cha siasa kabla ya uchaguzi ujao na kuimegua kabisa CHADEMA.
 
Mapanga yameanza mapema na bado Esidori Mpango hajaingia na vikosi vyake vya Interahamwe.

Huenda Wamasai Wabarbaig na Wairaqwi pamoja na Watutsi watatiwa Kagera ili warudishwe Uhabeshi.
 
Nape alikuwa anaweza matusi na sio uenezi?
 
Chadema tena wanatendana kama Ile ya risasi..

Hii ni wao kwa wao.. walivyo na akilwi za ndani ya futi sita.. walipo kwa miaka mingi.. wanachukiana Sana hadi akili za mipango hawana wanarudia ya kumvizia kiboko wa Siasa nchini..

Hawampati ng'oooooo
Cocochanel , mjukuu wa marehemu Jiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…