Msajili abariki Mbatia na Wenzake kusimamishwa NCCR Mageuzi

Msajili abariki Mbatia na Wenzake kusimamishwa NCCR Mageuzi

Ila Mbatia hana namna pale maana wanaposema akidi haijatosha si kweli, ile nyomi ilikuwa kubwa, inawezekana watu walishajiorganize chini kwa chini ikabaki kumdondosha tu.
akidi ilitosha na msajili alijiridhisha kuwa imetosha.shida ya vyama hivi ni kwamba viongozi wao hawataki kuondolewa katika nyazifa zao hata kama wamekosea.ni viongozi wa aina ya ngwazi dr hasting kamuzu banda(president wa muyaya).
 
Watanzania eleweni bila katiba mpya haya mambo yatakuwa yanajirudia rudia kila kukicha, leo ni NCCR kesho ni CDM kwamba ni magaidi - Dawa ni moja tu - Katiba Mpya.
 
Mbatia tulimuonya kwamba Kushirikiana na shetani kutamgharimu , siku zote SHETANI HANA RAFIKI , walimtumia wakati wa Uchaguzi sasa wanambwaga
CCM wako active sana sana kuingilia mambo yasiyowahusu ilimradi kuna tishio dhidi yao linaonekana, lakini ingekuwa nyoka hana sumu hawana habari naye
 
Swali Kwa wadau:
Hivi NYAHOZA na MUTUNGI nani ana roho mbaya zaidi?
 
Msajili anarudia yale yale aliomfanyia Maalim Seif na CUF yake na huwa anafanya haya kwa maelekezo ya Wakubwa.
Kosa la Mbatia ni kukataa kufika mbele ya ile task force ya Rais akiungana na Chadema
Kwa nguvu alizo nazo sitashangaa akimtambua Halima Mdee kuwa mwenyekiti wa CHADEMA na kuagiza ruzuku zote walizo zisusia kina Mbowe apewe
Mbatia si ameitwa na chama chake kujibu tuhuma zinazomkabili? Yeye aende akapambane na wana saccos wenzie!
This crisis is healthy because it will demystify the notion that some of these political parties are owned by individuals!
 

Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, leo Mei 25 imebariki Mwenyekiti wa Chama cha NCCR Mageuzi, James Mbatia na Sekretarieti yake yote kusimamishwa na kuwataka kutojihusisha na siasa ndani ya chama hicho hadi uamuzi huo utakapoamuliwa vinginevyo.

Mnamo Mei 21, Halmashauri Kuu ya Chama cha NCCR-Mageuzi ilimsimamisha Mbatia na makamu Mwenyekiti Bara, Angelina Mtahiwa kutojihusisha na shughuli zozote za chama hadi mkutano mkuu utakapoitishwa ili wajieleze kuhusiana na tuhuma zinazowakabili.

Pia soma:
- NCCR Mageuzi yamsimamisha James Mbatia kufanya shughuli za Chama
Subiri tumalize ya diwani na Rwakatare kwanza.
 
akidi ilitosha na msajili alijiridhisha kuwa imetosha.shida ya vyama hivi ni kwamba viongozi wao hawataki kuondolewa katika nyazifa zao hata kama wamekosea.ni viongozi wa aina ya ngwazi dr hasting kamuzu banda(president wa muyaya).
mkuu ule mkutano wote ccm hawawezi kuuhonga ,maana ukisikiliza hoja za majamaa zina mashiko na wengi waliohojiwa wanalalamika samething kwamba ukipishana mawazo na Mbatia anakutimua,ana matusi ,madharau,haheshimu viongozi wenzake
 
Namshauri kama walivyofanya wale covid 19, awahi mahakamani kupinga uamuzi na aendelee kubakia madarakani mpaka mahakama itakapotoa hukumu.
Hapo mahakama itatoa hukumu Ijumaa hii
 
Mbatia ameikosea wapi serikali ya Samia?

Mbatia alifanya dili na Jiwe 2020 ili ahujumu Upinzani akakomba shs.mill. 500 ambazo alikula peke yake; akajenga Nyumba Mbezi beach!! Katika dili lile Jiwe alikuwa amemuahidi kuwa angeteuliwa kuwa mbunge katika vile viti vya Rais!! Sasa baada ya Jiwe kufariki Mbatia alikwenda kudai achaguliwe kuwa mbunge kama dili lake na Jiwe lilivyokuwa ; lakini Samia hakuhusishwa hivyo asingeweza kumteua kwani hakujua terms za amakubaliano yao!! Hapo ndio uhasama wa Mbatia na Serikali hii ulipoanza!!
 
Back
Top Bottom