Msajili abariki Mbatia na Wenzake kusimamishwa NCCR Mageuzi

Msajili abariki Mbatia na Wenzake kusimamishwa NCCR Mageuzi


Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, leo Mei 25 imebariki Mwenyekiti wa Chama cha NCCR Mageuzi, James Mbatia na Sekretarieti yake yote kusimamishwa na kuwataka kutojihusisha na siasa ndani ya chama hicho hadi uamuzi huo utakapoamuliwa vinginevyo.

Mnamo Mei 21, Halmashauri Kuu ya Chama cha NCCR-Mageuzi ilimsimamisha Mbatia na makamu Mwenyekiti Bara, Angelina Mtahiwa kutojihusisha na shughuli zozote za chama hadi mkutano mkuu utakapoitishwa ili wajieleze kuhusiana na tuhuma zinazowakabili.

Pia soma:
- NCCR Mageuzi yamsimamisha James Mbatia kufanya shughuli za Chama
msajili anamamlaka ya kushabikia kiongozi aondolewe?
 

Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, leo Mei 25 imebariki Mwenyekiti wa Chama cha NCCR Mageuzi, James Mbatia na Sekretarieti yake yote kusimamishwa na kuwataka kutojihusisha na siasa ndani ya chama hicho hadi uamuzi huo utakapoamuliwa vinginevyo.

Mnamo Mei 21, Halmashauri Kuu ya Chama cha NCCR-Mageuzi ilimsimamisha Mbatia na makamu Mwenyekiti Bara, Angelina Mtahiwa kutojihusisha na shughuli zozote za chama hadi mkutano mkuu utakapoitishwa ili wajieleze kuhusiana na tuhuma zinazowakabili.

Pia soma:
- NCCR Mageuzi yamsimamisha James Mbatia kufanya shughuli za Chama
Bye bye NCCR!!!! Ndiyo umekufa kabisa kisiasa!!!! Duh! CCM bwana!!! Mnayaweza kabisa.
 

Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, leo Mei 25 imebariki Mwenyekiti wa Chama cha NCCR Mageuzi, James Mbatia na Sekretarieti yake yote kusimamishwa na kuwataka kutojihusisha na siasa ndani ya chama hicho hadi uamuzi huo utakapoamuliwa vinginevyo.

Mnamo Mei 21, Halmashauri Kuu ya Chama cha NCCR-Mageuzi ilimsimamisha Mbatia na makamu Mwenyekiti Bara, Angelina Mtahiwa kutojihusisha na shughuli zozote za chama hadi mkutano mkuu utakapoitishwa ili wajieleze kuhusiana na tuhuma zinazowakabili.

Pia soma:
- NCCR Mageuzi yamsimamisha James Mbatia kufanya shughuli za Chama
Sheria zingefuatwa kwa cc wepesi hivi, Basi wale wabunge haramu 19 Sasa hivi wasingekuwemo bungeni.
 
Namshauri kama walivyofanya wale covid 19, awahi mahakamani kupinga uamuzi na aendelee kubakia madarakani mpaka mahakama itakapotoa hukumu.
Kweli, naye aende mahakamani halafu aendelee kukaa ofisini ili tuone undumilakuwili wa serikali ya CCM.
 
Ifike mahala nchi iwe na vyama viwili tu. Mi ningekuwa msajiri ningefula act, nccr, chauma, umoja pary nk na kubaki na chadema na ccm tu.

Kwa upande wa dini ningefuta madhebu yote ya ukristu nikabaki na katoliki na uislamu tu. Waliobaki watachagua wakajoin wapi. Vinginevyo ni kero na vurugu.
Ccm haitakubali kuwe na vyama viwili maana wananchi wataungana kukipigia kura chama kingine na ccm itatoka madarakani...kwaio msajili/ccm haiwezi kucheza hio kamari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kweli ccm lazima watawale tu yani kaZi zenu kufarakanisha ili wananchi wajue kuna ugomvi kumbe mbinu zenu ili mshinde uchaguzi.
 
Kwa kifupi vyama vya upinzani vimeanzoshwa ma c cm ili kiendelee kuwa madarakani
 

Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, leo Mei 25 imebariki Mwenyekiti wa Chama cha NCCR Mageuzi, James Mbatia na Sekretarieti yake yote kusimamishwa na kuwataka kutojihusisha na siasa ndani ya chama hicho hadi uamuzi huo utakapoamuliwa vinginevyo.

Mnamo Mei 21, Halmashauri Kuu ya Chama cha NCCR-Mageuzi ilimsimamisha Mbatia na makamu Mwenyekiti Bara, Angelina Mtahiwa kutojihusisha na shughuli zozote za chama hadi mkutano mkuu utakapoitishwa ili wajieleze kuhusiana na tuhuma zinazowakabili.

Pia soma:
- NCCR Mageuzi yamsimamisha James Mbatia kufanya shughuli za Chama
Huyu atakua na mpango wake na msajili[emoji848] anaezakuwa anataka kuanzisha chama chake huyu kama stail ya enzi za jk kila ukikaribia uchaguzi kina chama kipya cha siasa
 
Mbowe amekubali kunusuru chama chake lakini Mbatia amekaidi sasa hichi kinachotokea ndio malipo yake.

Tunahitaji upinzani wenye nguvu zaidi Tanzania na usiotetereka kwa vyovyote vile., bado tuna struggle,
Tutamkumbuka na kumuenzi Jemedari Maalim Seif Sharif Hamad
Wewe unalopoka bila kuelewa mpango kazi ulikuaje. Usijifanye kujua kila kitu.
Mboe ilikuwa amalizikie kwenye kesi yake ya mchongo, akina covid wangeludi kwa wajumbe kukubali yaishe. Mbatia alipoteleza tutajua kama alitegwa au la. Subira yaleta majibu.
 
Hatimae mama Tanzania afurushwa chamani, bado Mbowe.🌚
 
Namshauri kama walivyofanya wale covid 19, awahi mahakamani kupinga uamuzi na aendelee kubakia madarakani mpaka mahakama itakapotoa hukumu.
Ameshachelewa. Akienda mahakamni sasa, status quo itachukua mkondo wake na ataendelea kubaki nje ya chama.
 
Mbatia ameikosea wapi serikali ya Samia?
Alienda mahakamani kupinga utaratibu alioutumia Ndugai kujiuzulu, akadai Ndugai bado ni Spika, wakati mama alishaonesha bifu la kutisha tena hadharani!! Mama bila shaka alikuwa anamlia timing!!
 

Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, leo Mei 25 imebariki Mwenyekiti wa Chama cha NCCR Mageuzi, James Mbatia na Sekretarieti yake yote kusimamishwa na kuwataka kutojihusisha na siasa ndani ya chama hicho hadi uamuzi huo utakapoamuliwa vinginevyo.

Mnamo Mei 21, Halmashauri Kuu ya Chama cha NCCR-Mageuzi ilimsimamisha Mbatia na makamu Mwenyekiti Bara, Angelina Mtahiwa kutojihusisha na shughuli zozote za chama hadi mkutano mkuu utakapoitishwa ili wajieleze kuhusiana na tuhuma zinazowakabili.

Pia soma:
- NCCR Mageuzi yamsimamisha James Mbatia kufanya shughuli za Chama
Aisee .. Mwisho wa kutumika unapofika
 
Back
Top Bottom