Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Yure Mupe..Yure MurukeNamshauri kama walivyofanya wale covid 19, awahi mahakamani kupinga uamuzi na aendelee kubakia madarakani mpaka mahakama itakapotoa hukumu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yure Mupe..Yure MurukeNamshauri kama walivyofanya wale covid 19, awahi mahakamani kupinga uamuzi na aendelee kubakia madarakani mpaka mahakama itakapotoa hukumu.
Pengine bila kujua ni kuwa wanaccm ndio wanao mpandisha chati Mbowe bila kujua. Mbowe huo ung'ang'anizi wa uenyekiti ameufanya lini? Tunaona kwa uwazi jinsi wana Chadema wanavyo kuja juu wakisikia walio nje wakitaka Mbowe aachie ngazi hivyo kutambua anaogopwa na ccm.Lini walimtoa king'ang'anizi wa uenyekiti Mbowe wakakataliwa? Inatenda haki sana tu
I nashangaa watu hawajifunzi juu ya CCM, ona yaliyo mpata Ado juzi uchaguzi wa EALC na ndoa ya CCM na ACT!Aisee .. Mwisho wa kutumika unapofika
Aombe ladhi kwanza ndio aje chadema, kuna kipindi alikuwa kigeugeu maslahi. Akifanya hivyo ubunge wa vunjo utatudi mikononi mwakeMbatia ahamie chadema
Mbatia kama zito tu ndumilakuwili sana chadema wasirogwe wakampokea! Mbowe atatoka madarakanAombe ladhi kwanza ndio aje chadema, kuna kipindi alikuwa kigeugeu maslahi. Akifanya hivyo ubunge wa vunjo utatudi mikononi mwake