Hao TRA ndio wanaongoza kwa Rushwa sasa kama hujui. Swala la uaminifu kazini halihusiani kabisa na maslahi. Ni lifestyle tu ya watumishi ndio inayochochea rushwa. Huwezi ona boss wako anapiga hela na anaishi maisha ya anasa na wewe usitamani ndio maana hadi maofisa wanakuwa wahuni wahuni.Thubutu! Kuna taasisi ukiweka mishahara midogo (ya kawaida) utakuwa umepalilia rushwa na wizi utakaopelekea uchumi ku collapse. Mfano afisa wa TRA anayeenda kumkadiria mfanyabishara kodi ya mamilioni au bilioni umlipe milioni moja au mshahara sawa na mwalimu au afisa maendeleo au bwana kilimo!
Shule unazozijua wewe Mzee mwezangu zilikuwa za katoliki,Pugu,Minaki,Tosamaganga,Tabora boys ,Girls ,Kibaha sekondary naUsiwe na shaka, siku za usoni shule nazo itabidi zijitegemee kama taasisi nyingine yoyote ya Kiserikali.
Wameanza na mashirika ya umma na ya kiserikali, na taasisi zake zote.
Wanakuja kuondoa ujinga wa kupeleka pesa taasisi zote za kidini.
Wakimaliza hapo mashule lazima yajitegemee.
Ulikuwa hulijui hilo? ๐Kumbe TANESCO kuna maslahi makubwa
duh ko wewe unakula vinavyotoka wapi? acheni kusemea mali za wenzenu eti kisa waisilamu tafuta na wewe zako ndo ututambishie hiyo hoja yako ni ya kitoto kabisa.Hebu saidia ni namna gani scale zifanane across.
Maana baada ya mkapa kutofautisha serikali na taasisi za kiserikali na kuzipa uhuru wa kujilipa kulingana na wanachokizalisha kila taasisi ilijiwekea scale yake. Scale nyingine zina maslahi makubwa sana.
Ili ku cut across kwa scale lazma ufanye harmonization across, hii maanake ni kuwa kila mtumishi wa umma apate maslahi yale yaliyo juu kabisa ktk scale ambayo ndo best ktk taasisi kwa kuwa huwezi kushusha mshahara wa mtu.
Hii maanake ni kuwa bajeti yote ya serikali ita service mshahara pekee na pengine isitoshe
Atakadiriwaje mapato maana mfumo huauwezi jua kiasi chite cha Mali ya mfanyabiashara!????Tunapoelekea mifumo itaruhusu hili. Afisa hapati nafasi ya kuonana na mfanyabiashara. AI inamalizana na mfanyabiashara.
Anajikadiria halafu anapeleka hesabu. Siongelei hawa wadogo wadogo.Atakadiriwaje mapato maana mfumo huauwezi jua kiasi chite cha Mali ya mfanyabiashara!????
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hao hao maafisa TRA unaodai wanalipwa hela nyingi, baadhi yao wanakula rushwa? Mishahara huwa haitoshi.Thubutu! Kuna taasisi ukiweka mishahara midogo (ya kawaida) utakuwa umepalilia rushwa na wizi utakaopelekea uchumi ku collapse. Mfano afisa wa TRA anayeenda kumkadiria mfanyabishara kodi ya mamilioni au bilioni umlipe milioni moja au mshahara sawa na mwalimu au afisa maendeleo au bwana kilimo!
Wafanye vipi? Wapunguze wenye mishahara mikubwa ili tulingane au waongeze wenye mishahara midogo?Fanyeni harmonization ya mishahara.
Suluhisho pekee
Watu wanapata bana.hata ajira ya afya nayo ni ujamaa kupata kazi labda uwe mchagga
Waongeze wenye mishahara midogo ilinganeWafanye vipi? Wapunguze wenye mishahara mikubwa ili tulingane au waongeze wenye mishahara midogo?
Sasa mkuu hao wafanyakazi wa Tamisemi ni wengi mno, wakiongeza mishahara hadi ifikie 1.8mil ilingane na ya taasisi si taifa litafilisika.Waongeze wenye mishahara midogo ilingane
Basi kwanini mishahara yote ya umma isilingane tu. Kama ndio suluhisho.Sasa mkuu hao wafanyakazi wa Tamisemi ni wengi mno, wakiongeza mishahara hadi ifikie 1.8mil ilingane na ya taasisi si taifa litafilisika.
Kwahiyo watu walio taasisi Wana akili kinoma yaani๐๐Halafu wakifika kwenye hizo taasisi hawawezi kazi.
Wamezoea kuingia na kutoka na sherehe sherehe huko walikotoka kuoiga mzigo hawawezi.
Yaani unaambiwa hadi aibu kwamba wamefikajefikaje?
Ni afadhali kila taasisi iajiri yenyewe kuliko kupelekewa watumishi mizigo.
Nchi haina mwelekeo.Usiwe na shaka, siku za usoni shule nazo itabidi zijitegemee kama taasisi nyingine yoyote ya Kiserikali.
Wameanza na mashirika ya umma na ya kiserikali, na taasisi zake zote.
Wanakuja kuondoa ujinga wa kupeleka pesa taasisi zote za kidini.
Wakimaliza hapo mashule lazima yajitegemee.
Wewe unao mwelekeo?Nchi haina mwelekeo.
Haya matumaini kalale nayo
[emoji116][emoji116]