Msajili Hazina: Watumishi wa Umma wako busy kuomba uhamisho kwenda TRA, EWURA, TANESCO na TPA kufuata maslah makubwa

Hao TRA ndio wanaongoza kwa Rushwa sasa kama hujui. Swala la uaminifu kazini halihusiani kabisa na maslahi. Ni lifestyle tu ya watumishi ndio inayochochea rushwa. Huwezi ona boss wako anapiga hela na anaishi maisha ya anasa na wewe usitamani ndio maana hadi maofisa wanakuwa wahuni wahuni.
 
Shule unazozijua wewe Mzee mwezangu zilikuwa za katoliki,Pugu,Minaki,Tosamaganga,Tabora boys ,Girls ,Kibaha sekondary na

Vyuo vya ualimu vyote Tanzania waliviomba toka kwa kanisa na hawajavirudisha ,Chuo cha chang'ombe sasa DUCE ,Msasani na Mpuguso Mbeya,Matogoro Songea Ruvuma


Serikali ilipoamua kuzipora waliweka makubaliano baadhi ya taasisi hawakuzipora na waliahidi watazirudisha baadae

Mpaka sasa shule zote hawajazirudisha kwa kanisa mpaka vyuo vya ualimu

Serikali walipora mpaka hospital baadae zikawa zinafanya vibaya ndio ikaja makubaliano ya kuziendesha

Hospital kubwa kama Ndanda lindi,Peramiho Songea zote serikali iliingilia zikataka kufa ndio wanashirikiana kuziendesha

Serikali wakitaka si wazirudishe ,Kila siku kanisa linataka shule zake na hospital zake

Kanisa linaidai serikali Pugu sekondari kila siku ,Serikali hawataki kuirudisha kwa walioijenga shule wakatoliki

Pugu pale ni eneo la hija la wakatoliki Dar es Salaam na ile shule ni yao

Jumapili kibao michango inatolewa kukarabati eneo la Pugu na ni DSM yote michango inachangwa

Serikali wawarudishie wakatoliki shule zao na hospital zao kwanini bado wanazitumia wakati wana shule zao za kata?

Cha kushangaza wamezikarabati zote na wanaziita shule za vipaji maalum
 
duh ko wewe unakula vinavyotoka wapi? acheni kusemea mali za wenzenu eti kisa waisilamu tafuta na wewe zako ndo ututambishie hiyo hoja yako ni ya kitoto kabisa.
 
Mbona hao hao maafisa TRA unaodai wanalipwa hela nyingi, baadhi yao wanakula rushwa? Mishahara huwa haitoshi.
 
Fanyeni harmonization ya mishahara.


Suluhisho pekee
 
hata ajira ya afya nayo ni ujamaa kupata kazi labda uwe mchagga
 
Waongeze wenye mishahara midogo ilingane
Sasa mkuu hao wafanyakazi wa Tamisemi ni wengi mno, wakiongeza mishahara hadi ifikie 1.8mil ilingane na ya taasisi si taifa litafilisika.
 
Sasa mkuu hao wafanyakazi wa Tamisemi ni wengi mno, wakiongeza mishahara hadi ifikie 1.8mil ilingane na ya taasisi si taifa litafilisika.
Basi kwanini mishahara yote ya umma isilingane tu. Kama ndio suluhisho.
 
Kwahiyo watu walio taasisi Wana akili kinoma yaani๐Ÿ™‰๐Ÿ™‰
 
Nchi haina mwelekeo.

Haya matumaini kalale nayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ