Uchaguzi 2020 Msajili: Mgombea aliyesema ataingiza watu barabarani kama akishindwa Urais ametoa lugha za vitisho, siyo ustaarabu

sasa ushindwe urais alafu uingize watu barabarani unataka aliyeshinda atawaleje watu waliompa ushindi?

Lissu Bhana.
Huo ni wakati wa aliyeshinda kutumia Barabara hizo kuleta maendeleo jamani
Lissu anawadanganya wenzake. Waingie barabarani tena yeye atangulie mbele.
 

Kasema kuna mgombea atakaye wapeleka watu barabarani kama akishindwa. Lissu hajasema hivyo.

Labda alimaanisha mgombea mwingine.
 
Huyu Njaahuza wako mwongo sana, Lissu alisema kama akiibiwa ushindi wake hajasema akifeli, wewe na huyo mtu wako ni wazushi, wambea na wazandiki wakubwa.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…