johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ni katika kipindi cha Kipima Joto mubashara ITV
Msajili Msaidizi Nyahoza amesema Msajili hausiki na uratibu wa mikutano ya kisiasa bali jukumu hilo ni la Jeshi la Polisi na ndio wanaopaswa kulitolea maelezo au elimu.
Maendeleo hayana vyama
Msajili Msaidizi Nyahoza amesema Msajili hausiki na uratibu wa mikutano ya kisiasa bali jukumu hilo ni la Jeshi la Polisi na ndio wanaopaswa kulitolea maelezo au elimu.
Maendeleo hayana vyama