johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Jikite kwenye hoja!
UjingaNi katika kipindi cha Kipima Joto mubashara ITV
Msajili msaidizi mh Nyahoza amesema Msajili hausiki na uratibu wa mikutano ya kisiasa bali jukumu hilo ni la jeshi la polisi na ndio wanaopaswa kulitolea Maelezo au elimu.
Maendeleo hayana vyama!
Hoja aitoe wapi basiJikite kwenye hoja!
Hahahaaaa........!Sisty bana yaaaniwale pale wote ccm
naƴachukia majiɓu ƴako😠😠😠sijui hata unawazaga nini ƙaɓla ƴa ƙujiɓu😂😂
Hii itasaidia kupunguza mikutano holela isiyokuwa na maana
Hongera sana JK
haya ni maneno ya mtu MWENYE Exposure,,maono,,akili,,na Uzalendo,,sasa sikia Hawa utopolo WA awamu ya Tano
😆😆😆😆😆 MTALIMIA MENOhaya ni maneno ya mtu MWENYE Exposure,,maono,,akili,,na Uzalendo,,sasa sikia Hawa utopolo WA awamu ya Tano
Umeona hii!..mtu anaetaka watu wengine wateseke ,,waishi kama MASHETANI,,ni "Psycho" sio bure😆😆😆😆😆 MTALIMIA MENO