Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,584
- 12,461
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaa.........!Kwani mwenyekiti wa chama anasemaje.Huo ni utani wa jadi mkuu kama wanavyomuita Mbowe mzee wa faru John.
Bwashee tuheshimiane.......hahahaaaa!Huyu meya ametukera kwakweli
View attachment 1527632
Hahahaaaa......... Kumbe!Siasa inataka uvumilivu wa hali ya juu, vinginevyo unaweza kuhisi kila saa unaonewa
Vumilia mtani. Ya JPM kwa Mbuge Bwege je? Msajiri hawezi kushughulika na jambo dogo kama hiloNimemsoma Mgombea Ubunge wa CHADEMA, Boniface Jacob akidai mikutano ya CHADEMA wanapendeza kwa kupigilia pamba ila ile ya CCM na zile kijani inakuwa kama shamba la Migomba.
Ni vema Jaji Mutungi ukamkemea huyu kijana maana kampeni bado lakini ameshaanza kutoa lugha za kuudhi na kukera.
CCM na Migomba wapi na wapi?
Nimemkuta kule Twitter amenichefua sana.
Maendeleo hayana vyama!
Haya bwashee!Vumilia mtani. Ya JPM kwa Mbuge Bwege je? Msajiri hawezi kushughulika na jambo dogo kama hilo
Wameanza. Hawakawii. Watauita utani huo ni "tusi".Wewe bhana. Hapo si kaongea ukweli? Sasa kama hampendezi aseme uongo kuwa mnapendeza? Hujui kusema uongo ni kuvunja kati ya zile amri 10 za Mungu. Kama hizo rangi za migomba hawazipendi si wabadirishe?
Mi binafsi kwa utani huo sioni tatizo sisi tunajua jinsi ya kucheza hao wakazi wa serengetiNimemsoma Mgombea Ubunge wa CHADEMA, Boniface Jacob akidai mikutano ya CHADEMA wanapendeza kwa kupigilia pamba ila ile ya CCM na zile kijani inakuwa kama shamba la Migomba.
Ni vema Jaji Mutungi ukamkemea huyu kijana maana kampeni bado lakini ameshaanza kutoa lugha za kuudhi na kukera.
CCM na Migomba wapi na wapi?
Nimemkuta kule Twitter amenichefua sana.
Maendeleo hayana vyama!
Alikuwa meyaNimemsoma Mgombea Ubunge wa CHADEMA, Boniface Jacob akidai mikutano ya CHADEMA wanapendeza kwa kupigilia pamba ila ile ya CCM na zile kijani inakuwa kama shamba la Migomba.
Ni vema Jaji Mutungi ukamkemea huyu kijana maana kampeni bado lakini ameshaanza kutoa lugha za kuudhi na kukera.
CCM na Migomba wapi na wapi?
Nimemkuta kule Twitter amenichefua sana.
Maendeleo hayana vyama!
Mbona haujawataja jina wakati kila mtu analijua? CCM.Mkuu Yohane, si afadhali hata ametumia lugha ya staha kwa kuwafananisha na rangi ya majani ya migomba. Je! Kama angeliwafananisha na wale nzi wakubwa wa kijani si ingalikuwa ni balaa zaidi.
Mkuu umepaniki kwa mandishi yake au umepanikk kwa kuwa umeamka na hasiraNimemsoma Mgombea Ubunge wa CHADEMA, Boniface Jacob akidai mikutano ya CHADEMA wanapendeza kwa kupigilia pamba ila ile ya CCM na zile kijani inakuwa kama shamba la Migomba.
Ni vema Jaji Mutungi ukamkemea huyu kijana maana kampeni bado lakini ameshaanza kutoa lugha za kuudhi na kukera.
CCM na Migomba wapi na wapi?
Nimemkuta kule Twitter amenichefua sana.
Maendeleo hayana vyama!
CCM hawewezi kuvumilia wamezoea kulelewa na bibi hawakawii kushitaki kwa mjomba.Siasa inataka uvumilivu wa hali ya juu, vinginevyo unaweza kuhisi kila saa unaonewa
Kwa migomba bwashee!Mkuu umepaniki kwa mandishi yake au umepanikk kwa kuwa umeamka na hasira
[emoji23][emoji23][emoji23]Kasema kweli kabisa aisee KONGOLE Meya wangu wa Ubungo hawa wanafanana.
View attachment 1527608
View attachment 1527609
Hivyo hivyo bwashee!Alikuwa meya
Bwashee unakwama wapi? Yaani sare za ccm siyo tu zinafanana na shamba la migomba Bali na bustani ya maboga yaliyochanua maua!Nimemsoma Mgombea Ubunge wa CHADEMA, Boniface Jacob akidai mikutano ya CHADEMA wanapendeza kwa kupigilia pamba ila ile ya CCM na zile kijani inakuwa kama shamba la Migomba.
Ni vema Jaji Mutungi ukamkemea huyu kijana maana kampeni bado lakini ameshaanza kutoa lugha za kuudhi na kukera.
CCM na Migomba wapi na wapi?
Nimemkuta kule Twitter amenichefua sana.
Maendeleo hayana vyama!
Hahahaaaa.......haya bhana!Bwashee unakwama wapi? Yaani sare za ccm siyo tu zinafanana na shamba la migomba Bali na bustani ya maboga yaliyochanua maua!