Msajili mkemee Meya Jacob anayedai CHADEMA wanapendeza ila CCM wakiwa mkutanoni wanakuwa kama shamba la migomba


Wewe sio mtu mzuri. Yaani umeamua kumuongezea maumivu Msajili kabla hajatoa hukumu ya ubeti uliozidi katika hit ya CHADEMA? Not fair at all.
 
Kama mtoto wa chekechea vile anavyo shitaki kwa mwalimu wake kila akisogelewa
 
Bwashee mkiwa kwenye yale mafuso yenu mnakuwa kama mikungu ya ndizi teh teh teh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…