Msajili: Nafuatilia kwa karibu sana Uchaguzi wa Viongozi CHADEMA kuhakikisha haki inatendeka na Katiba kufuatwa

Waliodhulumiwa serikali za mitaa amewasaidiaje.
 
Kamwambie huyo Jaji wenu aache kisebusebu, Uchaguzi wa serikali za mitaa umefanyiwa uhuni alikuwa wapi ?, mbona hakusema neno lolote mpaka viongozi wa dini wakaanza kutoa ushauri wao ??, aende akalale kwa maana hakuna anajua kazi anayofanya hapa na anakula mshahara wa bure, watu wa hivi ukipata chance ya kukutana nae unamuwekea kitu chenye ncha kali unamwambia akikalie.
 
Hii mikondoo yote iko kama imekatwa vichwa! Huku kupelekwa mpera mpera kama watoto wa shule ya awali kwa watumishi sishangai hapa akatokea chizi mwingine akatoa pendekezo la kuhasiwa ili kuwa mbali na masuala ya uzazi ili kuunga juhudi za kazi tu!
 
Mbona Vyama hasa vya Upinzani kuzuiwa kufanya Mikutano (huku CCM ikifanya) ambayo Katiba inaruhusu umeshindwa kusimamia au kuna Katiba nyingine unayotumia?
 
Huu mtungi unavuja,alishindwa kuufuatilia wa serikali za mitaa na katiba ikavunjwa waziwazi,sembuse wa CHADEMA,akome abaki kuwa mshauri tu
 
Jaji Mutungi nashauri ajiuzulu ama apangiwe majukukumu mengine, hii la urefa kwa vyama halimudu. Muumba mgawa riziki yupo hatokufa njaa.
 
Kwanini wanaccm wanahangaika sana na uenyekiti wa Mbowe kuliko uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu!
Lakini inaonesha maelekezo aliyopewa ni kutowatambua viongozi watakaochaguliwa endapo waccm hawatashinda.
CCM inahangaika na uchaguzi wa cdm kwa sababu ndio chama kinachosimamia utekelezaji wa ilani ya uchaguzi na moja ya mambo ni demokrasia
 
Uchaguzi wa serikali za mitaa unasimamiwa na Tamisemi bwashee!
Kwani yeye ni msimamizi wa chaguzi ndani ya vyama? Yeye kama mlezi wa vyama alikua na sauti kwa rafu na sarakasi zilizofanywa na ccm,

Alitakiwa kutoa tamko ili Tamisemi ichukue hatua.
 
2020 asimamie pia katiba ya CCM ili haki itendeke kwa watakaochukua fomu kupambana na JPM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…